Magufuli usichanganye majukumu yako ya kisiasa na ya Kiserikali. Pesa za walipa kodi watanzania zinatumika vibaya

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,898
JPM usichanganye majukumu yako ya kisiasa na ya Kiserikali. Pesa za walipa kodi watanzania zinatumika vibaya.
---------------------------------------------------

Inakuwaje JPM anafanya siasa za chama chake katika Mikutano ya Kiserikali? Mikutano ya wananchi? Kwa kawaida ziara za Rais hugharamiwa na fedha za watanzania wote bila kuangalia kama ni mwanaCCM au chama kingine cha siasa.

...
Siasa ya namna hii ya JPM haikubaliki? Unapokeaje wanachama waliohama toka chama kingine katika mkutano wa kiserikali, mkutano wa wananchi?

JPM pia anajikaanga kwa kuwapigia debe madiwani hao waliohama toka CHADEMA kwa kuwaomba viongozi wa CCM wawape nafasi za kugombea kupitia chama cha CCM; Hii maana yake nini?

Hii maana yake ni kwamba tayari JPM anakiuka utaratibu na kanuni za uongozi na uchaguzi ndani ya chama chake kwa kutoa maelekezo yanayoashiria kuwatenga WanaCCM wengine kuingia kwenye mchakato wa uchaguzi wa ndani wa chama hicho! Mwenyekiti wa Taifa wa chama anayehubiri maadili na CCM mpya leo anafanya haya kwa kutamka!

Yuko wapi HUMPHREY POLEPOLE anayeshadidia kuwa chini ya JPM kuna CCM mpya inatengenezwa ? Chini ya JPM hakuna CCM mpya bali CCM inayorudi kwenye mfumo wa " Zidumu fikra za Mwenyekiti" hii ndiyo CCM inayojengwa chini ya JPM na wanaCCM mnapaswa kulitambua hili.

Nikirejea kwenye matumizi isivyo sahihi za pesa Umma, JPM anapaswa kutenganisha ziara zake za kisiasa na Kiserikali. Anapaswa kuishi kwa kile anachokihubiri na isiwe ni usanii wa kudanganya umma kwamba tunapigania maslahi ya wanyonge ilhali wanyonge hao ni WanaCCM milioni 6 na si Watanzania milioni 54!

Kwenye Mkutano wa kuwa Commission Maafisa wa Jeshi na Mkutano wa wananchi kama ilivyokuwa agenda ya mkutano huo, Rais anafanya siasa, anapokea wanachama wapya ? Hii ndio Tanzania inayorudi miaka 50 nyuma katika demokrasia chini ya JPM!

Tunahitaji matumizi sahihi ya kodi zetu, ni lazima watanzania tupaaze sauti tuseme kwa vinywa vyetu na maneno makali: "Tunahitaji Matumizi sahihi ya fedha zinazotokana na kodi zetu"

Ghafla nimemkumbuka kaka yangu Tundu Lissu, najua angelisemea hili pia. Mungu amponye haraka arudi kuendelea na majukumu ya kutetea na kulinda rasilimali za nchi yetu.

[HASHTAG]#PrayforTunduLissu[/HASHTAG]

2017 Septemba, 23
 
Nyie CHADEMA mmezidi mno kulialia.

Mnastahili kuchapwa bakora ili mkome.
Nyie maccm mnashabikia vitu vya hovyo sana, maadam ni Magu kasema hata kama kakosea mnampigia vigelegele na makofi!
Yeye ni binadamu akikosea akikosolewa kubalini tu, siyo mnashadadia hata mambo ya hovyo hovyo!
Halafu siyo ajabu nyie mnaoshabikia ndio nyie mnaojiita wasomi au huko mlipo mnaonekana wasomi kumbe kichwani zero!
Mkiitwa mazwazwa ni sawa kabisa...
 
Nyie maccm mnashabikia vitu vya hovyo sana, maadam ni Magu kasema hata kama kakosea mnampigia vigelegele na makofi!
Yeye ni binadamu akikosea akikosolewa kubalini tu, siyo mnashadadia hata mambo ya hovyo hovyo!
Halafu siyo ajabu nyie mnaoshabikia ndio nyie mnaojiita wasomi au huko mlipo mnaonekana wasomi kumbe kichwani zero!
Mkiitwa mazwazwa ni sawa kabisa...

Mpigwe tu.
 
Nadhani hata yeye alisema na kuita watu wote palepale uwanjani, sidhani kama hata yale mabango kutatua dhuluma za wananchi kama ni jambo baya., shida ni kutokuwepo watu wa kuhamia upinzani pale uwanjani kwa kuwa hakuwa biased..ni mtizamo tu
 
JPM usichanganye majukumu yako ya kisiasa na ya Kiserikali. Pesa za walipa kodi watanzania zinatumika vibaya.
---------------------------------------------------

Inakuwaje JPM anafanya siasa za chama chake katika Mikutano ya Kiserikali? Mikutano ya wananchi? Kwa kawaida ziara za Rais hugharamiwa na fedha za watanzania wote bila kuangalia kama ni mwanaCCM au chama kingine cha siasa.

...
Siasa ya namna hii ya JPM haikubaliki? Unapokeaje wanachama waliohama toka chama kingine katika mkutano wa kiserikali, mkutano wa wananchi?

JPM pia anajikaanga kwa kuwapigia debe madiwani hao waliohama toka CHADEMA kwa kuwaomba viongozi wa CCM wawape nafasi za kugombea kupitia chama cha CCM; Hii maana yake nini?

Hii maana yake ni kwamba tayari JPM anakiuka utaratibu na kanuni za uongozi na uchaguzi ndani ya chama chake kwa kutoa maelekezo yanayoashiria kuwatenga WanaCCM wengine kuingia kwenye mchakato wa uchaguzi wa ndani wa chama hicho! Mwenyekiti wa Taifa wa chama anayehubiri maadili na CCM mpya leo anafanya haya kwa kutamka!

Yuko wapi HUMPHREY POLEPOLE anayeshadidia kuwa chini ya JPM kuna CCM mpya inatengenezwa ? Chini ya JPM hakuna CCM mpya bali CCM inayorudi kwenye mfumo wa " Zidumu fikra za Mwenyekiti" hii ndiyo CCM inayojengwa chini ya JPM na wanaCCM mnapaswa kulitambua hili.

Nikirejea kwenye matumizi isivyo sahihi za pesa Umma, JPM anapaswa kutenganisha ziara zake za kisiasa na Kiserikali. Anapaswa kuishi kwa kile anachokihubiri na isiwe ni usanii wa kudanganya umma kwamba tunapigania maslahi ya wanyonge ilhali wanyonge hao ni WanaCCM milioni 6 na si Watanzania milioni 54!

Kwenye Mkutano wa kuwa Commission Maafisa wa Jeshi na Mkutano wa wananchi kama ilivyokuwa agenda ya mkutano huo, Rais anafanya siasa, anapokea wanachama wapya ? Hii ndio Tanzania inayorudi miaka 50 nyuma katika demokrasia chini ya JPM!

Tunahitaji matumizi sahihi ya kodi zetu, ni lazima watanzania tupaaze sauti tuseme kwa vinywa vyetu na maneno makali: "Tunahitaji Matumizi sahihi ya fedha zinazotokana na kodi zetu"

Ghafla nimemkumbuka kaka yangu Tundu Lissu, najua angelisemea hili pia. Mungu amponye haraka arudi kuendelea na majukumu ya kutetea na kulinda rasilimali za nchi yetu.

[HASHTAG]#PrayforTunduLissu[/HASHTAG]

2017 Septemba, 23
Kwa taarifa, kwa JPM, fedha za serikali zote ni zake, ana uwezo wa kuamuru chochote na kufanya chochote mahali popote. hakuna cha Katiba wala sheria wala kanuni. Yeye ndiyo katiba, sheria na kanuni. kwa hiyo anaweza kuamua kuongea kama mwenyekiti wa CCM hata akiwa nyumbani kwake na mkewe.
 
Naona mkuu ameamua kubomoa ngome ya Chadema hapo Arusha. Naona 2020 jimbo la Arusha linaenda CCM
 
JPM usichanganye majukumu yako ya kisiasa na ya Kiserikali. Pesa za walipa kodi watanzania zinatumika vibaya.
---------------------------------------------------

Inakuwaje JPM anafanya siasa za chama chake katika Mikutano ya Kiserikali? Mikutano ya wananchi? Kwa kawaida ziara za Rais hugharamiwa na fedha za watanzania wote bila kuangalia kama ni mwanaCCM au chama kingine cha siasa.

...
Siasa ya namna hii ya JPM haikubaliki? Unapokeaje wanachama waliohama toka chama kingine katika mkutano wa kiserikali, mkutano wa wananchi?

JPM pia anajikaanga kwa kuwapigia debe madiwani hao waliohama toka CHADEMA kwa kuwaomba viongozi wa CCM wawape nafasi za kugombea kupitia chama cha CCM; Hii maana yake nini?

Hii maana yake ni kwamba tayari JPM anakiuka utaratibu na kanuni za uongozi na uchaguzi ndani ya chama chake kwa kutoa maelekezo yanayoashiria kuwatenga WanaCCM wengine kuingia kwenye mchakato wa uchaguzi wa ndani wa chama hicho! Mwenyekiti wa Taifa wa chama anayehubiri maadili na CCM mpya leo anafanya haya kwa kutamka!

Yuko wapi HUMPHREY POLEPOLE anayeshadidia kuwa chini ya JPM kuna CCM mpya inatengenezwa ? Chini ya JPM hakuna CCM mpya bali CCM inayorudi kwenye mfumo wa " Zidumu fikra za Mwenyekiti" hii ndiyo CCM inayojengwa chini ya JPM na wanaCCM mnapaswa kulitambua hili.

Nikirejea kwenye matumizi isivyo sahihi za pesa Umma, JPM anapaswa kutenganisha ziara zake za kisiasa na Kiserikali. Anapaswa kuishi kwa kile anachokihubiri na isiwe ni usanii wa kudanganya umma kwamba tunapigania maslahi ya wanyonge ilhali wanyonge hao ni WanaCCM milioni 6 na si Watanzania milioni 54!

Kwenye Mkutano wa kuwa Commission Maafisa wa Jeshi na Mkutano wa wananchi kama ilivyokuwa agenda ya mkutano huo, Rais anafanya siasa, anapokea wanachama wapya ? Hii ndio Tanzania inayorudi miaka 50 nyuma katika demokrasia chini ya JPM!

Tunahitaji matumizi sahihi ya kodi zetu, ni lazima watanzania tupaaze sauti tuseme kwa vinywa vyetu na maneno makali: "Tunahitaji Matumizi sahihi ya fedha zinazotokana na kodi zetu"

Ghafla nimemkumbuka kaka yangu Tundu Lissu, najua angelisemea hili pia. Mungu amponye haraka arudi kuendelea na majukumu ya kutetea na kulinda rasilimali za nchi yetu.

[HASHTAG]#PrayforTunduLissu[/HASHTAG]

2017 Septemba, 23
Naunga mkono hoja, kiukweli hili ni kosa, ila rais wetu pia ni binadamu na sio malaika, kuna baadhi ya makosa anayofanya sio makosa yake, bali ni makosa ya wasaidizi wake ambao wana jukumu la kumsaidia.
Niliwahi kuuliza hivi,
Jee Aachwe Aseme Tuu, By "Taking The Bitter With The Sweet ...

Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! .
Paskali
 
JPM usichanganye majukumu yako ya kisiasa na ya Kiserikali. Pesa za walipa kodi watanzania zinatumika vibaya.
---------------------------------------------------

Inakuwaje JPM anafanya siasa za chama chake katika Mikutano ya Kiserikali? Mikutano ya wananchi? Kwa kawaida ziara za Rais hugharamiwa na fedha za watanzania wote bila kuangalia kama ni mwanaCCM au chama kingine cha siasa.

...
Siasa ya namna hii ya JPM haikubaliki? Unapokeaje wanachama waliohama toka chama kingine katika mkutano wa kiserikali, mkutano wa wananchi?

JPM pia anajikaanga kwa kuwapigia debe madiwani hao waliohama toka CHADEMA kwa kuwaomba viongozi wa CCM wawape nafasi za kugombea kupitia chama cha CCM; Hii maana yake nini?

Hii maana yake ni kwamba tayari JPM anakiuka utaratibu na kanuni za uongozi na uchaguzi ndani ya chama chake kwa kutoa maelekezo yanayoashiria kuwatenga WanaCCM wengine kuingia kwenye mchakato wa uchaguzi wa ndani wa chama hicho! Mwenyekiti wa Taifa wa chama anayehubiri maadili na CCM mpya leo anafanya haya kwa kutamka!

Yuko wapi HUMPHREY POLEPOLE anayeshadidia kuwa chini ya JPM kuna CCM mpya inatengenezwa ? Chini ya JPM hakuna CCM mpya bali CCM inayorudi kwenye mfumo wa " Zidumu fikra za Mwenyekiti" hii ndiyo CCM inayojengwa chini ya JPM na wanaCCM mnapaswa kulitambua hili.

Nikirejea kwenye matumizi isivyo sahihi za pesa Umma, JPM anapaswa kutenganisha ziara zake za kisiasa na Kiserikali. Anapaswa kuishi kwa kile anachokihubiri na isiwe ni usanii wa kudanganya umma kwamba tunapigania maslahi ya wanyonge ilhali wanyonge hao ni WanaCCM milioni 6 na si Watanzania milioni 54!

Kwenye Mkutano wa kuwa Commission Maafisa wa Jeshi na Mkutano wa wananchi kama ilivyokuwa agenda ya mkutano huo, Rais anafanya siasa, anapokea wanachama wapya ? Hii ndio Tanzania inayorudi miaka 50 nyuma katika demokrasia chini ya JPM!

Tunahitaji matumizi sahihi ya kodi zetu, ni lazima watanzania tupaaze sauti tuseme kwa vinywa vyetu na maneno makali: "Tunahitaji Matumizi sahihi ya fedha zinazotokana na kodi zetu"

Ghafla nimemkumbuka kaka yangu Tundu Lissu, najua angelisemea hili pia. Mungu amponye haraka arudi kuendelea na majukumu ya kutetea na kulinda rasilimali za nchi yetu.

[HASHTAG]#PrayforTunduLissu[/HASHTAG]

2017 Septemba, 23
Naunga mkono hoja, kiukweli hili ni kosa, ila rais wetu pia ni binadamu na sio malaika, kuna baadhi ya makosa anayofanya sio makosa yake, bali ni makosa ya wasaidizi wake ambao wana jukumu la kumsaidia.
Niliwahi kuuliza hivi,
Jee Aachwe Aseme Tuu, By "Taking The Bitter With The Sweet ...

Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! .
Paskali
 
Nyie CHADEMA mmezidi mno kulialia.

Mnastahili kuchapwa bakora ili mkome.
Huo ni upuuzi kufanya kila jambo humu linahusu chadema na ccm, hivi wewe huoni hatari ya kuingiza siasa kwenye masuala ya kikatiba yanayohusisha chombo kama Jeshi la wananchi hebu tuwe serious wakati mwingine Tanzania hii inatakiwa kuwepo miaka mingi ijayo tusiangalie leo tu.
 
Nyie CHADEMA mmezidi mno kulialia.

Mnastahili kuchapwa bakora ili mkome.
Nyani ngabu nakushangaa kilasiku,anae koma ni nani?
Mbona mwendo mdundo tu.
Labda waliojifanya wako juu kama wewe ndio wamekoma.
Ukijifanya unakufa na kadi ya Ccm mkononi ndo unakoma.
Mfano Nape goli la mkononi limegeuka kwake la kichwani.
Profesa muongo hivohivo.
Manji yaliyomkuta anajua na ibilisi wake.
Lisu alisema kua kufungwa mdomo ni mpaka afe sio kukoma.
Nani kakoma chadema nakuuliza?Kikwete nae kakoma baada ya kuwashwa ausiyo.
 
Naunga mkono hoja, kiukweli hili ni kosa, ila rais wetu pia ni binadamu na sio malaika, kuna baadhi ya makosa anayofanya sio makosa yake, bali ni makosa ya wasaidizi wake ambao wana jukumu la kumsaidia.
Niliwahi kuuliza hivi,
Jee Aachwe Aseme Tuu, By "Taking The Bitter With The Sweet ...

Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! .
Paskali
Wakija waliokunywa maji ya bendera watakupinga sana, na watasema kafanya sawa kabisa...
Hapo ndio utajua ni kwa nini % kubwa ya watz wanaoshabikia chama cha makinikia ni watu wasio na elimu!
 
JPM usichanganye majukumu yako ya kisiasa na ya Kiserikali. Pesa za walipa kodi watanzania zinatumika vibaya.
---------------------------------------------------

Inakuwaje JPM anafanya siasa za chama chake katika Mikutano ya Kiserikali? Mikutano ya wananchi? Kwa kawaida ziara za Rais hugharamiwa na fedha za watanzania wote bila kuangalia kama ni mwanaCCM au chama kingine cha siasa.

...
Siasa ya namna hii ya JPM haikubaliki? Unapokeaje wanachama waliohama toka chama kingine katika mkutano wa kiserikali, mkutano wa wananchi?

JPM pia anajikaanga kwa kuwapigia debe madiwani hao waliohama toka CHADEMA kwa kuwaomba viongozi wa CCM wawape nafasi za kugombea kupitia chama cha CCM; Hii maana yake nini?

Hii maana yake ni kwamba tayari JPM anakiuka utaratibu na kanuni za uongozi na uchaguzi ndani ya chama chake kwa kutoa maelekezo yanayoashiria kuwatenga WanaCCM wengine kuingia kwenye mchakato wa uchaguzi wa ndani wa chama hicho! Mwenyekiti wa Taifa wa chama anayehubiri maadili na CCM mpya leo anafanya haya kwa kutamka!

Yuko wapi HUMPHREY POLEPOLE anayeshadidia kuwa chini ya JPM kuna CCM mpya inatengenezwa ? Chini ya JPM hakuna CCM mpya bali CCM inayorudi kwenye mfumo wa " Zidumu fikra za Mwenyekiti" hii ndiyo CCM inayojengwa chini ya JPM na wanaCCM mnapaswa kulitambua hili.

Nikirejea kwenye matumizi isivyo sahihi za pesa Umma, JPM anapaswa kutenganisha ziara zake za kisiasa na Kiserikali. Anapaswa kuishi kwa kile anachokihubiri na isiwe ni usanii wa kudanganya umma kwamba tunapigania maslahi ya wanyonge ilhali wanyonge hao ni WanaCCM milioni 6 na si Watanzania milioni 54!

Kwenye Mkutano wa kuwa Commission Maafisa wa Jeshi na Mkutano wa wananchi kama ilivyokuwa agenda ya mkutano huo, Rais anafanya siasa, anapokea wanachama wapya ? Hii ndio Tanzania inayorudi miaka 50 nyuma katika demokrasia chini ya JPM!

Tunahitaji matumizi sahihi ya kodi zetu, ni lazima watanzania tupaaze sauti tuseme kwa vinywa vyetu na maneno makali: "Tunahitaji Matumizi sahihi ya fedha zinazotokana na kodi zetu"

Ghafla nimemkumbuka kaka yangu Tundu Lissu, najua angelisemea hili pia. Mungu amponye haraka arudi kuendelea na majukumu ya kutetea na kulinda rasilimali za nchi yetu.

[HASHTAG]#PrayforTunduLissu[/HASHTAG]

2017 Septemba, 23
Kwanza msijari sana ccm ishapoteza dira na mwelekeo kwa sasa, ebu fuatilia uchaguzi unaoendelea ndani ya chama uone wagombea ni akina nani zaidi ya wakulima na wale wasio na influence ya kukivusha chama kwenye uchaguzi mkuu 2020!
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom