Magufuli The Chemistry Engineer, The Implementer of Mega Economically viable Projects, the inborn intelligent bulldozer President

Corticopontine

JF-Expert Member
Sep 20, 2019
664
1,272
President John Magufuli is a chemical engineer. He holds a PhD in Chemistry from the University of Dar es Salaam. Undeniably, he is fond of construction and has demonstrated the knack to push projects through once he buys into it.
It is not for nothing that he has been nicknamed ‘bulldozer’, a tag he has earned since his service as minister for works in the past.

In fact, it was his role as the minister of works that made him easily recognisable. He was seen as a tireless worker who did not shy away from rolling up the sleeves to join people in the field to get results.

It was this image that he, not surprisingly, used for his campaign for the presidency in 2015 elections.
No sooner had President Magufuli assumed the highest position of administration almost three years ago than he chose mega projects as his administration’s flagship.
 
Hahaha MEGA Project kwa pesa gani? Nasikia wakopeshaji wamekataa kukopesha wanataka muuze bombardier zenu mjenge madaraja yenu.
 
Kwenye PhD mbowe na zero yake akisikia itakuwa noma

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUO
Kwenye PhD mbowe na zero yake akisikia itakuwa noma

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app

ALIANDIKA BEN SAANANE

Kuanzia nilipoibua mjadala wa Uhalali wa Phd ya Mhe.Magufuli niliacha rasmi kumu-address kama Dr.Magufuli na kutumia Ndugu au Mheshimiwa tu hadi itakapothibitika ni Halali.

Nimesoma Hoja ya Prof.Kitila kuhusu PhD ya Magufuli.

Prof.Kitila ni Rafiki yangu sana.Yeye ni kaka yangu na ananichukulia kama mdogo wake.

Katika Kuchangia Mjadala wa PhD ameandika "UDSM hakuna namna mtu kupata Cheti Fake na huwa hatuangalii sura ya Mtu...". Kwa hiyo. .. "PhD ya Magufuli haina kasoro".

Vilevile kuna watu Mwanzo walisema masuala ya Machapisho hayana maana lakini cha ajabu wameweka waliyoita Machapisho ya Magufuli na pia kuweka Picha akiwa amevaa mavazi ya Graduation kama vile ndio Authentificatio
n ya PhD ya Magufuli.

Wengine wakaanza kusema Rombo ina matatizo hivyo niachane na PhD ya Magufuli.Utadhani kuhoji uhalali wa PhD ya Magufuli ndio kumeleta madhara Rombo.Wasomi wetu wengine wakoje?

Nataka kugusia hoja ya Prof.Kitila kuhusu kuwa hakuna namna ya kufanya Udanganyifu UDSM .

1-Prof.Kitila anaweza kuwa Mwaadilifu sana katika kusimamia taaluma na kazi yake kama Mhadhiri Chuoni.

Lakini ni kosa kubwa ku-assume kila mtu ni mwadilifu.

Tukienda hivyo tutaua nchi na ndio maana wengine tunasizitiza sana Kuimarisha Taasisi zetu na mifumo.

Hapo ni kama vile ku-assume kuwa kila mtu ni mpigaji.Hivyo tunasizitiza haja ya kuimarisha taasisi na mifumo ambayo itadhibiti mafisadi na watu wasio waadilifu baadala ya ku-assume kila mtu ni mtakatifu .

Kama watu waliweza ku-forge documents Serikalini na Kuchota Fedha Za EPA au ESCROW ni mechanism gani itakayozuia PhD za Mbeleko vyuoni kwetu hasa zinazohusu wanasiasa?

Tena katika mazingira yanayoashiria mbeleko kwa Mbebaji kumshusha aliyembeba nae akambeba kwa kumteua kushika ujumbe wa Bodi?

2-Kama Seif-Al Islam Mtoto wa Ghaddafi alikuja kuibuliwa kwa kashfa ya kuhonga na kupata PhD ya mbeleko Kule London School of Economics(LSE) sass UDSM ina mfumo gani thabiti wa kuepuka fraud kuliko LSE?

Kwa Mujibu wa Academic Perfomance Center chuo kikuu cha London School of Economics kilishika nafasi ya pili kwa miaka kadhaa mfululizo kwa ubora duniani wakati UDSM ikishika nafasi ya 1618 kati ya Vyuo 2,000.

LSE iko vizuri kiteknolojia na kitaaluma katika kuzuia academic Misconduct kuliko UDSM lakini bado Seif Al-Islam alifanya.

3-UDSM imewahi kukumbwa na staff waliofanya Udanganyifu kwenye taaluma na Prof.Maboko aliwahi kuutangazia Umma.

UDSM hii hii imeshawahi kutoa wanafunzi waliofanya udanganyifu na baadhi yao kuvuliwa Degree zao.

Charles I . Ng'imba aliwahi kuvuliwa Digrii yake aliyoipata kwenye Graduation ya Tarehe 29 August ,1987.

Unasema haiwezekani?
4-Kuna hao walioleta machapisho waliodai ni Ya Magufuli na kudai kuwa alistahili PhD kwa sababu alishaandika tangu 2003.

Tena nimeona ameshirikiana baadhi na huyo Supervisor wake.
Sasa watuambie alifanya PhD by Publication?

Sweden ,Australia na hata Uholanzi(Najua Unafahamu) inaruhusiwa PhD by Publication.

Kwa faida ya mjadala tu: Ni kuwa PhD by Publication zinakusanywa paper zote na kuziandikia Covering Essay na jumla na paper iwe na maneno si chini ya 20,000 ikiwa condition na masharti mengine ya submission yapo constant.

Pia inazingatiwa ni paper ngapi umeandika mwenyewe na ni ngapi umeshirikiana(Co-Author).

Na katika kushirikiana ni ipi jina lako limekua la kwanza maana inabeba uzito wa synopsis.

Sasa Katika hizo Paper alizoweka the so called (Dr.!?) Chahali ni Tatu tu anazooneshwa kaandika yeye na zipo kwenye vijarida vya uchochoroni tu sio kwenye respectable Journals huko.

So swali la PhD Candidate huyu kuipata PhD kwa miaka 3 akiwa Part time Candidate kinyume na Prospectus halijajibiwa.

Ingawa Prof.Kitila umetoa maoni yako tu kama mchangiaji na Sio Authority ya UDSM au Supervisor wake(Ofcourse hawezi kujitokeza tena maana ni mteule wa Bodi) lakini naheshimu maoni yako uliyotoa kistaarabu bila matusi kama hao waliomtetea kwa vitisho na matusi kwa hoja zao za kula nae Canteen au kumuona amevaa vazi la graduation.

UDSM kama vilivyo vyuo vingine au taasisi nyingine nchini haina kinga thabiti dhidi ya Academic Fraud hasa zinazohusisha wanasiasa na vigogo serikalini.Hiyo hoja haijaleta uzito wa kutosha katika authentification ya PhD ya Mkuu wetu.

Tena nilicheka sana nilivyo-imagine jinsi kazi ya Literature Review ya Mkuu wetu ingefanana. With knowledge that Examiners may tolerate grammer idiosyncratic than any other mess.Sijui Lugha na VIVA ilikuaje. Don't joke! Ile lugha yake ile ...! Haya!

Hoja ya Prof.Buchweshwaija kuwa co-author kwenye paper yake kisha kuja kuwa Supervisor wake na kisha kuja kuwa mteuliwa wa Waziri aliyeteuliwa na yeye mwanafunzi wake tunaweza kuli-debate left-right-center hasa tunapoangalia mfumo wetu wa elimu na uadilifu.

Ofcourse nakiri kuwa wakati wa kuanza PhD yangu niliwahi kukuambia nilipata headache sana kuhakikisha kuwa napata Supervisor maahiri ndani yawanakamati.Maana uliwahi kufanya mchakato wa kujiunga na chuo hicho kabla hujajiunga Southampton University kwa PhD yako.

I knew as PhD candidate,Institution'll gain through my presence by gaining credibility,profile and funding. Why should I allow them to treat me as an inconvinient ,Incompetent fool? Si lazima nami niwe smart kujilinda?

So kwa Case ya Magufuli na SUP wake twaweza kui-debate kweli kuanzia co-authorship.

Sijui independence ya Mwanafunzi huyo ilikuaje hata kama ilikua ni Ph.D by Publication.

Ni vyema tu akajitokeza kutoa ufafanuzi au Chuo .Mbona lile la silaha alipohakiki hadi watu wengine walikua proud kuiweka picha yake na bastola kama Profile ya groups za Watsap?
 
Back
Top Bottom