Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,022
- 1,305
Wanabodi! Barabara ya mchomoro hadi Tunduru wamepewa wakandarasi wahindi lakini ni wazembe.Magufuli upo kimya kwanini?
Hiyo kampuni inaitwaje?
Ni kampuni gani hiyo? DB Shapriya au Sharma Kapool Company au what? Tatizo la ucheleweshaji ni la mkandarasi au la kuchelewa kupata malipo ili waendelee na kazi? Wakandarasi wengi hawalipwi on time kwa kazi wanazofanya,.
Wanabodi! Barabara ya mchomoro hadi Tunduru wamepewa wakandarasi wahindi lakini ni wazembe.Magufuli upo kimya kwanini?