Magufuli wewe ni mzazi unayejitambua

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Feb 18, 2012
15,893
16,317
IMG_20170625_080839.jpg


--- Kama umasikini ndio chanzo cha kupata mimba kwa wanafunzi wa kike, kwanini shule nzima wasiwe na mimba? Kama umbali wote wanatoka mbali na wanaishi katika mazingira yanayofanana.

--- Eti wanadai ni haki ya mtu kupata elimu kwa maana kuwa na elimu ndio silaha ya kwanza ya kupambana na umasikini. Hiyo ni sawa. Lakini haki ni lazima iendane na wajibu (to get your Rights you should behave responsibly)

--- Wengine wanadai eti serikali ndiyo ya kulaumiwa kwa maadili mabovu kwa maana wao ndio wametufikisha hapa kwa miaka 50 ya utawala wao. Ninasema hapana. Serikali haiwezi kuja nyumbani kwako ikakwambia baba na mama flani sasa zimeni TV ili mtoto wenu aache kuangalia cartoons afanye homework yake. Huo ni mfano tu juu gani ya wazazi wanapaswa kutimiza wajibu wao katika maadili ya watoto.

Huku uswahilini ninapokaa sio jambo la kushangaza kukutana na mtoto wa kike darasa hata la 3 usiku wa 4 eti ametoka kwende kibanda kuangalia movie. Hivi binti kama huyu akibakwa na kupata mimba (achilia mbali magonjwa mengine) italaumiwa serikali? Let's be serious guys.

JPM stay focused. Wewe ni mzazi unayejitambua sana.

Mwenye macho na asome.

Nimemaliza.

IMG_20170625_080919.jpg
 
Huyo binti kwenye picha hawezi kufaulu vizuri anasoma ili maradi tu atimize wajibu ili apate cheti chenye miswaki mingi ambacho hakitamfikisha popote. Tusishangulie kusoma tu! Ili ufaulu vizuri, unapaswa kuweka mkazo kwenye kile unachosoma, kulea mtoto huku unasoma kunapunguza concetration ya kwenye masomo. Hivyo basi ukipata mimba halafu urudi shule sidhani kama utafaulu vizuri na ukapata cheti kitakacho kuwezesha kuendelea na ngazi zingine za juu za masomo. Utapoteza muda, nguvu na mali zako. Kwani wakivumilia hiyo miaka ili wamalize masomo yao kuna kitu wanapungukiwa? Naungana na rais, wanaopata mimba wasiendelee na masomo, walee watoto na baadae waende veta kwa masomo ya ufundi tu
 
Magu, hizo NGO zikajenge shule za wazazi, shule zetu watuachie kwa walio safi, mimi nimesoma shule mchanganyiko wavulana na wasichana, lakini wasichana walifikia mpaka kuolewa shuleni unaambiwa huyu ni mke wa fulani, na wala ana wasiwasi kuitwa mke wakati bado mwanafunzi.
 
View attachment 530269

--- Kama umasikini ndio chanzo cha kupata mimba kwa wanafunzi wa kike, kwanini shule nzima wasiwe na mimba? Kama umbali wote wanatoka mbali na wanaishi katika mazingira yanayofanana.

--- Eti wanadai ni haki ya mtu kupata elimu kwa maana kuwa na elimu ndio silaha ya kwanza ya kupambana na umasikini. Hiyo ni sawa. Lakini haki ni lazima iendane na wajibu (to get your Rights you should behave responsibly)

--- Wengine wanadai eti serikali ndiyo ya kulaumiwa kwa maadili mabovu kwa maana wao ndio wametufikisha hapa kwa miaka 50 ya utawala wao. Ninasema hapana. Serikali haiwezi kuja nyumbani kwako ikakwambia baba na mama flani sasa zimeni TV ili mtoto wenu aache kuangalia cartoons afanye homework yake. Huo ni mfano tu juu gani ya wazazi wanapaswa kutimiza wajibu wao katika maadili ya watoto.

Huku uswahilini ninapokaa sio jambo la kushangaza kukutana na mtoto wa kike darasa hata la 3 usiku wa 4 eti ametoka kwende kibanda kuangalia movie. Hivi binti kama huyu akibakwa na kupata mimba (achilia mbali magonjwa mengine) italaumiwa serikali? Let's be serious guys.

JPM stay focused. Wewe ni mazazi unayejitambua sana.

Mwenye macho na asome.

Nimemaliza.

View attachment 530265
Nchi sio familia ndugu yangu.
Nchi haiongozwi kwa hisia, inaongozwa kwa umakini na kutumia akili nyingi.

Hebu jiulize, ni lini wanafunzi waliozaa walisomeshwa na serikali?????

Kama jibu ni hakuna, basi kauri hiyo ni mbaya sana maana inalenga kuwatenga na kuwanyanyapaa watoto wanaopata mimba.

Unajua madhara yake??
Tutazika sana watoto waliokua wakijaribu kutoa mimba ili aibu hiyo isiwakute

Tutasikia matukio mengi ya kujiua kwa watoto waliopata mimba

Suala la mimba kwa watoto, linasababishwa na mambo mengi. Hayo mambo ndo ilitakiwa tupambane nayo. Kumbuka kutompa elimu mama mmoja, ni kutoipa elimu jamii nzima

Busara kwenye uongozi ni kitu cha muhimu sana
 
View attachment 530269

--- Kama umasikini ndio chanzo cha kupata mimba kwa wanafunzi wa kike, kwanini shule nzima wasiwe na mimba? Kama umbali wote wanatoka mbali na wanaishi katika mazingira yanayofanana.

--- Eti wanadai ni haki ya mtu kupata elimu kwa maana kuwa na elimu ndio silaha ya kwanza ya kupambana na umasikini. Hiyo ni sawa. Lakini haki ni lazima iendane na wajibu (to get your Rights you should behave responsibly)

--- Wengine wanadai eti serikali ndiyo ya kulaumiwa kwa maadili mabovu kwa maana wao ndio wametufikisha hapa kwa miaka 50 ya utawala wao. Ninasema hapana. Serikali haiwezi kuja nyumbani kwako ikakwambia baba na mama flani sasa zimeni TV ili mtoto wenu aache kuangalia cartoons afanye homework yake. Huo ni mfano tu juu gani ya wazazi wanapaswa kutimiza wajibu wao katika maadili ya watoto.

Huku uswahilini ninapokaa sio jambo la kushangaza kukutana na mtoto wa kike darasa hata la 3 usiku wa 4 eti ametoka kwende kibanda kuangalia movie. Hivi binti kama huyu akibakwa na kupata mimba (achilia mbali magonjwa mengine) italaumiwa serikali? Let's be serious guys.

JPM stay focused. Wewe ni mazazi unayejitambua sana.

Mwenye macho na asome.

Nimemaliza.

View attachment 530265
Wazazi msifuate ushauri wa JPM!Huyu ni Rais,hata mtoto wake asiposoma hatashinda njaa mpaka anaingia kaburini!Sasa wewe sijui mwalimu,jifanye nunda umsusie mwanao kisa kapata ujauzito!Mtasota wote,msiwaige hao matajiri!Hawategemei elimu kama ninyi makapuku!Za kuambiwa changanya na zako
 
Huyo binti kwenye picha hawezi kufaulu vizuri anasoma ili maradi tu atimize wajibu ili apate cheti chenye miswaki mingi ambacho hakitamfikisha popote. Tusishangulie kusoma tu! Ili ufaulu vizuri, unapaswa kuweka mkazo kwenye kile unachosoma, kulea mtoto huku unasoma kunapunguza concetration ya kwenye masomo. Hivyo basi ukipata mimba halafu urudi shule sidhani kama utafaulu vizuri na ukapata cheti kitakacho kuwezesha kuendelea na ngazi zingine za juu za masomo. Utapoteza muda, nguvu na mali zako. Kwani wakivumilia hiyo miaka ili wamalize masomo yao kuna kitu wanapungukiwa? Naungana na rais, wanaopata mimba wasiendelee na masomo, walee watoto na baadae waende veta kwa masomo ya ufundi tu
Wewe huna akili kabisa!Niligraduate degree na binti aliyepata ujauzito akiwa sekondary,sasa ana kazi nzuri serikalini!Nadhani alivyosikia kauli ya Rais alimdharau sana!
 
Hivi vitabu vitakatifu vinasemaje juu ya tendo la Ndoa nje ya Ndoa??
Wazungu wanatulazimisha kufuata mambo yao ya kiSODOMA NA KIGOMORRAH! na sisi tunafurahia..ee Mungu kisamehee kizazi hiki
 
Hivi siku dawa ya ukimwi ikigunduliwa na kutangazwa itakuwaje mitaani??.hivi itakuwaje iwapo mwanaume wa kitanzania any kabinti ata kama kapo darasa la tatu ni wa kuvulugwa tu...maana akuna sheria ya kumbana!Je Tanzania inaenda kuwa taifa la namna gani??
 
Nchi sio familia ndugu yangu.
Nchi haiongozwi kwa hisia, inaongozwa kwa umakini na kutumia akili nyingi.

Hebu jiulize, ni lini wanafunzi waliozaa walisomeshwa na serikali?????

Kama jibu ni hakuna, basi kauri hiyo ni mbaya sana maana inalenga kuwatenga na kuwanyanyapaa watoto wanaopata mimba.

Unajua madhara yake??
Tutazika sana watoto waliokua wakijaribu kutoa mimba ili aibu hiyo isiwakute

Tutasikia matukio mengi ya kujiua kwa watoto waliopata mimba

Suala la mimba kwa watoto, linasababishwa na mambo mengi. Hayo mambo ndo ilitakiwa tupambane nayo. Kumbuka kutompa elimu mama mmoja, ni kutoipa elimu jamii nzima

Busara kwenye uongozi ni kitu cha muhimu sana
Mmoja wapo la watoto wengi kupata mimba mashuleni ni mtazamo wa Jamii.
Jamii inawajibikaje? Inalionaje tatizo hili? Kuna mikakati gani kitaifa kuliondoa? Je tulikubali na kulikumbatia au tulikatae na kuliona kama doa kwa maadili yetu? Kumlaumu Rais wakati hakuna mikakati ya pamoja haitegemewi kutatua hili janga
 
Mleta mada hajielewi au haelewi maisha ya Tanzania.
Kwa walio Wengi hawaoni tija kumsomesha binti.
Wengi miongoni mwa maskini huwafanya mabinti zao mitaji, zaidi ya 60% ya wazee vijijini wana wish watoto wao wasiende secondary ili wachukue mahari, au ili wasije kupata mimba wao wakaaibika!
Kumbuka Lakini huyo binti yupo 13 au 15 na mtaani vijana Wengi wanamsumbua, familia nyingi uswahili hazipo to protect hawa mabinti. Now kupata au kutopata mimba hakusemi kama Huyo ndio Malaya or not, mimba ni chance tu, na by the way vibinti mapepe huwa wanajua hata kujilinda wasipate mimba.
 
Mmoja wapo la watoto wengi kupata mimba mashuleni ni mtazamo wa Jamii.
Jamii inawajibikaje? Inalionaje tatizo hili? Kuna mikakati gani kitaifa kuliondoa? Je tulikubali na kulikumbatia au tulikatae na kuliona kama doa kwa maadili yetu? Kumlaumu Rais wakati hakuna mikakati ya pamoja haitegemewi kutatua hili janga
Nailaumu taasisi ya urais kwakua imeshindwa kufanya utafiti kwa kina ili kukomesha kama sio kulimaliza kabisa. Yaani wanatoa matamko as if watoto wanapenda kufanya hivyo.

Taasisi kubwa kama urais si ya kukurupuka kutoa maamuzi.
Lazima wajue kuwa kuna vyanzo vya hayo matatizo.

Mfano mkubwa wa matatizo hayo ni kitu kinaitwa foolish age. Mtu anapofikia kipindi hiki, huwa ni ngumu sana kuji control.

Mbali na foolish age, huwezi kuzuia mabadiliko ya mwili. Mfano ni pale ambapo huwezi kuzuia ndevu zisiote.

Kumbuka hizi sheria za kusoma ni nje ya nature ya mwanadamu. Kumbadilisha kutoka kwenye nature mpaka mifumo ambayo ni artificial, inabidi mikakati ya kina.
Mfano ni janga hili la ukimwi. Watu wanajua ukifanya ngono zembe, kuna hatari ya kuambukizwa. Hivi umewahi kujiuliza ni wangapi wanajari hilo pindi inapotokea nafasi ya kutenda?
 
Back
Top Bottom