technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Buda ina maana ya watu wabishi wasiopenda mamba hata yawe mazuri!!!!
Tanzania imekuwa na buda wengi wasiopenda ukweli na wasiopenda kufanya kazi!!!
Simaanishi ni wote no ila karibu 85% hawatimizi majukumu yako!
Ndo maana Watanzania wanaoishi nje ya Nchi wakirudi wanawashangaa watanzania wengi wanaopenda kukaa vibalazani muda wa kazi na kupiga story!!
Watanzania wanaoishi nje wamekumbana na changamoto nyingi ndo maana hata wakirudi nyumbani wanakuwa very smart!!
Niko na mfano wa mjomba wangu alienda UK miaka ya 1990 kusoma uko Manchester alisoma lakini baada ya kumaliza alikuwa akipambana na changamoto za uko!!!
Mfano baada ya kumaliza masomo alianza kazi kama secretary katika office moja mjini Manchester,ambapo alikuwa akilipa kodi lafiki zake wakamwambia uwezi fanikiwa UK kwa kazi moja no tafuta kazi nyingine
Akatafuta kazi ndani ya uwanja wa Manchester city (Etiad stadium) ya kulipwa kwa masaa alipewa kazi ya kufanya usafi uwanjani baada ya mechi
Lakini ujue wenzetu ambavyo hawana mchezo kwenye kodi walimkata hiyo pesa kodi ingawa alilipwa kwa masaa!!
Akuishia hapo alipata kazi ya tatu kwenye kampuni ya shoeshine kwenye air port ya Manchester kila siku asubuhi kabla aende ofisini alikuwa akishafisha vitu vya wateja wanaopanda ndege na alilipwa kwa masaa na pesa yake ilikatwa kodi !!!
Hivyo alikuwa na kazi tatu
Hivi hapa kwetu Tanzania kwanini tunazarau kazi??
Kazi ni kazi!!
Aliweza Fanya kazi UK kwa miaka 10 na amerudi nyumbani sasa anamiliki Chuo uko kigamboni!!
Amefanikiwa kimaisha kwa sababu ya mapambano!!
Ndo maana mnaiona UK inapendeza swala ni kodi hawana mchezo kwenye kodi !
Na watanzania wengi wanaoishi nje wakirudi wanakuwa very different hawana mzaha hata kidogo!!
So hakuna nchi iliyopata maendeleo bila kukisanya kodi!!!
Kodi lazima ipatikane kwa garama yeyote !!!
Watu wafanye kazi watimize wajibu wao kama amuwezi Fanya kazi tokeni nje ya nchi muone watu wanavyofanya kazi sio kukaa alafu unalalamika!!
Ndo maana namwambia magufuli wakamue hao buda""
Tanzania imekuwa na buda wengi wasiopenda ukweli na wasiopenda kufanya kazi!!!
Simaanishi ni wote no ila karibu 85% hawatimizi majukumu yako!
Ndo maana Watanzania wanaoishi nje ya Nchi wakirudi wanawashangaa watanzania wengi wanaopenda kukaa vibalazani muda wa kazi na kupiga story!!
Watanzania wanaoishi nje wamekumbana na changamoto nyingi ndo maana hata wakirudi nyumbani wanakuwa very smart!!
Niko na mfano wa mjomba wangu alienda UK miaka ya 1990 kusoma uko Manchester alisoma lakini baada ya kumaliza alikuwa akipambana na changamoto za uko!!!
Mfano baada ya kumaliza masomo alianza kazi kama secretary katika office moja mjini Manchester,ambapo alikuwa akilipa kodi lafiki zake wakamwambia uwezi fanikiwa UK kwa kazi moja no tafuta kazi nyingine
Akatafuta kazi ndani ya uwanja wa Manchester city (Etiad stadium) ya kulipwa kwa masaa alipewa kazi ya kufanya usafi uwanjani baada ya mechi
Lakini ujue wenzetu ambavyo hawana mchezo kwenye kodi walimkata hiyo pesa kodi ingawa alilipwa kwa masaa!!
Akuishia hapo alipata kazi ya tatu kwenye kampuni ya shoeshine kwenye air port ya Manchester kila siku asubuhi kabla aende ofisini alikuwa akishafisha vitu vya wateja wanaopanda ndege na alilipwa kwa masaa na pesa yake ilikatwa kodi !!!
Hivyo alikuwa na kazi tatu
Hivi hapa kwetu Tanzania kwanini tunazarau kazi??
Kazi ni kazi!!
Aliweza Fanya kazi UK kwa miaka 10 na amerudi nyumbani sasa anamiliki Chuo uko kigamboni!!
Amefanikiwa kimaisha kwa sababu ya mapambano!!
Ndo maana mnaiona UK inapendeza swala ni kodi hawana mchezo kwenye kodi !
Na watanzania wengi wanaoishi nje wakirudi wanakuwa very different hawana mzaha hata kidogo!!
So hakuna nchi iliyopata maendeleo bila kukisanya kodi!!!
Kodi lazima ipatikane kwa garama yeyote !!!
Watu wafanye kazi watimize wajibu wao kama amuwezi Fanya kazi tokeni nje ya nchi muone watu wanavyofanya kazi sio kukaa alafu unalalamika!!
Ndo maana namwambia magufuli wakamue hao buda""