Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,110
- 39,286
Kuna Msemo unasema Majira hayafwati watu, bali watu hufuata majira!
Wahenga walienda mbali zaidi kwa kusema wakati ukuta, ukipambana nao utaumia.
Kwako rais Magufuli, wapambe wako, wafuasi wako na mawakala wako. Napenda nikupe ujumbe huu wa kihistoria kuwa usije ukadhani unapambana na watu individually! Nop! Unakosea sana ndio maana unaona kwa kadiri unavyokazana kununua au kunyamazisha hawa wanaibuka wale!!
Unaonekana si mwanafunzi kabisa wa historia Leo naomba nikufundishe!!
Dola ya Rumi ilishindana sana na watu ili isianguke lakini wakati haukua upande wake ikaanguka!!
Ukoloni uliua na kutesa wapigania uhuru wengi ukiamini ndio adui waliopambana nao kumbe haikua hivyo ilikua ni wakati na majira ukoloni ukaanguka!!
Ulaya na Marekani uzionazo Leo demokrasia hazikuja tuu kama mwewe!! Watu waliuawa wengine kuteswa hadi kupelekea revolutions mbalimbali huko kwao lkn mwisho wa siku wakati ulishinda!!
Robert Mugabe alinyamazisha sauti zote zilizompinga ikiwemo mpinzani wake Mkuu Shangirai!! Mugabe aliamini kumalizika kwa kansa kwa mpinzani wake ndio angehudumu Milele lakini aliangushwa dakika ambazo hakukua na sauti yoyote ya kumpinga!!
Kulikuwako na madikteta wengi wenye nguvu na ushawishi mkubwa walioua maelfu ya wapinzani na sasa hawako tena na kumbukumbu Lao limesahaulika!!
Jiulize tangu kuanza kwa siasa Za vyama vingi nchini walinzani wangapi wameuawa, kununuliwa ama kunyamazishwa lakini upimzani umekua siku hata siku?
Nakutahadharisha kuwa akinyamaza Lissu wataibuka wengine,
Kaa utambue huu unaopambana nao ni wakati ambao unaruhusu mawazo tofauti, uhuru wa watu na ustawi bora wa fikra katu hutaweza shindana nao!! Haya ni majira ya fikra huru huwezi pambana na majira!!
HAKUNA ALIYEPAMBANA NA WAKATI AKASHINDA!! UNAPOTEZA MUDA NA NGUVU BURE!!
Wahenga walienda mbali zaidi kwa kusema wakati ukuta, ukipambana nao utaumia.
Kwako rais Magufuli, wapambe wako, wafuasi wako na mawakala wako. Napenda nikupe ujumbe huu wa kihistoria kuwa usije ukadhani unapambana na watu individually! Nop! Unakosea sana ndio maana unaona kwa kadiri unavyokazana kununua au kunyamazisha hawa wanaibuka wale!!
Unaonekana si mwanafunzi kabisa wa historia Leo naomba nikufundishe!!
Dola ya Rumi ilishindana sana na watu ili isianguke lakini wakati haukua upande wake ikaanguka!!
Ukoloni uliua na kutesa wapigania uhuru wengi ukiamini ndio adui waliopambana nao kumbe haikua hivyo ilikua ni wakati na majira ukoloni ukaanguka!!
Ulaya na Marekani uzionazo Leo demokrasia hazikuja tuu kama mwewe!! Watu waliuawa wengine kuteswa hadi kupelekea revolutions mbalimbali huko kwao lkn mwisho wa siku wakati ulishinda!!
Robert Mugabe alinyamazisha sauti zote zilizompinga ikiwemo mpinzani wake Mkuu Shangirai!! Mugabe aliamini kumalizika kwa kansa kwa mpinzani wake ndio angehudumu Milele lakini aliangushwa dakika ambazo hakukua na sauti yoyote ya kumpinga!!
Kulikuwako na madikteta wengi wenye nguvu na ushawishi mkubwa walioua maelfu ya wapinzani na sasa hawako tena na kumbukumbu Lao limesahaulika!!
Jiulize tangu kuanza kwa siasa Za vyama vingi nchini walinzani wangapi wameuawa, kununuliwa ama kunyamazishwa lakini upimzani umekua siku hata siku?
Nakutahadharisha kuwa akinyamaza Lissu wataibuka wengine,
Kaa utambue huu unaopambana nao ni wakati ambao unaruhusu mawazo tofauti, uhuru wa watu na ustawi bora wa fikra katu hutaweza shindana nao!! Haya ni majira ya fikra huru huwezi pambana na majira!!
HAKUNA ALIYEPAMBANA NA WAKATI AKASHINDA!! UNAPOTEZA MUDA NA NGUVU BURE!!