mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Kiburi, maringo na ubabe wa watawala wa kisiasa vinatokana na uwepo wa wafanyakazi na walipakodi. Covid_19 iliwafanya watu wengi wafunge biashara na kukaa nyumbani! Uchumi ukayumba, Watawala wakaanza kubabaika.
Ni lini wafanyakazi na walipakodi wataijua thamani yao?
Wavuja jasho wanaopambana kulisha familia zao na kulipa kodi kwa serikali - wanastahili heshima kuliko mtu yeyote katika nchi.
Bahati mbaya vyombo vya inteljensia duniani kote hupokea maagizo kutoka kwa watawala, na kupeleka taarifa za utekelezaji kwa watawala. Sheria huwekwa kuvibana vyombo hivyo.
Kwahiyo ikitokea katika nchi watawala ni wabovu - mambo huwa shaghalabaghala!
Mr mkiki.
Ni lini wafanyakazi na walipakodi wataijua thamani yao?
Wavuja jasho wanaopambana kulisha familia zao na kulipa kodi kwa serikali - wanastahili heshima kuliko mtu yeyote katika nchi.
Bahati mbaya vyombo vya inteljensia duniani kote hupokea maagizo kutoka kwa watawala, na kupeleka taarifa za utekelezaji kwa watawala. Sheria huwekwa kuvibana vyombo hivyo.
Kwahiyo ikitokea katika nchi watawala ni wabovu - mambo huwa shaghalabaghala!
Mr mkiki.