Lodrick Thomas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 1,339
- 2,430
Mi nadhan mwisho tutajua akina maguu walipewa shi ngapi mpaka wakasaini mikataba mibovu!Mwisho wa hili sakata ndio tutajua lissu alilipwa sh ngapi kuwatetea acacia
Mi nadhan mwisho tutajua akina maguu walipewa shi ngapi mpaka wakasaini mikataba mibovu!Mwisho wa hili sakata ndio tutajua lissu alilipwa sh ngapi kuwatetea acacia
Magufuli akiongozwa na Tume yake mwenyewe ya Professa Mruma wanadai makonteina yamejaa dhahabu, shaba na fedha zilizochanganyikana na udongo na hazijawahi kusafishwa!
Tundu Lissu anadai makinikia kwenye makonteina ni mabaki baada ya ukekenuaji uliofanyika mgodini Bulyanhulu. Pia 95% ya dhahabu iliyochimbwa huvunwa mgodini na kusafirishwa na ndege huku 5% ndizo huwemo kwenye makinikia.
Serikali inadai hakuna usafishaji wa dhahabu kwa sababu hatuna mitambo ya kusafishia.
Maelezo ya pande mbili ni dhahiri yanakinzana na upande mmoja uko sahihi na mwingine unaongopa.
Ni upande upi unauamini na kwa sababu zipi?
Hata Waliosaini Mikataba ya madini tuchukue asilimia 04% tu ya mrahaba ni Watalaam....Katiba Mpya nayo ilifanyika kitalaamu na ikaja kukataliwa na wanaojua kusoma na kuandika tu.....Magufuli ameongea kwa reference ya Tume ya wataalamu...lakini pia kumbuka ni mkemia mwanasayansi tofauti na ngwini Lissu.
Mkuu let us wait a little while before you make such a sweeping generalization.Magufuli ameongea kwa reference ya Tume ya wataalamu...lakini pia kumbuka ni mkemia mwanasayansi tofauti na ngwini Lissu.
Magufuli akiongozwa na Tume yake mwenyewe ya Professa Mruma wanadai makonteina yamejaa dhahabu, shaba na fedha zilizochanganyikana na udongo na hazijawahi kusafishwa!
Tundu Lissu anadai makinikia kwenye makonteina ni mabaki baada ya ukekenuaji uliofanyika mgodini Bulyanhulu. Pia 95% ya dhahabu iliyochimbwa huvunwa mgodini na kusafirishwa na ndege huku 5% ndizo huwemo kwenye makinikia.
Serikali inadai hakuna usafishaji wa dhahabu kwa sababu hatuna mitambo ya kusafishia.
Maelezo ya pande mbili ni dhahiri yanakinzana na upande mmoja uko sahihi na mwingine unaongopa.
Ni upande upi unauamini na kwa sababu zipi?
Lisu mchoooovu hata kiakili; hajui chochote zaidi ya kuropoka kama wewe!Vutendo gani?? Alipokua anapiga meza makofi mikataba ipite alikua anamaanisha nini??
Magufuli akiongozwa na Tume yake mwenyewe ya Professa Mruma wanadai makonteina yamejaa dhahabu, shaba na fedha zilizochanganyikana na udongo na hazijawahi kusafishwa!
Tundu Lissu anadai makinikia kwenye makonteina ni mabaki baada ya ukekenuaji uliofanyika mgodini Bulyanhulu. Pia 95% ya dhahabu iliyochimbwa huvunwa mgodini na kusafirishwa na ndege huku 5% ndizo huwemo kwenye makinikia.
Serikali inadai hakuna usafishaji wa dhahabu kwa sababu hatuna mitambo ya kusafishia.
Maelezo ya pande mbili ni dhahiri yanakinzana na upande mmoja uko sahihi na mwingine unaongopa.
Ni upande upi unauamini na kwa sababu zipi?
Ingekuwa inavunjwa kijinga angeunda time ya sheria??Kila mtubana haki! Ila kitu sipendi ni unafiki!
Okey lets say anafwatilia...je hiyo mikataba unadhan itavunjwa kijinga tu?? Angekataa isisahiniwe kama kweli alikua na nia njema!
sawa mkali wa chemistry ila kweny makontena hakuna symbol bali kuna madin yenyewe so hatupimi symbol tunapima madini na ktk chemi tunapima reaction yenyeweHiv lissu anajua hata symbol ya GOLD ni Au, Copper ni Cu. ,iron ni Fe, au anaropoka tu?
Bila kujua hizo symbol huwez kujua kilichopo mule, na huwezi kujua any reactionsawa mkali wa chemistry ila kweny makontena hakuna symbol bali kuna madin yenyewe so hatupimi symbol tunapima madini na ktk chemi tunapima reaction yenyewe
Magufuli akiongozwa na Tume yake mwenyewe ya Professa Mruma wanadai makonteina yamejaa dhahabu, shaba na fedha zilizochanganyikana na udongo na hazijawahi kusafishwa!
Tundu Lissu anadai makinikia kwenye makonteina ni mabaki baada ya ukekenuaji uliofanyika mgodini Bulyanhulu. Pia 95% ya dhahabu iliyochimbwa huvunwa mgodini na kusafirishwa na ndege huku 5% ndizo huwemo kwenye makinikia.
Serikali inadai hakuna usafishaji wa dhahabu kwa sababu hatuna mitambo ya kusafishia.
Maelezo ya pande mbili ni dhahiri yanakinzana na upande mmoja uko sahihi na mwingine unaongopa.
Ni upande upi unauamini na kwa sababu zipi?
Rais hawezi kuwa anakaa kufatilia kuprove au kudissprove kila kitu anachosema mtu, akifata ya TL mtataka na ya Zitto afatalie, ana akili yake washauri wake na mipango yake full stop. Hata akifata ushauri wa Lissu sio lazima aseme kwamba ameufata.Magufuli angekuwa na akili angefuatilia hili na kujiridhisha kama hii statement ni kiki tu au ina ukweli wowote. Ila kama kawaida, hatapoteza muda kufuatilia.
Harafu kama zile kontena zimebeba deal la kufa mtu as per Prof. Mruma na team yake, Serikali izinunue basi kwa bei ACACIA aliyokuwa anakwenda kuuza then tukaelewane na wachenjuaji watuchekie kilichomo ndani na tupige faida kabla ya kurudi kujadili terms upya na ACACIA.