Uncle Yoso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 378
- 262
Kama kichwa tajwa hapo juu.
Mzee baba MAGU mtaani sio kuzuri kabisa aiseee saidia vijana wako tupate angalau pa kukusifia kwa wazee wetu miaka kenda sasa tunatapatapa mtaani bachelor zetu hazina hata maana kwenye jamii, utatupa lini AJIRA ?
Mzee baba MAGU mtaani sio kuzuri kabisa aiseee saidia vijana wako tupate angalau pa kukusifia kwa wazee wetu miaka kenda sasa tunatapatapa mtaani bachelor zetu hazina hata maana kwenye jamii, utatupa lini AJIRA ?