smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,977
- 3,063
kuudi sipafahamu.Hauna maneno ya kuudhi hata kidogo, nahisi kukupenda, kwani umeolewa?
Mimi siyo mlevi babu!! Kwakweli km
umenipenda?? Au umenitamani tu,
Sema tuyajenge kinafiki.
haya ninayosema hapa chini ni muhimu kwa maisha ya mtu...
kwanza una hela babu??
Unaishi wapi jieleze. km katavi.sijui Dar no.
Ok! Una hela kiasi gani.onyesha hapa.kadi unayo tumia faster usijeenda kuazima huko.
Unamiliki nini!! Any thing of african value weka hapa nisije nunua maatizo....
Je unapumulia wapi....
Kidizo unacho??