Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,325
- 5,543
Labda kisukuma yule mutu hakujua kiswahili kwa kwel
Kwa hiyo hujaona MAGUFULI alipowasuruhisha Odinga na Uhuru?
Hujaona Magufuli alipopeleka majeshi Sudani na Kongo?
ANYAWAYS.
1. MAGUFULI aliwafundisha mataifa ya Africa kujitegemea. Kufanya kazi bila kulamba miguu ya wazungu. Hapa JK hawezi.
2. Mafuguli kasambaza Kiswahili. Sasa kinafundishwa mataifa mengi ikiwemo. Ghana, SA, Botswana, Ethiopia n.k.
3. Kkaifanya Afreica ijifunze kutoka kwake katika kuwekeza kwenye miundo mbinu mikubwa na ya kimkakati.
Bado una swali?