Uchaguzi 2020 Magufuli si mgombea wa Tanzania pekee bali Afrika nzima inamuhitaji

Hata akina Hitler walikuwa hawacheki na KIMA during there time that's why tunaona Europe ya sasa. Go Magu Go....!!!

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
As if hitler ndio ameifanya europe iendelee? Damn
Tango pori hili. He was a war monger.. with extreme patriotism for germany.
For Europe .No. tena europe wangezubaa wangekuwa wanaongea kijerumani hadi.leo
 
Tanzania IPO katika nchakato wa Uchaguzi Mkuu, miongoni mwa wagombea URAIS ni Mheshimiwa Daktari John Joseph Pombe Magufuli.

Rekodi alizovunja Mheshimiwa JPM nchini Tanzania, Afrika na dunia nzima, zinamfanya asiwe mgombea wa Tanzania pekee Bali tegemeo LA Afrika kama mfano wa Kiongozi bora, shupavu, jasiri, Mzalendo na Mchapakazi.

Katika nchi nyingi, RAIA na viongozi wanamtazama Magufuli kama kiongozi bora wa mfano wa kuigwa katika ulinzi wa Rasilimali na Maendeleo ya nchi.

Tungekuwa na uchaguzi wa RAIS wa Afrika, JPM angeshinda kwa kura nyingi maana Afrika inamhitaji kuliko yeye anavyoihitaji Afrika.

Hizi rekodi zake haziwezi kufikiwa na Rais mwingine yeyote wa Afrika hivyo kumpambanua kama kiongozi bora wa karne hii:
1. Kuongoza nchi ya kiafrika kwa miaka mitano bila kukanyaga Ulaya, Amerika wala Asia
2. Kuzuia safari za nje kwa viongozi na watumishi wa umma ili viongozi wawatumikie wananchi
3. Kudhibiti biashara ya kulevya nchini
4. Kudhibiti ujangili
5. Kujenga ukuta ili kulinda rasilimali madini
6. Kutumia wasomi na Elimu zao kwa maendeleo ya nchi bila kujali itikadi
7. Kufufua shirika LA ndege kwa kutumia cash money
8. Kubadili mfumo wa mashirika ya umma kutoka kuomba ruzuku hadi kutoa gawio
9. Kusimamia uwajibikaji wa viongozi wa umma
10. Kuwaminya mabeberu hadi kukubali kukaa meza ya mazungumzo ili kutupatia Hisa na gawio LA mapato ya madini
11. Kuboresha miundo mbinu na usafiri wa anga, barabara, majini na reli
12. Kukomesha mgao wa umeme na kuongeza uzalishaji wa umeme
13. Kupambana na Covid-19 kidete hadi kuirejesha Tanzania katika hali ya kawaida na sasa maisha yanaendelea vyema
14. Kuimarisha mifumo ya Uthibiti ubora wa Elimu kwa kuimarisha NACTE, NECTA, SQA, TCU n.k
15. Kuimarisha huduma za afya na Bima ya Afya, sasa hivi wenye bima wanapokelewa kama wafalme hospitalini, zamani tuliwekwa benchi
16. Kuimarisha michezo na usimamizi hivyo wachezaji wananufaika na jasho lao na timu zetu zinafanya vizuri. Ndani ya miaka mitano ya JPM Tanzania imecheza AFCON, ilifuzu CHAN, simba ilifika robo fainali
17. Heshima ya Tanzania kama Taifa imerejea, hakuna Nchi inayotuchezea tena
18. Kilimo kimeimarishwa hivyo nchi imeongeza uzalishaji, hakuna njaa tena nchini.
19. Imani ya wananchi kwa CCM imeongezeka na sasa wana CCM wanazaa sare zao hadharani tofauti na 2013-2014 ambako MTU angepita na sare ya CCM, angezomewa au ingechanwa.

Kwa sababu hizo na zinginezo, Waafrika wanatutegemea sana watanzania tumpe Ushindi wa Kishindo DR. JPM kwa ustawi wa Tanzania na Afrika nzima. CHAGUA JPM, CHAGUA MAENDELEO
Hii Ni kweli tupu.
 
Tanzania IPO katika nchakato wa Uchaguzi Mkuu, miongoni mwa wagombea URAIS ni Mheshimiwa Daktari John Joseph Pombe Magufuli.

Rekodi alizovunja Mheshimiwa JPM nchini Tanzania, Afrika na dunia nzima, zinamfanya asiwe mgombea wa Tanzania pekee Bali tegemeo LA Afrika kama mfano wa Kiongozi bora, shupavu, jasiri, Mzalendo na Mchapakazi.

Katika nchi nyingi, RAIA na viongozi wanamtazama Magufuli kama kiongozi bora wa mfano wa kuigwa katika ulinzi wa Rasilimali na Maendeleo ya nchi.

Tungekuwa na uchaguzi wa RAIS wa Afrika, JPM angeshinda kwa kura nyingi maana Afrika inamhitaji kuliko yeye anavyoihitaji Afrika.

Hizi rekodi zake haziwezi kufikiwa na Rais mwingine yeyote wa Afrika hivyo kumpambanua kama kiongozi bora wa karne hii:
1. Kuongoza nchi ya kiafrika kwa miaka mitano bila kukanyaga Ulaya, Amerika wala Asia
2. Kuzuia safari za nje kwa viongozi na watumishi wa umma ili viongozi wawatumikie wananchi
3. Kudhibiti biashara ya kulevya nchini
4. Kudhibiti ujangili
5. Kujenga ukuta ili kulinda rasilimali madini
6. Kutumia wasomi na Elimu zao kwa maendeleo ya nchi bila kujali itikadi
7. Kufufua shirika LA ndege kwa kutumia cash money
8. Kubadili mfumo wa mashirika ya umma kutoka kuomba ruzuku hadi kutoa gawio
9. Kusimamia uwajibikaji wa viongozi wa umma
10. Kuwaminya mabeberu hadi kukubali kukaa meza ya mazungumzo ili kutupatia Hisa na gawio LA mapato ya madini
11. Kuboresha miundo mbinu na usafiri wa anga, barabara, majini na reli
12. Kukomesha mgao wa umeme na kuongeza uzalishaji wa umeme
13. Kupambana na Covid-19 kidete hadi kuirejesha Tanzania katika hali ya kawaida na sasa maisha yanaendelea vyema
14. Kuimarisha mifumo ya Uthibiti ubora wa Elimu kwa kuimarisha NACTE, NECTA, SQA, TCU n.k
15. Kuimarisha huduma za afya na Bima ya Afya, sasa hivi wenye bima wanapokelewa kama wafalme hospitalini, zamani tuliwekwa benchi
16. Kuimarisha michezo na usimamizi hivyo wachezaji wananufaika na jasho lao na timu zetu zinafanya vizuri. Ndani ya miaka mitano ya JPM Tanzania imecheza AFCON, ilifuzu CHAN, simba ilifika robo fainali
17. Heshima ya Tanzania kama Taifa imerejea, hakuna Nchi inayotuchezea tena
18. Kilimo kimeimarishwa hivyo nchi imeongeza uzalishaji, hakuna njaa tena nchini.
19. Imani ya wananchi kwa CCM imeongezeka na sasa wana CCM wanazaa sare zao hadharani tofauti na 2013-2014 ambako MTU angepita na sare ya CCM, angezomewa au ingechanwa.

Kwa sababu hizo na zinginezo, Waafrika wanatutegemea sana watanzania tumpe Ushindi wa Kishindo DR. JPM kwa ustawi wa Tanzania na Afrika nzima. CHAGUA JPM, CHAGUA MAENDELEO
Labda Afrika ya kuzimu.
 
Ki
Tanzania IPO katika nchakato wa Uchaguzi Mkuu, miongoni mwa wagombea URAIS ni Mheshimiwa Daktari John Joseph Pombe Magufuli.

Rekodi alizovunja Mheshimiwa JPM nchini Tanzania, Afrika na dunia nzima, zinamfanya asiwe mgombea wa Tanzania pekee Bali tegemeo LA Afrika kama mfano wa Kiongozi bora, shupavu, jasiri, Mzalendo na Mchapakazi.

Katika nchi nyingi, RAIA na viongozi wanamtazama Magufuli kama kiongozi bora wa mfano wa kuigwa katika ulinzi wa Rasilimali na Maendeleo ya nchi.

Tungekuwa na uchaguzi wa RAIS wa Afrika, JPM angeshinda kwa kura nyingi maana Afrika inamhitaji kuliko yeye anavyoihitaji Afrika.

Hizi rekodi zake haziwezi kufikiwa na Rais mwingine yeyote wa Afrika hivyo kumpambanua kama kiongozi bora wa karne hii:
1. Kuongoza nchi ya kiafrika kwa miaka mitano bila kukanyaga Ulaya, Amerika wala Asia hivyo kupunguza gharama za uendeshaji serikalini na kuepuka mikataba ya uporaji rasilimali za nchi.
2. Kuzuia safari za nje kwa viongozi na watumishi wa umma ili viongozi wawatumikie wananchi
3. Kudhibiti biashara ya madawa ya kulevya nchini
4. Kudhibiti ujangili hivyo kulinda rasilimali za nchi na kukuza utalii
5. Kujenga ukuta ili kulinda rasilimali madini, matunda yake ni upatikanaji wa mawe makubwa ya Tanzanite kupitia mtanzania Laizer. Tanzania itaongoza kwa uuzaji wa Tanzanite tofauti na awali ambako Kenya, Afrika ya kusini na India zilijinufaisha kutuibia madini hayo. Faida ya ukuta huo ni kuongeza pato LA Taiga, ajira na kukuza uchumi.
6. Kutumia wasomi na Elimu zao kwa maendeleo ya nchi bila kujali itikadi. Mfano Prof. Kitila, Kafulila, Mtatito
7. Kufufua shirika LA ndege kwa kutumia cash money, Nchi kumiliki ndege zake ni usalama kwa nchi, na kukuza uchumi kupitia ajira na biadhara.
8. Kubadili mfumo wa mashirika ya umma kutoka kuomba ruzuku hadi kutoa gawio. Mashirika yetu sasa kama TTCL, STAMICO, TANAPA, KADCO, yanajiendesha kwa faida na gawio lake hutumika kukenga miundo mbinu na kuboresha huduma za jamii kama Elimu, maji, usafiri na afya.
9. Kusimamia uwajibikaji wa viongozi wa umma. Viongozi kwa sasa huudumia RAIA na kutatua kero zao.RAIA anaweza kuongea na mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, mkurugenzj au waziri na kutatuliwa kero yake.
10. Kuwaminya mabeberu hadi kukubali kukaa meza ya mazungumzo ili kutupatia Hisa na gawio LA mapato ya madini. Mwezi huu Oktoba, tumepata gawio LA bilioni 100 kutokana na faida ya madini.
11. Kuboresha miundo mbinu na usafiri wa anga, barabara, majini na reli. Nchi nzima imejengwa na kazi inaendelea
12. Kukomesha mgao wa umeme na kuongeza uzalishaji wa umeme. Mchezo wa kufungulia mabwawa ili kutengeneza mgawo wa umeme, umedhibitiwa. Mradi wa Stiglers Gorge ukikamilika, nchi itauza umeme nchi.
13. Kupambana na Covid-19 kidete hadi kuirejesha Tanzania katika hali ya kawaida na sasa maisha yanaendelea vyema. Nchi jirani mpaka sasa hawajafungua shule wala vyuo na uzalishaji umeshuka
14. Kuimarisha mifumo ya Uthibiti ubora wa Elimu kwa kuimarisha NACTE, NECTA, SQA, TCU n.k. Elimu inazidi kuimarika
15. Kuimarisha huduma za afya na Bima ya Afya, sasa hivi wenye bima wanapokelewa kama wafalme hospitalini, zamani tuliwekwa benchi. Hospitali zetu sasa zinapandikiza figo na kufanya upasuaji mkubwa. Hatuhitaji tena kupeleka wagonjwa India kama zamani.
16. Kuimarisha michezo na usimamizi hivyo wachezaji wananufaika na jasho lao na timu zetu zinafanya vizuri. Ndani ya miaka mitano ya JPM Tanzania imecheza AFCON, ilifuzu CHAN, simba ilifika robo fainali. Soko LA soka mpira biriani kwa afrika mashariki na kati ni Tanzania na nchi yetu ndiyo yenye ligi bora zaidi.
17. Heshima ya Tanzania kama Taifa imerejea, hakuna Nchi inayotuchezea tena. Mipaka IPO salama na tunatembea kifua mbele ndani na nje ya Afrika.
18. Kilimo kimeimarishwa hivyo nchi imeongeza uzalishaji, hakuna njaa tena nchini. Tanzania ndiyo inayouzia chakula mashirika ya umoja wa mataifa.
19. Imani ya wananchi kwa CCM imeongezeka na sasa wana CCM wanazaa sare zao hadharani tofauti na 2013-2014 ambako MTU angepita na sare ya CCM, angezomewa au ingechanwa.
20. Mheshimiwa Magufuli ni Mgombea jasiri, mzalendo na Mchapakazi, yupo kwaajili ya maslahi ya nchi na maendeleo ya Nchi. AMETEKELEZA KWA KISHINDO, TUSONGE NAYE PAMOJA (2020-2025) KWA KUMPIGIA KURA ZA KUTOSHA OKTOBA 28.
Kwa sababu hizo na zinginezo, Waafrika wanatutegemea sana watanzania tumpe Ushindi wa Kishindo DR. JPM kwa ustawi wa Tanzania na Afrika nzima. CHAGUA JPM, CHAGUA MAENDELEO
 
Tanzania IPO katika nchakato wa Uchaguzi Mkuu, miongoni mwa wagombea URAIS ni Mheshimiwa Daktari John Joseph Pombe Magufuli.

Rekodi alizovunja Mheshimiwa JPM nchini Tanzania, Afrika na dunia nzima, zinamfanya asiwe mgombea wa Tanzania pekee Bali tegemeo LA Afrika kama mfano wa Kiongozi bora, shupavu, jasiri, Mzalendo na Mchapakazi.

Katika nchi nyingi, RAIA na viongozi wanamtazama Magufuli kama kiongozi bora wa mfano wa kuigwa katika ulinzi wa Rasilimali na Maendeleo ya nchi.

Tungekuwa na uchaguzi wa RAIS wa Afrika, JPM angeshinda kwa kura nyingi maana Afrika inamhitaji kuliko yeye anavyoihitaji Afrika.

Hizi rekodi zake haziwezi kufikiwa na Rais mwingine yeyote wa Afrika hivyo kumpambanua kama kiongozi bora wa karne hii:
1. Kuongoza nchi ya kiafrika kwa miaka mitano bila kukanyaga Ulaya, Amerika wala Asia hivyo kupunguza gharama za uendeshaji serikalini na kuepuka mikataba ya uporaji rasilimali za nchi.
2. Kuzuia safari za nje kwa viongozi na watumishi wa umma ili viongozi wawatumikie wananchi
3. Kudhibiti biashara ya madawa ya kulevya nchini
4. Kudhibiti ujangili hivyo kulinda rasilimali za nchi na kukuza utalii
5. Kujenga ukuta ili kulinda rasilimali madini, matunda yake ni upatikanaji wa mawe makubwa ya Tanzanite kupitia mtanzania Laizer. Tanzania itaongoza kwa uuzaji wa Tanzanite tofauti na awali ambako Kenya, Afrika ya kusini na India zilijinufaisha kutuibia madini hayo. Faida ya ukuta huo ni kuongeza pato LA Taiga, ajira na kukuza uchumi.
6. Kutumia wasomi na Elimu zao kwa maendeleo ya nchi bila kujali itikadi. Mfano Prof. Kitila, Kafulila, Mtatito
7. Kufufua shirika LA ndege kwa kutumia cash money, Nchi kumiliki ndege zake ni usalama kwa nchi, na kukuza uchumi kupitia ajira na biadhara.
8. Kubadili mfumo wa mashirika ya umma kutoka kuomba ruzuku hadi kutoa gawio. Mashirika yetu sasa kama TTCL, STAMICO, TANAPA, KADCO, yanajiendesha kwa faida na gawio lake hutumika kukenga miundo mbinu na kuboresha huduma za jamii kama Elimu, maji, usafiri na afya.
9. Kusimamia uwajibikaji wa viongozi wa umma. Viongozi kwa sasa huudumia RAIA na kutatua kero zao.RAIA anaweza kuongea na mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, mkurugenzj au waziri na kutatuliwa kero yake.
10. Kuwaminya mabeberu hadi kukubali kukaa meza ya mazungumzo ili kutupatia Hisa na gawio LA mapato ya madini. Mwezi huu Oktoba, tumepata gawio LA bilioni 100 kutokana na faida ya madini.
11. Kuboresha miundo mbinu na usafiri wa anga, barabara, majini na reli. Nchi nzima imejengwa na kazi inaendelea
12. Kukomesha mgao wa umeme na kuongeza uzalishaji wa umeme. Mchezo wa kufungulia mabwawa ili kutengeneza mgawo wa umeme, umedhibitiwa. Mradi wa Stiglers Gorge ukikamilika, nchi itauza umeme nchi.
13. Kupambana na Covid-19 kidete hadi kuirejesha Tanzania katika hali ya kawaida na sasa maisha yanaendelea vyema. Nchi jirani mpaka sasa hawajafungua shule wala vyuo na uzalishaji umeshuka
14. Kuimarisha mifumo ya Uthibiti ubora wa Elimu kwa kuimarisha NACTE, NECTA, SQA, TCU n.k. Elimu inazidi kuimarika
15. Kuimarisha huduma za afya na Bima ya Afya, sasa hivi wenye bima wanapokelewa kama wafalme hospitalini, zamani tuliwekwa benchi. Hospitali zetu sasa zinapandikiza figo na kufanya upasuaji mkubwa. Hatuhitaji tena kupeleka wagonjwa India kama zamani.
16. Kuimarisha michezo na usimamizi hivyo wachezaji wananufaika na jasho lao na timu zetu zinafanya vizuri. Ndani ya miaka mitano ya JPM Tanzania imecheza AFCON, ilifuzu CHAN, simba ilifika robo fainali. Soko LA soka mpira biriani kwa afrika mashariki na kati ni Tanzania na nchi yetu ndiyo yenye ligi bora zaidi.
17. Heshima ya Tanzania kama Taifa imerejea, hakuna Nchi inayotuchezea tena. Mipaka IPO salama na tunatembea kifua mbele ndani na nje ya Afrika.
18. Kilimo kimeimarishwa hivyo nchi imeongeza uzalishaji, hakuna njaa tena nchini. Tanzania ndiyo inayouzia chakula mashirika ya umoja wa mataifa.
19. Imani ya wananchi kwa CCM imeongezeka na sasa wana CCM wanazaa sare zao hadharani tofauti na 2013-2014 ambako MTU angepita na sare ya CCM, angezomewa au ingechanwa.
20. Mheshimiwa Magufuli ni Mgombea jasiri, mzalendo na Mchapakazi, yupo kwaajili ya maslahi ya nchi na maendeleo ya Nchi. AMETEKELEZA KWA KISHINDO, TUSONGE NAYE PAMOJA (2020-2025) KWA KUMPIGIA KURA ZA KUTOSHA OKTOBA 28.
Kwa sababu hizo na zinginezo, Waafrika wanatutegemea sana watanzania tumpe Ushindi wa Kishindo DR. JPM kwa ustawi wa Tanzania na Afrika nzima. CHAGUA JPM, CHAGUA MAENDELEO.
 
Huduma za afya zimeboreshwa zaidi, Tiba tulizozifuata India na Ulaya mfano kupandikiza Figo, upasuaji wa moyo, saivi ni hapa hapa Bongo. Apolo wanalia, hawapati wagonjwa kutoka Tanzania
Kuboresha huduma ya afya, hasa bima ya afya?!!! Hata kabla yake mbona huduma ya bima ya afya irishaanza kutengemaa?? Kwenye upande wa bima ya afya bora hata kipindi cha jk, sasa hivi ni dhuruma tu!!

Wategemezi hakuna tena kama hapo awali!! Mala mjane nayeye kama mme wake/mke wake ndio alikuwa mfanyakazi hakuna tena!!, hadi leo bado madawa ya msingi ni shida kupatikana, ni mengi ameweza, ila changamoto bado ni nyingi mno,
 
Tanzania IPO katika nchakato wa Uchaguzi Mkuu, miongoni mwa wagombea URAIS ni Mheshimiwa Daktari John Joseph Pombe Magufuli.

Rekodi alizovunja Mheshimiwa JPM nchini Tanzania, Afrika na dunia nzima, zinamfanya asiwe mgombea wa Tanzania pekee Bali tegemeo LA Afrika kama mfano wa Kiongozi bora, shupavu, jasiri, Mzalendo na Mchapakazi.

Katika nchi nyingi, RAIA na viongozi wanamtazama Magufuli kama kiongozi bora wa mfano wa kuigwa katika ulinzi wa Rasilimali na Maendeleo ya nchi.

Tungekuwa na uchaguzi wa RAIS wa Afrika, JPM angeshinda kwa kura nyingi maana Afrika inamhitaji kuliko yeye anavyoihitaji Afrika.

Hizi rekodi zake haziwezi kufikiwa na Rais mwingine yeyote wa Afrika hivyo kumpambanua kama kiongozi bora wa karne hii:
1. Kuongoza nchi ya kiafrika kwa miaka mitano bila kukanyaga Ulaya, Amerika wala Asia hivyo kupunguza gharama za uendeshaji serikalini na kuepuka mikataba ya uporaji rasilimali za nchi.
2. Kuzuia safari za nje kwa viongozi na watumishi wa umma ili viongozi wawatumikie wananchi
3. Kudhibiti biashara ya madawa ya kulevya nchini
4. Kudhibiti ujangili hivyo kulinda rasilimali za nchi na kukuza utalii
5. Kujenga ukuta ili kulinda rasilimali madini, matunda yake ni upatikanaji wa mawe makubwa ya Tanzanite kupitia mtanzania Laizer. Tanzania itaongoza kwa uuzaji wa Tanzanite tofauti na awali ambako Kenya, Afrika ya kusini na India zilijinufaisha kutuibia madini hayo. Faida ya ukuta huo ni kuongeza pato LA Taiga, ajira na kukuza uchumi.
6. Kutumia wasomi na Elimu zao kwa maendeleo ya nchi bila kujali itikadi. Mfano Prof. Kitila, Kafulila, Mtatito
7. Kufufua shirika LA ndege kwa kutumia cash money, Nchi kumiliki ndege zake ni usalama kwa nchi, na kukuza uchumi kupitia ajira na biadhara.
8. Kubadili mfumo wa mashirika ya umma kutoka kuomba ruzuku hadi kutoa gawio. Mashirika yetu sasa kama TTCL, STAMICO, TANAPA, KADCO, yanajiendesha kwa faida na gawio lake hutumika kukenga miundo mbinu na kuboresha huduma za jamii kama Elimu, maji, usafiri na afya.
9. Kusimamia uwajibikaji wa viongozi wa umma. Viongozi kwa sasa huudumia RAIA na kutatua kero zao.RAIA anaweza kuongea na mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, mkurugenzj au waziri na kutatuliwa kero yake.
10. Kuwaminya mabeberu hadi kukubali kukaa meza ya mazungumzo ili kutupatia Hisa na gawio LA mapato ya madini. Mwezi huu Oktoba, tumepata gawio LA bilioni 100 kutokana na faida ya madini.
11. Kuboresha miundo mbinu na usafiri wa anga, barabara, majini na reli. Nchi nzima imejengwa na kazi inaendelea
12. Kukomesha mgao wa umeme na kuongeza uzalishaji wa umeme. Mchezo wa kufungulia mabwawa ili kutengeneza mgawo wa umeme, umedhibitiwa. Mradi wa Stiglers Gorge ukikamilika, nchi itauza umeme nchi.
13. Kupambana na Covid-19 kidete hadi kuirejesha Tanzania katika hali ya kawaida na sasa maisha yanaendelea vyema. Nchi jirani mpaka sasa hawajafungua shule wala vyuo na uzalishaji umeshuka
14. Kuimarisha mifumo ya Uthibiti ubora wa Elimu kwa kuimarisha NACTE, NECTA, SQA, TCU n.k. Elimu inazidi kuimarika
15. Kuimarisha huduma za afya na Bima ya Afya, sasa hivi wenye bima wanapokelewa kama wafalme hospitalini, zamani tuliwekwa benchi. Hospitali zetu sasa zinapandikiza figo na kufanya upasuaji mkubwa. Hatuhitaji tena kupeleka wagonjwa India kama zamani.
16. Kuimarisha michezo na usimamizi hivyo wachezaji wananufaika na jasho lao na timu zetu zinafanya vizuri. Ndani ya miaka mitano ya JPM Tanzania imecheza AFCON, ilifuzu CHAN, simba ilifika robo fainali. Soko LA soka mpira biriani kwa afrika mashariki na kati ni Tanzania na nchi yetu ndiyo yenye ligi bora zaidi.
17. Heshima ya Tanzania kama Taifa imerejea, hakuna Nchi inayotuchezea tena. Mipaka IPO salama na tunatembea kifua mbele ndani na nje ya Afrika.
18. Kilimo kimeimarishwa hivyo nchi imeongeza uzalishaji, hakuna njaa tena nchini. Tanzania ndiyo inayouzia chakula mashirika ya umoja wa mataifa.
19. Imani ya wananchi kwa CCM imeongezeka na sasa wana CCM wanazaa sare zao hadharani tofauti na 2013-2014 ambako MTU angepita na sare ya CCM, angezomewa au ingechanwa.
20. Mheshimiwa Magufuli ni Mgombea jasiri, mzalendo na Mchapakazi, yupo kwaajili ya maslahi ya nchi na maendeleo ya Nchi. AMETEKELEZA KWA KISHINDO, TUSONGE NAYE PAMOJA (2020-2025) KWA KUMPIGIA KURA ZA KUTOSHA OKTOBA 28.
Kwa sababu hizo na zinginezo, Waafrika wanatutegemea sana watanzania tumpe Ushindi wa Kishindo DR. JPM kwa ustawi wa Tanzania na Afrika nzima. CHAGUA JPM, CHAGUA MAENDELEO.
Umenena
 
Reli, Barabara, afya, maji na umeme, hizo ni nyenzo za MAENDELEO ya wote, usipotoshe, Mchague JPM, hana longo longo, MAENDELEO hayana Chama
Matendo yake mabaya dhidi ya watu ndi yamemuharibia alianza vizuri kila mtu alimpenda kabla ya kulewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom