Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Kaka yangu ndugu Rais Magufuli pole sana na kazi ngumu uliyo ianza . Mimi leo nimeona nikuulize tu tokea mbali huku maana siwezi kukusogolea karibu sijui ni hofu au kitu gani sijui ila nimeoma nikuulize tu . Wako walio karibu nawe watakufikishia .
Ndugu Magufuli hivi unayajua madudu ya Hazina na namna walivyo mpata Msajili wa Hazina ? Nikisema msahjili wa hazina wa Treasury Registrar mpya wewe utamjua tu maana ndiye pekee anaye husika hata na mambo ya viwanda kama sijakosea.
Magufuli ilitokea hivi
Katibu Mkuu wa Fedha alitangaza nafasi za kazi . Wakaomba watu na baadaye wakaitwa watu 3 yaani ndugu Mbajo , ndugu Msemwa na ndugu Mafuru .
Mchakato ukawa mzito kwa Msajili wa sasa . Kwa taarifa toka maeneo yaleee zinasema ndugu Mbajo alikuwa kinara akafuatiwa na ndugu Msemwa na mwisho akawa ndugu Mafuru. Ikafanyika vetting bado kwa vigezo na uwezo kinara akawa ndugu Mbajo . Kwa katibu Mkuu wa hazina majina yakaenda 3 na kwa Katibu mkuu Kiongozi nako majina yakaenda kama yalivyo lakini yakiwa na maelezo ya kina ya kila mmoja .
Naambiwa kwamba kufika kwa Katibu mkuu kabisa mchakato ukaanza kusua sua na mwishowe ukawa kimya . Wakato huo msajili alikuwa akifanya kazi kule FBME , baadaye washikaji wake wengine toka NHC wakampigia kifua kwa influency yao akapata kazi BRN .
Ndugu Magufuli ghafla baada ya kingi mwaka jana Dec 2014 Msajili wa sasa akatangazwa kuchukua nafasi hiyo .
Huvi ndugu Rais unaijua elimu ya msajili wa sasa ? Ulizia watu wako watauelezea vyema utashangaa hata CV yake . Lakini mbaya zaidi msajili wa sasa alikuwa anafanya kazi NBC . Unataka kujua habari zake toka huko ? Fika NMB ambako aliomba kazi ile ile ya NBC watu kusikia anataka kwenda hapo na matatizo yake ya NBC wafanyakazi wakatoa taarifa kwa uongozi na wa Dutch wakamtosa .
Huyu ana kashfa za NBC , nadhani pia alidanganya juu ya elimu yake , leo kaka Magufuli unapambana na kufufua viwanda na una watu wameingia kwa nguvu za watu utaweza ?
Kaka yangu Magufuli ndugu Rais najua unaweza ukiamua hebu jaribu kuitisha file lake na uulizie mchakato mzima ulikwaje hadi msajili akatangazwa . Utashangaa sana . Kubwa zaidi kwa sasa ni namna anavyo pangua wataalam wazoefu eneo lile , Nadhani kuna undugu na kujuana kwa kuwa anaweza wanao mtii .
Nasema nasikia na ndiyo maaa ndugu Rais nakuuliza kwamba mesha wahi kusikia juu ya madudu ya hazina na Msajili wake ? Kama bado basi fanya bidii mapema usije kusema mbona hamkusema hata kama mlikuwa mbali .
Waulize watu wako wa suti nyeusi watakueleza . Wako walio shiriki kwenye vetting ila wakapatwa na mshituko wa ajabu kuona wanayo yajua siyo wala waliyo shauri kama watalaam na watu wa utawala bora .
Kaka natoka sasa hapa ughaibuni baridi kali na salaam sana toa huku mbali .
Ndugu Magufuli hivi unayajua madudu ya Hazina na namna walivyo mpata Msajili wa Hazina ? Nikisema msahjili wa hazina wa Treasury Registrar mpya wewe utamjua tu maana ndiye pekee anaye husika hata na mambo ya viwanda kama sijakosea.
Magufuli ilitokea hivi
Katibu Mkuu wa Fedha alitangaza nafasi za kazi . Wakaomba watu na baadaye wakaitwa watu 3 yaani ndugu Mbajo , ndugu Msemwa na ndugu Mafuru .
Mchakato ukawa mzito kwa Msajili wa sasa . Kwa taarifa toka maeneo yaleee zinasema ndugu Mbajo alikuwa kinara akafuatiwa na ndugu Msemwa na mwisho akawa ndugu Mafuru. Ikafanyika vetting bado kwa vigezo na uwezo kinara akawa ndugu Mbajo . Kwa katibu Mkuu wa hazina majina yakaenda 3 na kwa Katibu mkuu Kiongozi nako majina yakaenda kama yalivyo lakini yakiwa na maelezo ya kina ya kila mmoja .
Naambiwa kwamba kufika kwa Katibu mkuu kabisa mchakato ukaanza kusua sua na mwishowe ukawa kimya . Wakato huo msajili alikuwa akifanya kazi kule FBME , baadaye washikaji wake wengine toka NHC wakampigia kifua kwa influency yao akapata kazi BRN .
Ndugu Magufuli ghafla baada ya kingi mwaka jana Dec 2014 Msajili wa sasa akatangazwa kuchukua nafasi hiyo .
Huvi ndugu Rais unaijua elimu ya msajili wa sasa ? Ulizia watu wako watauelezea vyema utashangaa hata CV yake . Lakini mbaya zaidi msajili wa sasa alikuwa anafanya kazi NBC . Unataka kujua habari zake toka huko ? Fika NMB ambako aliomba kazi ile ile ya NBC watu kusikia anataka kwenda hapo na matatizo yake ya NBC wafanyakazi wakatoa taarifa kwa uongozi na wa Dutch wakamtosa .
Huyu ana kashfa za NBC , nadhani pia alidanganya juu ya elimu yake , leo kaka Magufuli unapambana na kufufua viwanda na una watu wameingia kwa nguvu za watu utaweza ?
Kaka yangu Magufuli ndugu Rais najua unaweza ukiamua hebu jaribu kuitisha file lake na uulizie mchakato mzima ulikwaje hadi msajili akatangazwa . Utashangaa sana . Kubwa zaidi kwa sasa ni namna anavyo pangua wataalam wazoefu eneo lile , Nadhani kuna undugu na kujuana kwa kuwa anaweza wanao mtii .
Nasema nasikia na ndiyo maaa ndugu Rais nakuuliza kwamba mesha wahi kusikia juu ya madudu ya hazina na Msajili wake ? Kama bado basi fanya bidii mapema usije kusema mbona hamkusema hata kama mlikuwa mbali .
Waulize watu wako wa suti nyeusi watakueleza . Wako walio shiriki kwenye vetting ila wakapatwa na mshituko wa ajabu kuona wanayo yajua siyo wala waliyo shauri kama watalaam na watu wa utawala bora .
Kaka natoka sasa hapa ughaibuni baridi kali na salaam sana toa huku mbali .