Sasa ulitegemea asemeje? Kila siku anakimbiwa yeye tu....hahahahaaa
Mgombea wa urais Dr Magufi amewataka wale wote walio na nia njema ya taifa hili watoke huko walipo na wajiunge na chama cha Ukombozi CCM ili kuendeleza harakati za maendeleo,wakati ni sasa kujiunga na CCM,baada ya october nafasi hiyo itafungwa.
Hata akibinuka jukwaan mara mia hana hadhi ya kuingia ikulu
Ndio maana nampenda sana Magufuli ni mtu wawatu jana kinyongo karibuni ccm
Mgombea wa urais Dr Magufi amewataka wale wote walio na nia njema ya taifa hili watoke huko walipo na wajiunge na chama cha Ukombozi CCM ili kuendeleza harakati za maendeleo,wakati ni sasa kujiunga na CCM,baada ya october nafasi hiyo itafungwa.
safari ccm watatia akili, ule upuuzi uliokuwa ukifanywa na wabunge wa ccm walidhani watu watasahau. Ukweli ni kuwa sio kwamba watu wanamkubali EL kivile lakini ni kwamba tumeichoka ccm. Nasema hivyo kwani watu walijiandikisha kwa wingi ili kuitoa ccm madarakani kabla hata huyo El hajaja na hakuna aliyejua atakuja Ukawa. Mwambie Magufuli hata akiamua kupiga pushup mwanzo wa mkutano na kumalizia na kichura kura hapati yeye, wabunge na madiwani wake.
Mgombea wa urais Dr Magufi amewataka wale wote walio na nia njema ya taifa hili watoke huko walipo na wajiunge na chama cha Ukombozi CCM ili kuendeleza harakati za maendeleo,wakati ni sasa kujiunga na CCM,baada ya october nafasi hiyo itafungwa.
Mgombea wa urais Dr Magufi amewataka wale wote walio na nia njema ya taifa hili watoke huko walipo na wajiunge na chama cha Ukombozi CCM ili kuendeleza harakati za maendeleo,wakati ni sasa kujiunga na CCM,baada ya october nafasi hiyo itafungwa.
Usipende kuwa unakurupuka