Magufuli siyo shujaa wa Afrika, Kikwete ni shujaa wa Afrika

Hauna maneno ya kuudhi hata kidogo, nahisi kukupenda, kwani umeolewa?
kuudi sipafahamu.
Mimi siyo mlevi babu!! Kwakweli km
umenipenda?? Au umenitamani tu,
Sema tuyajenge kinafiki.
haya ninayosema hapa chini ni muhimu kwa maisha ya mtu...

kwanza una hela babu??
Unaishi wapi jieleze. km katavi.sijui Dar no.

Ok! Una hela kiasi gani.onyesha hapa.kadi unayo tumia faster usijeenda kuazima huko.

Unamiliki nini!! Any thing of african value weka hapa nisije nunua maatizo....
Je unapumulia wapi....
Kidizo unacho??
 
Nilipokuwa nafuatilia msiba wa Magufuli, kwenye Television ya Taifa TBC, walikuwa wameweka maneno kumhusu Magufuli kuwa ni Shujaa wa Afrika lakini nikawa navuta fikra. Je, ushujaa wa Magufuli kwa Afrika ni upi?, Nikasema pengine ni kwa "Rhetoric" zake za kutukana Wazungu na kuwaita Mabeberu, lakini Mabeberu hao walipokuwa wakikohoa tu, mzee mzima anagwaya na anatii.

Kiufupi Magufuli alikuwa akiogopa sana Kibinyo cha Wazungu kuliko kelele za raia wake wenyewe. Tuliona kwa mfano “Mabeberu" wakimwambia abadilishe sheria za takwimu na akatii, Walimwambia aruhusu watoto wajawazito waendelee na masomo akabadili mwelekeo. "Mabeberu" ndiyo walioingilia kati Lissu apewe safe passage kurudi Ulaya na serikali ya Magufuli ikampa na passport kabisa, la sivyo habari leo hii ingeukwa nyingine!.

Mfano mwingine ni kwenye Makubaliano na Barick kuhusu mustakbali wa kampuni hiyo juu ya uchimbaji madini nchini, Kabla ya makubaliano hayo Serikali ya Magufuli ilipeleka muswada chapuchapu bungeni juu ya rasilamli zetu, na mle ndani sheria iliyotengenezwa ikasema Makinikia yatakuwa yanachenjuliwa hapahapa Tanzania, Lakini cha ajabu kwenye makubaliano na Barick mwaka mmoja au miwili baadae akavunja sheria yake mwenyewe, kwa kuruhusu makinikia yawe yanasafirishwa nje!. Sasa hiyo hype ya kuwa alipambana na Mabeberu inatoka wapi?

Najiuliza ushujaa wa Magufuli kwa Afrika ni upi wakati dalili zote za aina ya uongozi wake ilikuwa ni kutaka kuturudisha kwenye Afrika ya kale ambapo mtawala akiongea hakuna wa kuquestion la sivyo utakiona cha mtema kuni. Kiufupi Magufuli aliparalyse mifumo ambayo ingeijenga nchi kusimama kitaasisi na badala yake akaanza kutunga sheria na kufanya matendo ambayo yanazidi kumlibikizia yeye madaraka, chukulia mfano sheria ya rasilimali za Taifa, Hiyo sheria ilienda kuweka madini yote chini ya ofisi ya rais

Kwa kweli nikiangalia kitu chochote exclusive ambacho Magufuli amefanya kwa ajili ya Afrika nzima ni kama hakuna!

Lakini hii ni tofauti na Mstaafu Kikwete, Kikwete kuna mambo aliyafanya naweza kusema bila wasiwasi na kwa rekodi kuwa huyu mwana wa Afrika anastahili kupewa heshima yake na Afrika nzima

1. Kikwete alishiriki katika Usuluhishi wa Kenya
Baada ya uchaguzi mkuu wa Kenya mwaka 2007,wakati Wakenya wakichinjana na kuhasimiana kitu kilichohatarisha kuzuka kwa vita ya wenyewe kwa Wenyewe, Rais Kikwete aliingilia kati kusuluhisha kambi hasimu za Raila Odinga na Mwai Kibaki, Pamoja na Juhudi za Kikwete pia walikuwepo marais wastaafu wa Afrika akiwemo hayati Mkapa. Ni kutokana na kazi hii Nchi ya Kenya ilimpa heshima ndugu Kikwete kuhutubia mabunge mawili ya Kenya, heshima ambayo ilikuwa hajawahi kupewa rais yeyote wa Tanzania kabla yake. Pia kwa kutambua kazi ya kikwete kwenye kuleta amani Kenya, barabara moja nchini Kenya , jijini nairobi ilibadilishwa na kupewa jina lake

2. Kikwete ainusuru Comoro dhidi ya kikosi cha Wahuni cha kanali Bacar
Wakati Comoro ikiwa inaelekea katika mtanzuko wa machafuko baada ya kikosi cha Muasi Kanali Bacar kuasi, Ni dhahiri visiwa hivi vya Comoro vingekuwa katika machafuko makubwa ikiwemo umwagaji damu, Ilikuwa ni Intervention ya Rais Kikwete kupeleka jeshi letu la JWTZ kwenda kuweka mambo sawa. JWTZ walipiga kazi nzuri na ndani ya wiki moja nchi ile ikawa imeshakuwa stabilized. Je ni watu wangap wangeuawa kama si kwa intervention ya Tanznaia, Ni wanawake wangapi wangebakwa?.Ikumbukwe siyo JK wa kwanza kuisapoti Comoro kijeshi, Hata mwalimu Nyerere amewahi kuisaidia Comoro ili kupambana na wakoloni wa ufaransa.

3. Kikwete ainusuru Congo dhidi ya Wahuni wa M23
Hawa wanayarwanda walikuwa wakiiba mali, kuua watu congo, Ni mpaka Viongozi wenye maono kama Kikwete waliojitolea kuendesha mission ya UN ya kuwadhibiti hao waasi. JWTZ kwa kushirikiana na majeshi ya Afrika ya kusini na Malawi walifanya kazi nzuri sana ya kuwadhibiti hao akina Jenerali Nkunda. Bila shaka ukiwauliza watu wa mashariki ya Congo kuhusu Intervention hiyo ya Kikwete, watakwambia huyu mtu ni shujaa wao

4. Usuluhishi wa Mgogoro Madagascar
Hali ya Madagascar ilikuwa imeshakuwa tete, magonvi na kupinduana kukiwa kumeiweka ile nchi katika hali ya sintofahamu, hali ya hofu mitaani. Ilikuwa ni kazi nzuri ya Kikwete kutafuta usuluhishi wa kisiasa huko

Maandiko yanasema heri wapatanishi!

Nikimpima Kikwete na Magufuli katika kutafuta ustawi wa bara la afrika, ikiwemo usuluhishi na upatanaishi, kutafuta amani ya watu wake, Kwa kweli Kikwete aliifanyia makubwa Afrika. Huyu anafaa kuitwa shujaa wa Afrika katika viongozi wa rika la hivi karibuni.

Magufuli yeye ni shujaa wa Afrika katika lipi?
Shujaa wa kupaaa Kikwete ni Raisi hovyo alie wahi kutawala... Mnatulazimisha eti kikwete shujaaa labda kwenye mitandao sisi watanzania JPM ndo baba wa taifa ameacha alama ya kipekeee hasa kwenye maamuzi magumu... Kikwete muoga tu akisikia tatizo anaingia mitini. Eti acha upepo upite...
 
Ukiangalia internal issues kama hizo basi Afrika itakosa shujaa maana hata Nyerere alikuwa na mapungufu yake, ikiwemo kupora mali za watu kwa jina ka Utaifishaji, Kusapoti waasi wa Biafra, kuebdesha ziezi la vijiji vya ujamaa alipokwenda kuwatupa watu ambao wengine wakiishi kwa Tabu na mateso makubwa, Udikteta wa zidumu fkra za mwenyekiti, Kulea waharibifu mtu anaharibu shirika moja unamhamishia shirika jingine

Anfalia wider issues achaba na changamoto za ndani
Mbona hukusema Kikwete alivyotukosanisha na Rwanda? Alivyotukosanisha na Kenya kwa ku-comment mbele ya Bush juu ya matatizo yao. Mbona hujaeleza vitisho tulivyopata toka mauaji ya Rufiji. Acha kusifia wadhaifu. Tafuta shujaa mwingine, ila kama unamuona ni shujaa, ni wako!
 
Ukiangalia internal issues kama hizo basi Afrika itakosa shujaa maana hata Nyerere alikuwa na mapungufu yake, ikiwemo kupora mali za watu kwa jina ka Utaifishaji, Kusapoti waasi wa Biafra, kuebdesha ziezi la vijiji vya ujamaa alipokwenda kuwatupa watu ambao wengine wakiishi kwa Tabu na mateso makubwa, Udikteta wa zidumu fkra za mwenyekiti, Kulea waharibifu mtu anaharibu shirika moja unamhamishia shirika jingine

Anfalia wider issues achaba na changamoto za ndani
Mzembe wa kufikiri huyo achana nae!! Eti uamsho sasa alitaka akawachekee
 
Nilipokuwa nafuatilia msiba wa Magufuli, kwenye Television ya Taifa TBC, walikuwa wameweka maneno kumhusu Magufuli kuwa ni Shujaa wa Afrika lakini nikawa navuta fikra. Je, ushujaa wa Magufuli kwa Afrika ni upi?, Nikasema pengine ni kwa "Rhetoric" zake za kutukana Wazungu na kuwaita Mabeberu, lakini Mabeberu hao walipokuwa wakikohoa tu, mzee mzima anagwaya na anatii.

Kiufupi Magufuli alikuwa akiogopa sana Kibinyo cha Wazungu kuliko kelele za raia wake wenyewe. Tuliona kwa mfano “Mabeberu" wakimwambia abadilishe sheria za takwimu na akatii, Walimwambia aruhusu watoto wajawazito waendelee na masomo akabadili mwelekeo. "Mabeberu" ndiyo walioingilia kati Lissu apewe safe passage kurudi Ulaya na serikali ya Magufuli ikampa na passport kabisa, la sivyo habari leo hii ingeukwa nyingine!.

Mfano mwingine ni kwenye Makubaliano na Barick kuhusu mustakbali wa kampuni hiyo juu ya uchimbaji madini nchini, Kabla ya makubaliano hayo Serikali ya Magufuli ilipeleka muswada chapuchapu bungeni juu ya rasilamli zetu, na mle ndani sheria iliyotengenezwa ikasema Makinikia yatakuwa yanachenjuliwa hapahapa Tanzania, Lakini cha ajabu kwenye makubaliano na Barick mwaka mmoja au miwili baadae akavunja sheria yake mwenyewe, kwa kuruhusu makinikia yawe yanasafirishwa nje!. Sasa hiyo hype ya kuwa alipambana na Mabeberu inatoka wapi?

Najiuliza ushujaa wa Magufuli kwa Afrika ni upi wakati dalili zote za aina ya uongozi wake ilikuwa ni kutaka kuturudisha kwenye Afrika ya kale ambapo mtawala akiongea hakuna wa kuquestion la sivyo utakiona cha mtema kuni. Kiufupi Magufuli aliparalyse mifumo ambayo ingeijenga nchi kusimama kitaasisi na badala yake akaanza kutunga sheria na kufanya matendo ambayo yanazidi kumlibikizia yeye madaraka, chukulia mfano sheria ya rasilimali za Taifa, Hiyo sheria ilienda kuweka madini yote chini ya ofisi ya rais

Kwa kweli nikiangalia kitu chochote exclusive ambacho Magufuli amefanya kwa ajili ya Afrika nzima ni kama hakuna!

Lakini hii ni tofauti na Mstaafu Kikwete, Kikwete kuna mambo aliyafanya naweza kusema bila wasiwasi na kwa rekodi kuwa huyu mwana wa Afrika anastahili kupewa heshima yake na Afrika nzima

1. Kikwete alishiriki katika Usuluhishi wa Kenya
Baada ya uchaguzi mkuu wa Kenya mwaka 2007,wakati Wakenya wakichinjana na kuhasimiana kitu kilichohatarisha kuzuka kwa vita ya wenyewe kwa Wenyewe, Rais Kikwete aliingilia kati kusuluhisha kambi hasimu za Raila Odinga na Mwai Kibaki, Pamoja na Juhudi za Kikwete pia walikuwepo marais wastaafu wa Afrika akiwemo hayati Mkapa. Ni kutokana na kazi hii Nchi ya Kenya ilimpa heshima ndugu Kikwete kuhutubia mabunge mawili ya Kenya, heshima ambayo ilikuwa hajawahi kupewa rais yeyote wa Tanzania kabla yake. Pia kwa kutambua kazi ya kikwete kwenye kuleta amani Kenya, barabara moja nchini Kenya , jijini nairobi ilibadilishwa na kupewa jina lake

2. Kikwete ainusuru Comoro dhidi ya kikosi cha Wahuni cha kanali Bacar
Wakati Comoro ikiwa inaelekea katika mtanzuko wa machafuko baada ya kikosi cha Muasi Kanali Bacar kuasi, Ni dhahiri visiwa hivi vya Comoro vingekuwa katika machafuko makubwa ikiwemo umwagaji damu, Ilikuwa ni Intervention ya Rais Kikwete kupeleka jeshi letu la JWTZ kwenda kuweka mambo sawa. JWTZ walipiga kazi nzuri na ndani ya wiki moja nchi ile ikawa imeshakuwa stabilized. Je ni watu wangap wangeuawa kama si kwa intervention ya Tanznaia, Ni wanawake wangapi wangebakwa?.Ikumbukwe siyo JK wa kwanza kuisapoti Comoro kijeshi, Hata mwalimu Nyerere amewahi kuisaidia Comoro ili kupambana na wakoloni wa ufaransa.

3. Kikwete ainusuru Congo dhidi ya Wahuni wa M23
Hawa wanayarwanda walikuwa wakiiba mali, kuua watu congo, Ni mpaka Viongozi wenye maono kama Kikwete waliojitolea kuendesha mission ya UN ya kuwadhibiti hao waasi. JWTZ kwa kushirikiana na majeshi ya Afrika ya kusini na Malawi walifanya kazi nzuri sana ya kuwadhibiti hao akina Jenerali Nkunda. Bila shaka ukiwauliza watu wa mashariki ya Congo kuhusu Intervention hiyo ya Kikwete, watakwambia huyu mtu ni shujaa wao

4. Usuluhishi wa Mgogoro Madagascar
Hali ya Madagascar ilikuwa imeshakuwa tete, magonvi na kupinduana kukiwa kumeiweka ile nchi katika hali ya sintofahamu, hali ya hofu mitaani. Ilikuwa ni kazi nzuri ya Kikwete kutafuta usuluhishi wa kisiasa huko

Maandiko yanasema heri wapatanishi!

Nikimpima Kikwete na Magufuli katika kutafuta ustawi wa bara la afrika, ikiwemo usuluhishi na upatanaishi, kutafuta amani ya watu wake, Kwa kweli Kikwete aliifanyia makubwa Afrika. Huyu anafaa kuitwa shujaa wa Afrika katika viongozi wa rika la hivi karibuni.

Magufuli yeye ni shujaa wa Afrika katika lipi?
Kwa hiyo hujaona MAGUFULI alipowasuruhisha Odinga na Uhuru?

Hujaona Magufuli alipopeleka majeshi Sudani na Kongo?


ANYAWAYS.

1. MAGUFULI aliwafundisha mataifa ya Africa kujitegemea. Kufanya kazi bila kulamba miguu ya wazungu. Hapa JK hawezi.

2. Mafuguli kasambaza Kiswahili. Sasa kinafundishwa mataifa mengi ikiwemo. Ghana, SA, Botswana, Ethiopia n.k.

3. Kkaifanya Afreica ijifunze kutoka kwake katika kuwekeza kwenye miundo mbinu mikubwa na ya kimkakati.


Bado una swali?
 
Ila, jitahidi tu, usitaniane na mwenye uhai wake Kwa kuwasema vibaya ambao amewachukulia uhai wao, na usijue kuwa huwenda zamu ya waleo kuondolewa uhai, ukawemo na wewe!!

Mshukuru Mungu Kwa kuwa wewe leo umeiona
Nakuhakikishia bila kumung'unya maneno!! Nitakufa nimeshiba Umri ndiii! Na vining'ina juu.

Kamwe ka mungu kako hako ka shamba ka kijijini hakaniwezi ng'oo!! katakufa kenyewe kaambie kabisa sisi ni majabari tunalindwa na Malaika.

Kata kuua wewe labda. Kwakuwa u mnafiki lkn sisi never. Kaamvia kajaribu tu uone km hutakufa wewe!!
Siyo kila anaekufa ni mungu wako!! mungu gani mshamba anaua hovyo achana nae huyo nendajaribu kwa Mungu wa sabato. Ule maisha.
 
kikwete na mkewe.jpg
 
Kwa hiyo hujaona MAGUFULI alipowasuruhisha Odinga na Uhuru?

Hujaona Magufuli alipopeleka majeshi Sudani na Kongo?


ANYAWAYS.

1. MAGUFULI aliwafundisha mataifa ya Africa kujitegemea. Kufanya kazi bila kulamba miguu ya wazungu. Hapa JK hawezi.

2. Mafuguli kasambaza Kiswahili. Sasa kinafundishwa mataifa mengi ikiwemo. Ghana, SA, Botswana, Ethiopia n.k.

3. Kkaifanya Afreica ijifunze kutoka kwake katika kuwekeza kwenye miundo mbinu mikubwa na ya kimkakati.


Bado una swali?
Maweeee!!! Alijieleza vipi wakati kiingereza hajui....

Alisema "take msaada..... Akajibiwa what??
 
Aliwapiga M23 na kusaidia kuleya amani Congo.

Aliwaiga, waasi wa Comoro na kusaidia kuleta amani Komoro.

Alisuluhisha Mgogoro wa Kenya ba kusaidia kuleta amani Kenya

Akisuluhisha mgogoro Adagsscar na kusaidia kuleta amani Madagascar

Je huyo siyo shujaa wa Afrika?
Sijajua tafsiri yako ya shujaa ni ipi ila kwa nijuavyo mimi shujaa ni mtu jasiri ambaye huweza kukabili jambo pasina kuhofia hatari.
Ndio maana nikawa nasema kwamba Dhaifu hawezi kuwa shujaa ni contradiction, hayo unayoyaeleza kwa upande wangu sioni lenye kumfanya kuwa ni kuitwa shujaa nadhani lipo neno lengine la kumpa kwa hayo aliyeyafanya, maana ndani ya nchi yake katika uongozi wake ameonekana kukosa ujasiri wa kushughulikia baadhi ya mambo na kufanya kuitwa dhaifu sasa tunaanzaje kumwita shujaa wa afrika kisa alikuwa anasuruhisha migogoro?
 
Nilipokuwa nafuatilia msiba wa Magufuli, kwenye Television ya Taifa TBC, walikuwa wameweka maneno kumhusu Magufuli kuwa ni Shujaa wa Afrika lakini nikawa navuta fikra. Je, ushujaa wa Magufuli kwa Afrika ni upi?, Nikasema pengine ni kwa "Rhetoric" zake za kutukana Wazungu na kuwaita Mabeberu, lakini Mabeberu hao walipokuwa wakikohoa tu, mzee mzima anagwaya na anatii.

Kiufupi Magufuli alikuwa akiogopa sana Kibinyo cha Wazungu kuliko kelele za raia wake wenyewe. Tuliona kwa mfano “Mabeberu" wakimwambia abadilishe sheria za takwimu na akatii, Walimwambia aruhusu watoto wajawazito waendelee na masomo akabadili mwelekeo. "Mabeberu" ndiyo walioingilia kati Lissu apewe safe passage kurudi Ulaya na serikali ya Magufuli ikampa na passport kabisa, la sivyo habari leo hii ingeukwa nyingine!.

Mfano mwingine ni kwenye Makubaliano na Barick kuhusu mustakbali wa kampuni hiyo juu ya uchimbaji madini nchini, Kabla ya makubaliano hayo Serikali ya Magufuli ilipeleka muswada chapuchapu bungeni juu ya rasilamli zetu, na mle ndani sheria iliyotengenezwa ikasema Makinikia yatakuwa yanachenjuliwa hapahapa Tanzania, Lakini cha ajabu kwenye makubaliano na Barick mwaka mmoja au miwili baadae akavunja sheria yake mwenyewe, kwa kuruhusu makinikia yawe yanasafirishwa nje!. Sasa hiyo hype ya kuwa alipambana na Mabeberu inatoka wapi?

Najiuliza ushujaa wa Magufuli kwa Afrika ni upi wakati dalili zote za aina ya uongozi wake ilikuwa ni kutaka kuturudisha kwenye Afrika ya kale ambapo mtawala akiongea hakuna wa kuquestion la sivyo utakiona cha mtema kuni. Kiufupi Magufuli aliparalyse mifumo ambayo ingeijenga nchi kusimama kitaasisi na badala yake akaanza kutunga sheria na kufanya matendo ambayo yanazidi kumlibikizia yeye madaraka, chukulia mfano sheria ya rasilimali za Taifa, Hiyo sheria ilienda kuweka madini yote chini ya ofisi ya rais

Kwa kweli nikiangalia kitu chochote exclusive ambacho Magufuli amefanya kwa ajili ya Afrika nzima ni kama hakuna!

Lakini hii ni tofauti na Mstaafu Kikwete, Kikwete kuna mambo aliyafanya naweza kusema bila wasiwasi na kwa rekodi kuwa huyu mwana wa Afrika anastahili kupewa heshima yake na Afrika nzima

1. Kikwete alishiriki katika Usuluhishi wa Kenya
Baada ya uchaguzi mkuu wa Kenya mwaka 2007,wakati Wakenya wakichinjana na kuhasimiana kitu kilichohatarisha kuzuka kwa vita ya wenyewe kwa Wenyewe, Rais Kikwete aliingilia kati kusuluhisha kambi hasimu za Raila Odinga na Mwai Kibaki, Pamoja na Juhudi za Kikwete pia walikuwepo marais wastaafu wa Afrika akiwemo hayati Mkapa. Ni kutokana na kazi hii Nchi ya Kenya ilimpa heshima ndugu Kikwete kuhutubia mabunge mawili ya Kenya, heshima ambayo ilikuwa hajawahi kupewa rais yeyote wa Tanzania kabla yake. Pia kwa kutambua kazi ya kikwete kwenye kuleta amani Kenya, barabara moja nchini Kenya , jijini nairobi ilibadilishwa na kupewa jina lake

2. Kikwete ainusuru Comoro dhidi ya kikosi cha Wahuni cha kanali Bacar
Wakati Comoro ikiwa inaelekea katika mtanzuko wa machafuko baada ya kikosi cha Muasi Kanali Bacar kuasi, Ni dhahiri visiwa hivi vya Comoro vingekuwa katika machafuko makubwa ikiwemo umwagaji damu, Ilikuwa ni Intervention ya Rais Kikwete kupeleka jeshi letu la JWTZ kwenda kuweka mambo sawa. JWTZ walipiga kazi nzuri na ndani ya wiki moja nchi ile ikawa imeshakuwa stabilized. Je ni watu wangap wangeuawa kama si kwa intervention ya Tanznaia, Ni wanawake wangapi wangebakwa?.Ikumbukwe siyo JK wa kwanza kuisapoti Comoro kijeshi, Hata mwalimu Nyerere amewahi kuisaidia Comoro ili kupambana na wakoloni wa ufaransa.

3. Kikwete ainusuru Congo dhidi ya Wahuni wa M23
Hawa wanayarwanda walikuwa wakiiba mali, kuua watu congo, Ni mpaka Viongozi wenye maono kama Kikwete waliojitolea kuendesha mission ya UN ya kuwadhibiti hao waasi. JWTZ kwa kushirikiana na majeshi ya Afrika ya kusini na Malawi walifanya kazi nzuri sana ya kuwadhibiti hao akina Jenerali Nkunda. Bila shaka ukiwauliza watu wa mashariki ya Congo kuhusu Intervention hiyo ya Kikwete, watakwambia huyu mtu ni shujaa wao

4. Usuluhishi wa Mgogoro Madagascar
Hali ya Madagascar ilikuwa imeshakuwa tete, magonvi na kupinduana kukiwa kumeiweka ile nchi katika hali ya sintofahamu, hali ya hofu mitaani. Ilikuwa ni kazi nzuri ya Kikwete kutafuta usuluhishi wa kisiasa huko

Maandiko yanasema heri wapatanishi!

Nikimpima Kikwete na Magufuli katika kutafuta ustawi wa bara la afrika, ikiwemo usuluhishi na upatanaishi, kutafuta amani ya watu wake, Kwa kweli Kikwete aliifanyia makubwa Afrika. Huyu anafaa kuitwa shujaa wa Afrika katika viongozi wa rika la hivi karibuni.

Magufuli yeye ni shujaa wa Afrika katika lipi?
Nyambafu!!! unamjua Lumumba? unamjua Sankala? unamjua Ghadaffi? unamjua Che Guevara? wote hao ni mfano wa JPM.
 
Ukiangalia internal issues kama hizo basi Afrika itakosa shujaa maana hata Nyerere alikuwa na mapungufu yake, ikiwemo kupora mali za watu kwa jina ka Utaifishaji, Kusapoti waasi wa Biafra, kuebdesha ziezi la vijiji vya ujamaa alipokwenda kuwatupa watu ambao wengine wakiishi kwa Tabu na mateso makubwa, Udikteta wa zidumu fkra za mwenyekiti, Kulea waharibifu mtu anaharibu shirika moja unamhamishia shirika jingine

Anfalia wider issues achaba na changamoto za ndani
Hivi nyakatibza Nyerere ni system ipi ya uchumi ilikuwa proved kwamba itawork out ?

Au dunia yote ilikuwa kwenye trial and error?

Kwamba kila taifa lilienda na mfumo ambao wao waliamini utasaidia uwe Ujamaa, ubepari, communism n.k.
Kiranga
 
Kikwete ni shujaa wa familia yake fools top!
1. Aliwapiga M23 akainusuru Congo dhidi ya manyag'au wa Rwanda

2. Aliwapiga waasi wa Comoro akaleta amani huko

3. Akasuluhisha mgogoro wa Kenya wasichinhane sababu ya Ukabila

4. Akasuluhisha mgogoro wa Madagascar na kuleta amani

Ni mambo gani katiya hayo unadhani siyo ushujaa kwa Afrika?
 
Magufuli hata mikutano ya AU alikuwa haendi, Mikutano ya SADC nayo alikuwa akihudhuria kwa manati. Sasa mtu kama huyu ambaye hata kukutana na wenzie kujadili mambo ya Afrika alikuwa anaona tabu ni shujaa wa namna gani wa Afrika?
Mbona mnatumia nguvu sana kumpinga JPM? Ebu nendeni UN mkapinge ile taarifa yao ya kumuenzi JPM.
 
Nilipokuwa nafuatilia msiba wa Magufuli, kwenye Television ya Taifa TBC, walikuwa wameweka maneno kumhusu Magufuli kuwa ni Shujaa wa Afrika lakini nikawa navuta fikra. Je, ushujaa wa Magufuli kwa Afrika ni upi?, Nikasema pengine ni kwa "Rhetoric" zake za kutukana Wazungu na kuwaita Mabeberu, lakini Mabeberu hao walipokuwa wakikohoa tu, mzee mzima anagwaya na anatii.

Kiufupi Magufuli alikuwa akiogopa sana Kibinyo cha Wazungu kuliko kelele za raia wake wenyewe. Tuliona kwa mfano “Mabeberu" wakimwambia abadilishe sheria za takwimu na akatii, Walimwambia aruhusu watoto wajawazito waendelee na masomo akabadili mwelekeo. "Mabeberu" ndiyo walioingilia kati Lissu apewe safe passage kurudi Ulaya na serikali ya Magufuli ikampa na passport kabisa, la sivyo habari leo hii ingeukwa nyingine!.

Mfano mwingine ni kwenye Makubaliano na Barick kuhusu mustakbali wa kampuni hiyo juu ya uchimbaji madini nchini, Kabla ya makubaliano hayo Serikali ya Magufuli ilipeleka muswada chapuchapu bungeni juu ya rasilamli zetu, na mle ndani sheria iliyotengenezwa ikasema Makinikia yatakuwa yanachenjuliwa hapahapa Tanzania, Lakini cha ajabu kwenye makubaliano na Barick mwaka mmoja au miwili baadae akavunja sheria yake mwenyewe, kwa kuruhusu makinikia yawe yanasafirishwa nje!. Sasa hiyo hype ya kuwa alipambana na Mabeberu inatoka wapi?

Najiuliza ushujaa wa Magufuli kwa Afrika ni upi wakati dalili zote za aina ya uongozi wake ilikuwa ni kutaka kuturudisha kwenye Afrika ya kale ambapo mtawala akiongea hakuna wa kuquestion la sivyo utakiona cha mtema kuni. Kiufupi Magufuli aliparalyse mifumo ambayo ingeijenga nchi kusimama kitaasisi na badala yake akaanza kutunga sheria na kufanya matendo ambayo yanazidi kumlibikizia yeye madaraka, chukulia mfano sheria ya rasilimali za Taifa, Hiyo sheria ilienda kuweka madini yote chini ya ofisi ya rais

Kwa kweli nikiangalia kitu chochote exclusive ambacho Magufuli amefanya kwa ajili ya Afrika nzima ni kama hakuna!

Lakini hii ni tofauti na Mstaafu Kikwete, Kikwete kuna mambo aliyafanya naweza kusema bila wasiwasi na kwa rekodi kuwa huyu mwana wa Afrika anastahili kupewa heshima yake na Afrika nzima

1. Kikwete alishiriki katika Usuluhishi wa Kenya
Baada ya uchaguzi mkuu wa Kenya mwaka 2007,wakati Wakenya wakichinjana na kuhasimiana kitu kilichohatarisha kuzuka kwa vita ya wenyewe kwa Wenyewe, Rais Kikwete aliingilia kati kusuluhisha kambi hasimu za Raila Odinga na Mwai Kibaki, Pamoja na Juhudi za Kikwete pia walikuwepo marais wastaafu wa Afrika akiwemo hayati Mkapa. Ni kutokana na kazi hii Nchi ya Kenya ilimpa heshima ndugu Kikwete kuhutubia mabunge mawili ya Kenya, heshima ambayo ilikuwa hajawahi kupewa rais yeyote wa Tanzania kabla yake. Pia kwa kutambua kazi ya kikwete kwenye kuleta amani Kenya, barabara moja nchini Kenya , jijini nairobi ilibadilishwa na kupewa jina lake

2. Kikwete ainusuru Comoro dhidi ya kikosi cha Wahuni cha kanali Bacar
Wakati Comoro ikiwa inaelekea katika mtanzuko wa machafuko baada ya kikosi cha Muasi Kanali Bacar kuasi, Ni dhahiri visiwa hivi vya Comoro vingekuwa katika machafuko makubwa ikiwemo umwagaji damu, Ilikuwa ni Intervention ya Rais Kikwete kupeleka jeshi letu la JWTZ kwenda kuweka mambo sawa. JWTZ walipiga kazi nzuri na ndani ya wiki moja nchi ile ikawa imeshakuwa stabilized. Je ni watu wangap wangeuawa kama si kwa intervention ya Tanznaia, Ni wanawake wangapi wangebakwa?.Ikumbukwe siyo JK wa kwanza kuisapoti Comoro kijeshi, Hata mwalimu Nyerere amewahi kuisaidia Comoro ili kupambana na wakoloni wa ufaransa.

3. Kikwete ainusuru Congo dhidi ya Wahuni wa M23
Hawa wanayarwanda walikuwa wakiiba mali, kuua watu congo, Ni mpaka Viongozi wenye maono kama Kikwete waliojitolea kuendesha mission ya UN ya kuwadhibiti hao waasi. JWTZ kwa kushirikiana na majeshi ya Afrika ya kusini na Malawi walifanya kazi nzuri sana ya kuwadhibiti hao akina Jenerali Nkunda. Bila shaka ukiwauliza watu wa mashariki ya Congo kuhusu Intervention hiyo ya Kikwete, watakwambia huyu mtu ni shujaa wao

4. Usuluhishi wa Mgogoro Madagascar
Hali ya Madagascar ilikuwa imeshakuwa tete, magonvi na kupinduana kukiwa kumeiweka ile nchi katika hali ya sintofahamu, hali ya hofu mitaani. Ilikuwa ni kazi nzuri ya Kikwete kutafuta usuluhishi wa kisiasa huko

Maandiko yanasema heri wapatanishi!

Nikimpima Kikwete na Magufuli katika kutafuta ustawi wa bara la afrika, ikiwemo usuluhishi na upatanaishi, kutafuta amani ya watu wake, Kwa kweli Kikwete aliifanyia makubwa Afrika. Huyu anafaa kuitwa shujaa wa Afrika katika viongozi wa rika la hivi karibuni.

Magufuli yeye ni shujaa wa Afrika katika lipi?

unaumia ukitokea pande zp
 
Back
Top Bottom