fangfangjt
JF-Expert Member
- Apr 25, 2008
- 571
- 139
SOURCE TBC1.
Magufuli ameahidi (serikali) kutoa 40% ya gharama za daraja. NSSF wamesema tayari wanayo 60% ya gharama nzima ya daraja.
Magufuli ametaka tenda itangazwe haraka iwezekanavyo
Magufuli ameahidi (serikali) kutoa 40% ya gharama za daraja. NSSF wamesema tayari wanayo 60% ya gharama nzima ya daraja.
Magufuli ametaka tenda itangazwe haraka iwezekanavyo