Magufuli: Walioanza kulalamika hakuna pesa mifukoni ni wale waliozoea kupata pesa za burebure

gimmy's

JF-Expert Member
Sep 22, 2011
3,283
3,274
Haya ni maneno ya mh Magufuli akiwaasa watanzania wafanye kazi kwa badii ili kuweza kujipatia kipato.

Maneno haya ameyatoa alipohudhururia mualiko maalumu kutoka kwa muft mkuu wa dini ya kiislam Tanzania kwenye baraza la la sikuku ya Eid.



Hizi ni salamu kwa wale wote wanaolalamika kwamba sasa wameshaanza kuzisoma namba watambue zile pesa za konakona kwa sasa hakuna ni wakati wa kupata pesa halali.
 
Kweli kabisa.
Wanaolalama ni wale waliyozoea mteremko
00c8e931ba67b6a11b69da4c4645aa6a.jpg
 
Haya ni maneno ya mh Magufuli akiwaasa watanzania wafanye kazi kwa badii ili kuweza kujipatia kipato.
Maneno haya ameyatoa alipohudhururia mualiko maalumu kutoka kwa muft mkuu wa dini ya kiislam Tanzania kwenye baraza la la sikuku ya Eid.
Hizi ni salamu kwa wale wote wanaolalamika kwamba sasa wameshaanza kuzisoma namba watambue zile pesa za konakona kwa sasa hakuna ni wakati wa kupata pesa halali.
Nasikia 'eti' baada ya maneno hayo Rais akagawa pesa bure bure tena mbele ya hadhara, ni kweli?
 
Binafsi naona watu wanalalamika sio kwamba wamezoea vya konakona,pesa imekuwa ngumu kutokana na gharama za maisha na thamani ya pesa inayoingia mkuu.
Nawasilisha
Kweli mkuu kila sehem kumetight VAT 18% kila kona imepelekea kupandisha bei ya mahitaji na mzunguko wa pesa kuwa mdogo
 
Haya ni maneno ya mh Magufuli akiwaasa watanzania wafanye kazi kwa badii ili kuweza kujipatia kipato.

Maneno haya ameyatoa alipohudhururia mualiko maalumu kutoka kwa muft mkuu wa dini ya kiislam Tanzania kwenye baraza la la sikuku ya Eid.



Hizi ni salamu kwa wale wote wanaolalamika kwamba sasa wameshaanza kuzisoma namba watambue zile pesa za konakona kwa sasa hakuna ni wakati wa kupata pesa halali.

SUKARI JUUUUUU KODI JUUU KILA KONA DUKA LANGU LINAKUFA
 

  • Sijawahi kumsikia huyo aliekuwa akipata pesa za mteremko akilalamika kuwa maisha magumu, ila ndio wale wale jua na mvua kwenye miili yao ndio wanao lalamika kuhusu maisha kuwa magumu.​

Uzuri wa hizi media, huwa tunapiga kelele sna na huyo anae pigiwa kelele wala hana habari.

We are being targeted while they are sitting safe and sound in their palaces.
 
Haya ni maneno ya mh Magufuli akiwaasa watanzania wafanye kazi kwa badii ili kuweza kujipatia kipato.

Maneno haya ameyatoa alipohudhururia mualiko maalumu kutoka kwa muft mkuu wa dini ya kiislam Tanzania kwenye baraza la la sikuku ya Eid.



Hizi ni salamu kwa wale wote wanaolalamika kwamba sasa wameshaanza kuzisoma namba watambue zile pesa za konakona kwa sasa hakuna ni wakati wa kupata pesa halali.

Yeye anazogawa kama njugu zinatoka wapi/
 
Mkuu una mawazo kama yangu

Kwani hata sisi ambao hatukuwahi kupata fedha za mteremko tunashuhudia ugumu wa maisha kwa sababu vitu gharama kubwa sana.
Kwa vijana wa lumumba waliomezeshwa cd ya kusifu na kutetea kila kinachotolewa na wakubwa wa ccm
 
Back
Top Bottom