Magufuli: Watanzania wamekata tamaa

John Magufuli, amesema amejipanga kulipa deni kwa Watanzania kwa kuleta mabadiliko ya kweli. Amesema pamoja na hali hiyo, anatambua namna wananchi walivyokata tamaa ikiwamo kushindwa kubadili maisha yao, kutokana na ubinafsi wa watu wachache ambao wameamua kujimilikisha rasilimali za nchi.


“Ninajua Watanzania wanataka mabadiliko ambayo ni M4C yaani ‘Magufuli for Change’ na kwa lugha ya kawaida ni Magufuli kwa mabadiliko tena ya kweli,” alisema Dk. Magufuli.
Akizungumza namna atakavyoubadili mji wa Iringa, alisema anajua changamoto zilizopo katika mkoa huo, ikiwamo kero ya barabara hasa za ndani.
“Ninawashangaa watu wanasema eti CCM haijafanya kitu na wengine ni hapa hapa Iringa mjini tena mchungaji wa kondoo wa Mungu ambaye anazijua amri kumi za Mungu ikiwemo ya kutosema uongo.
“Tena amekuwa akitukana ovyo ndani na nje ya Bunge nataka kuwaambia mawaziri nao ni binadamu wana nyongo…nataka kuwauliza ikiwa kila siku unamtukana waziri hivi kweli anaweza kukupa fedha za maendeleo, nichagueni mimi na wabunge wa CCM,” alisema.
Alisema anahitaji ushindi wa asilimia 99 ili wapinzani waisome namba kupitia masanduku ya kura.

Mchagueni Magufuli haya yote ana weza

Amekosea kuchagua basi la kupanda, anasifia basi la mabadiliko wkt yeye amepanda basi la hujuma, ufisadi, rushwa, unyanyasaji
 
John Magufuli, amesema amejipanga kulipa deni kwa Watanzania kwa kuleta mabadiliko ya kweli. Amesema pamoja na hali hiyo, anatambua namna wananchi walivyokata tamaa ikiwamo kushindwa kubadili maisha yao, kutokana na ubinafsi wa watu wachache ambao wameamua kujimilikisha rasilimali za nchi.


“Ninajua Watanzania wanataka mabadiliko ambayo ni M4C yaani ‘Magufuli for Change’ na kwa lugha ya kawaida ni Magufuli kwa mabadiliko tena ya kweli,” alisema Dk. Magufuli.
Akizungumza namna atakavyoubadili mji wa Iringa, alisema anajua changamoto zilizopo katika mkoa huo, ikiwamo kero ya barabara hasa za ndani.
“Ninawashangaa watu wanasema eti CCM haijafanya kitu na wengine ni hapa hapa Iringa mjini tena mchungaji wa kondoo wa Mungu ambaye anazijua amri kumi za Mungu ikiwemo ya kutosema uongo.
“Tena amekuwa akitukana ovyo ndani na nje ya Bunge nataka kuwaambia mawaziri nao ni binadamu wana nyongo…nataka kuwauliza ikiwa kila siku unamtukana waziri hivi kweli anaweza kukupa fedha za maendeleo, nichagueni mimi na wabunge wa CCM,” alisema.
Alisema anahitaji ushindi wa asilimia 99 ili wapinzani waisome namba kupitia masanduku ya kura.

Mchagueni Magufuli haya yote ana weza

Chama gani kimetufikisha hapa???????

CCM out out out!
 
John Magufuli, amesema amejipanga kulipa deni kwa Watanzania kwa kuleta mabadiliko ya kweli. Amesema pamoja na hali hiyo, anatambua namna wananchi walivyokata tamaa ikiwamo kushindwa kubadili maisha yao, kutokana na ubinafsi wa watu wachache ambao wameamua kujimilikisha rasilimali za nchi.


“Ninajua Watanzania wanataka mabadiliko ambayo ni M4C yaani ‘Magufuli for Change’ na kwa lugha ya kawaida ni Magufuli kwa mabadiliko tena ya kweli,” alisema Dk. Magufuli.
Akizungumza namna atakavyoubadili mji wa Iringa, alisema anajua changamoto zilizopo katika mkoa huo, ikiwamo kero ya barabara hasa za ndani.
“Ninawashangaa watu wanasema eti CCM haijafanya kitu na wengine ni hapa hapa Iringa mjini tena mchungaji wa kondoo wa Mungu ambaye anazijua amri kumi za Mungu ikiwemo ya kutosema uongo.
“Tena amekuwa akitukana ovyo ndani na nje ya Bunge nataka kuwaambia mawaziri nao ni binadamu wana nyongo…nataka kuwauliza ikiwa kila siku unamtukana waziri hivi kweli anaweza kukupa fedha za maendeleo, nichagueni mimi na wabunge wa CCM,” alisema.
Alisema anahitaji ushindi wa asilimia 99 ili wapinzani waisome namba kupitia masanduku ya kura.

Mchagueni Magufuli haya yote ana weza

ndani ya xxm kumejaa wezi na wapga dili hakuna mwenye uchungu na watanxania hata mmoja.

lowasaa atosha wapga dili wa nini???
 
sasa hivi kwa hali ilivyo ground kama tunatemea kura kuna kazi kwa CCM ni ngumu huwezi hamini hata mikoa iliyokuwa haina upinzan imeisha kwenda. Kila aina ya mbinu itatumika hila CCM imechelewa. Meli ya change/mabadiliko inakwenda kwa speed sana.
 
John Magufuli, amesema amejipanga kulipa deni kwa Watanzania kwa kuleta mabadiliko ya kweli. Amesema pamoja na hali hiyo, anatambua namna wananchi walivyokata tamaa ikiwamo kushindwa kubadili maisha yao, kutokana na ubinafsi wa watu wachache ambao wameamua kujimilikisha rasilimali za nchi.


“Ninajua Watanzania wanataka mabadiliko ambayo ni M4C yaani ‘Magufuli for Change’ na kwa lugha ya kawaida ni Magufuli kwa mabadiliko tena ya kweli,” alisema Dk. Magufuli.
Akizungumza namna atakavyoubadili mji wa Iringa, alisema anajua changamoto zilizopo katika mkoa huo, ikiwamo kero ya barabara hasa za ndani.
“Ninawashangaa watu wanasema eti CCM haijafanya kitu na wengine ni hapa hapa Iringa mjini tena mchungaji wa kondoo wa Mungu ambaye anazijua amri kumi za Mungu ikiwemo ya kutosema uongo.
“Tena amekuwa akitukana ovyo ndani na nje ya Bunge nataka kuwaambia mawaziri nao ni binadamu wana nyongo…nataka kuwauliza ikiwa kila siku unamtukana waziri hivi kweli anaweza kukupa fedha za maendeleo, nichagueni mimi na wabunge wa CCM,” alisema.
Alisema anahitaji ushindi wa asilimia 99 ili wapinzani waisome namba kupitia masanduku ya kura.

Mchagueni Magufuli haya yote ana weza
babu ES habari za kampeni? nasikia umekuwa kampeni meneja wa yule rafikio billionea..........
Ila lowassa ameshakuwa rais tayari.
 
Mr.Zero gharama za maisha ziko juu, bei za vitu muhimu juu k.m. sukari, mafuta, umeme juu yeye anazungumzia mabarabara??
Namabengo na Nkasi wanakula lami??
Mabadiliko ni pamoja na kushusha gharama ya maisha ili fedha zetu ziwe na thamani!!
Sio kutubebesha madeni watu wanakufa kwa maisha duni!!
 
Last edited by a moderator:
John Magufuli, amesema amejipanga kulipa deni kwa Watanzania kwa kuleta mabadiliko ya kweli. Amesema pamoja na hali hiyo, anatambua namna wananchi walivyokata tamaa ikiwamo kushindwa kubadili maisha yao, kutokana na ubinafsi wa watu wachache ambao wameamua kujimilikisha rasilimali za nchi.


“Ninajua Watanzania wanataka mabadiliko ambayo ni M4C yaani ‘Magufuli for Change’ na kwa lugha ya kawaida ni Magufuli kwa mabadiliko tena ya kweli,” alisema Dk. Magufuli.

Akizungumza namna atakavyoubadili mji wa Iringa, alisema anajua changamoto zilizopo katika mkoa huo, ikiwamo kero ya barabara hasa za ndani.
“Ninawashangaa watu wanasema eti CCM haijafanya kitu na wengine ni hapa hapa Iringa mjini tena mchungaji wa kondoo wa Mungu ambaye anazijua amri kumi za Mungu ikiwemo ya kutosema uongo.

“Tena amekuwa akitukana ovyo ndani na nje ya Bunge nataka kuwaambia mawaziri nao ni binadamu wana nyongo…nataka kuwauliza ikiwa kila siku unamtukana waziri hivi kweli anaweza kukupa fedha za maendeleo, nichagueni mimi na wabunge wa CCM,” alisema.

Alisema anahitaji ushindi wa asilimia 99 ili wapinzani waisome namba kupitia masanduku ya kura.

Mchagueni Magufuli haya yote ana weza
Mkuu alihaidi kufufua nini Iringa, kilicho haribiwa na selekali ya chama tawala?
 
magufuli anavoongea utadhani sio mwana ccm, utadhani hayupo ndani ya serikali ya jk na ccm kwa ujumla
 
Huyu babu nadhani kidonge kimeisha nguvu sasa kichwa chake kinajipeleka tu kama gari la taka

"eti anashangaa watu wakisema kuwa ccm haijafanya kitu....eti ccm imefanya mengi"

halafu huyohuyo anasema " wananchi wamekata tamaa" sasa inamaana; kama wamefanya mazuri watu wangekata vipi tamaa. Mwambieni ajitoe tu kwenye mbio za urais maana hata hajui anagombea uwaziri au urasi.

Eti nina dawa ya wakuu wa shule wanaokula michango...hapohapo kaahidi elimu bure.
 
MAGUFULI uko sawa hatuna shida na wewe shida yetu ni CCM haki ya MUNGU ungegombea chama kingine ningekupa kura yangu ila kwa ccm nisamehe bure tumechoka kama unavyosema na wewe umechoka toka huko uje tusaidiane mabadiliko maana hamna namna nyingine sasa waondoke tu
 
Nadhani ukweli ni "tumekatishwa tamaa na CCM"! Tutawaonesha kupitia sanduku la kura ni kwa kiasi gani CCM is such a big disappointment.
 
John Magufuli, amesema amejipanga kulipa deni kwa Watanzania kwa kuleta mabadiliko ya kweli. Amesema pamoja na hali hiyo, anatambua namna wananchi walivyokata tamaa ikiwamo kushindwa kubadili maisha yao, kutokana na ubinafsi wa watu wachache ambao wameamua kujimilikisha rasilimali za nchi.


“Ninajua Watanzania wanataka mabadiliko ambayo ni M4C yaani ‘Magufuli for Change’ na kwa lugha ya kawaida ni Magufuli kwa mabadiliko tena ya kweli,” alisema Dk. Magufuli.

Akizungumza namna atakavyoubadili mji wa Iringa, alisema anajua changamoto zilizopo katika mkoa huo, ikiwamo kero ya barabara hasa za ndani.
“Ninawashangaa watu wanasema eti CCM haijafanya kitu na wengine ni hapa hapa Iringa mjini tena mchungaji wa kondoo wa Mungu ambaye anazijua amri kumi za Mungu ikiwemo ya kutosema uongo.

“Tena amekuwa akitukana ovyo ndani na nje ya Bunge nataka kuwaambia mawaziri nao ni binadamu wana nyongo…nataka kuwauliza ikiwa kila siku unamtukana waziri hivi kweli anaweza kukupa fedha za maendeleo, nichagueni mimi na wabunge wa CCM,” alisema.

Alisema anahitaji ushindi wa asilimia 99 ili wapinzani waisome namba kupitia masanduku ya kura.

Mchagueni Magufuli haya yote ana weza

Hatuhitaji Rais asiyeweza kudhibiti chuki yake dhidi ya mwananchi. Kama ameweza kuwabagua wana-Iringa akiwa waziri, je akiwa Rais hawezi kuwaua kabisa watu hao?
 
kwani yule Wa upande Wa pili ye ametokea serikali IPI na kwa miaka mingapi?

Ndiyo maana ametoka kule baada ya kuona gari haliendi akabadili na kupanda gari la uhakika. Angekua anaongea akiwa kule ungeungwa mkono, lakini kauona udhaifu ulioko huko akaondoka. Sasahivi wimbo uliopo nchi nzima ni mabadiliko tu, hata Magufuli umempendeza anauimba. Waliambiwa watanyooka wakabisha, sasa kila mtu anaona hata M4C inaigwa!!! kweli huu ni mwaka wa mabadiliko.
 
Kwahiyo akipita atalipa kisasi kwa wanambeya kisa walimpa makavu live? Mtu yeyote mwenye visasi hafai hata mjumbe wa nyumba kumi.
 
Mbona Anawapigia Campaign Wapinzani.Kweli Magufuli si mwanasiasa.

Waziri miaka 18 Hadi sasa then leo unasema Watz wamekata tamaa.

Hatudanganyiki jibu LA yote haya ni UKAWA tu.
 
John Magufuli, amesema amejipanga kulipa deni kwa Watanzania kwa kuleta mabadiliko ya kweli. Amesema pamoja na hali hiyo, anatambua namna wananchi walivyokata tamaa ikiwamo kushindwa kubadili maisha yao, kutokana na ubinafsi wa watu wachache ambao wameamua kujimilikisha rasilimali za nchi.


"Ninajua Watanzania wanataka mabadiliko ambayo ni M4C yaani ‘Magufuli for Change' na kwa lugha ya kawaida ni Magufuli kwa mabadiliko tena ya kweli," alisema Dk. Magufuli.

Akizungumza namna atakavyoubadili mji wa Iringa, alisema anajua changamoto zilizopo katika mkoa huo, ikiwamo kero ya barabara hasa za ndani.
"Ninawashangaa watu wanasema eti CCM haijafanya kitu na wengine ni hapa hapa Iringa mjini tena mchungaji wa kondoo wa Mungu ambaye anazijua amri kumi za Mungu ikiwemo ya kutosema uongo.

"Tena amekuwa akitukana ovyo ndani na nje ya Bunge nataka kuwaambia mawaziri nao ni binadamu wana nyongo…nataka kuwauliza ikiwa kila siku unamtukana waziri hivi kweli anaweza kukupa fedha za maendeleo, nichagueni mimi na wabunge wa CCM," alisema.

Alisema anahitaji ushindi wa asilimia 99 ili wapinzani waisome namba kupitia masanduku ya kura.

Mchagueni Magufuli haya yote ana weza

Nani kawafanya watanzania kukata tamaa????? Let be objective. Serikali ilikuwa wapi?
 
Back
Top Bottom