chagga land
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 394
- 95
watendaji wa kila wizara wapo wengi sana cha msingi ni kufuatilia tu utendaji wao.hakuna haja ya kuwa na baraza la mawaziri maana watakuharibia tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawaziri watakao chaguliwa hamtoamini macho yenu
watendaji wa kila wizara wapo wengi sana cha msingi ni kufuatilia tu utendaji wao.hakuna haja ya kuwa na baraza la mawaziri maana watakuharibia tu
watendaji wa kila wizara wapo wengi sana cha msingi ni kufuatilia tu utendaji wao.hakuna haja ya kuwa na baraza la mawaziri maana watakuharibia tu
Kwa hali ilivyo huenda watu kama mwakyembe wakakoswa uwaziri
Kwa kasi hii hakuna haja ya mawaziri, ni matumizi mbaya ya pesa za umma
Wenzako tunangojea shavu la uwaziri wewe unasema hatutakiwi? Hata hiyo, waziri ni buffer zone ya maamuzi ya serikali ambayo ni controversial. Tunahitajika ili 'kuinusuru serikali isianguke'.
Wawepo mawaziri but manaibu watolewe.makatibu pia ni wa muhimu
Mimi ninavyoona mawaziri wawepo ila manaibu mawaziri ndio wasiwepo na wizara zipunguzwe sana.
watendaji wa kila wizara wapo wengi sana cha msingi ni kufuatilia tu utendaji wao.hakuna haja ya kuwa na baraza la mawaziri maana watakuharibia tu