Magufuli somo kwa viongozi ving`ang`anizi wa madaraka Afrika

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,909
51,904
Kuna maraisi ambao hujiona kuwa wao tu ndio wanaotakiwa kuongoza kwa miaka eti wao tu ndio wanaweza nchi nzima hakuna mwingine.Kwa hiyo utakuta hawana ukomo wa tawala zao wanaendelea tu.Cha kujifunza toka kwa Magufuli ni kuwa hata nchi hizo wapo akina Magufuli wanaoweza kuwa na mitizamo mipya na utendaji mpya kama hao wakongwe wasiotaka kuachia madaraka wakitoka.Wasiogope kuachia madaraka na kupisha wengine.
 
  • Thanks
Reactions: F9T
Kama ilivyo Zanzibar CCM wanajiona wao tu ndio wenye haki ya kuongoza

Topic inaongelea viongozi ving`ang`anizi.Mfano mzuri ni SEIF SHARIFF Hamad yeye ndio mgombea wa maisha wa CUF zanzibar.Miaka yote mgombea ni yeyeye.Na pia yeye ndie katibu mkuu wa maisha wa CUF.Viongozi aina ya Seif Shariff Hamad ndio nawalenga.
 
Topic inaongelea viongozi vuing`ang`anizi.Mfano mzuri ni SEIF SHARIFF Hamad yeye ndio mgombea wa maisha wa CUF zanzibar.Miaka yote mgombea ni yeyeye.Na pia yeye ndie katibu mkuu wa maisha wa CUF.Viongozi aina ya Seif Shariff Hamad ndio nawalenga.
Ving'ang'anizi ni wale walioshindwa uchaguzi wakang'ang'ania madaraka kama ilivyo kwa Shein suala la kugombea halina uhusiano na kung'ang'ania madaraka.
 
Topic inaongelea viongozi ving`ang`anizi.Mfano mzuri ni SEIF SHARIFF Hamad yeye ndio mgombea wa maisha wa CUF zanzibar.Miaka yote mgombea ni yeyeye.Na pia yeye ndie katibu mkuu wa maisha wa CUF.Viongozi aina ya Seif Shariff Hamad ndio nawalenga.
Nyongeza nyingine ni Freeman Mbowe, alitakiwa awe ameondoka madarakani mwaka 2014, lakini katiba imebadilishwa ili aendelee kuwepo. Yale yale ya Yoweri Museveni, mwaka 1986 nipo darasa la sita ndio aliingia kwenye urais, mpaka leo kichwa changu kina mvi bado anagombea.
 
Back
Top Bottom