Uchaguzi 2020 Magufuli si mgombea wa Tanzania pekee bali Afrika nzima inamuhitaji

Team JPM

JF-Expert Member
Nov 11, 2018
1,074
1,608
Tanzania IPO katika nchakato wa Uchaguzi Mkuu, miongoni mwa wagombea URAIS ni Mheshimiwa Daktari John Joseph Pombe Magufuli.

Rekodi alizovunja Mheshimiwa JPM nchini Tanzania, Afrika na dunia nzima, zinamfanya asiwe mgombea wa Tanzania pekee Bali tegemeo LA Afrika kama mfano wa Kiongozi bora, shupavu, jasiri, Mzalendo na Mchapakazi.

Katika nchi nyingi, RAIA na viongozi wanamtazama Magufuli kama kiongozi bora wa mfano wa kuigwa katika ulinzi wa Rasilimali na Maendeleo ya nchi.

Tungekuwa na uchaguzi wa RAIS wa Afrika, JPM angeshinda kwa kura nyingi maana Afrika inamhitaji kuliko yeye anavyoihitaji Afrika.

Hizi rekodi zake haziwezi kufikiwa na Rais mwingine yeyote wa Afrika hivyo kumpambanua kama kiongozi bora wa karne hii:
1. Kuongoza nchi ya kiafrika kwa miaka mitano bila kukanyaga Ulaya, Amerika wala Asia hivyo kupunguza gharama za uendeshaji serikalini na kuepuka mikataba ya uporaji rasilimali za nchi.
2. Kuzuia safari za nje kwa viongozi na watumishi wa umma ili viongozi wawatumikie wananchi
3. Kudhibiti biashara ya madawa ya kulevya nchini
4. Kudhibiti ujangili hivyo kulinda rasilimali za nchi na kukuza utalii
5. Kujenga ukuta ili kulinda rasilimali madini, matunda yake ni upatikanaji wa mawe makubwa ya Tanzanite kupitia mtanzania Laizer. Tanzania itaongoza kwa uuzaji wa Tanzanite tofauti na awali ambako Kenya, Afrika ya kusini na India zilijinufaisha kutuibia madini hayo. Faida ya ukuta huo ni kuongeza pato LA Taiga, ajira na kukuza uchumi.
6. Kutumia wasomi na Elimu zao kwa maendeleo ya nchi bila kujali itikadi. Mfano Prof. Kitila, Kafulila, Mtatito
7. Kufufua shirika LA ndege kwa kutumia cash money, Nchi kumiliki ndege zake ni usalama kwa nchi, na kukuza uchumi kupitia ajira na biadhara.
8. Kubadili mfumo wa mashirika ya umma kutoka kuomba ruzuku hadi kutoa gawio. Mashirika yetu sasa kama TTCL, STAMICO, TANAPA, KADCO, yanajiendesha kwa faida na gawio lake hutumika kukenga miundo mbinu na kuboresha huduma za jamii kama Elimu, maji, usafiri na afya.
9. Kusimamia uwajibikaji wa viongozi wa umma. Viongozi kwa sasa huudumia RAIA na kutatua kero zao.RAIA anaweza kuongea na mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, mkurugenzj au waziri na kutatuliwa kero yake.
10. Kuwaminya mabeberu hadi kukubali kukaa meza ya mazungumzo ili kutupatia Hisa na gawio LA mapato ya madini. Mwezi huu Oktoba, tumepata gawio LA bilioni 100 kutokana na faida ya madini.
11. Kuboresha miundo mbinu na usafiri wa anga, barabara, majini na reli. Nchi nzima imejengwa na kazi inaendelea
12. Kukomesha mgao wa umeme na kuongeza uzalishaji wa umeme. Mchezo wa kufungulia mabwawa ili kutengeneza mgawo wa umeme, umedhibitiwa. Mradi wa Stiglers Gorge ukikamilika, nchi itauza umeme nchi.
13. Kupambana na Covid-19 kidete hadi kuirejesha Tanzania katika hali ya kawaida na sasa maisha yanaendelea vyema. Nchi jirani mpaka sasa hawajafungua shule wala vyuo na uzalishaji umeshuka
14. Kuimarisha mifumo ya Uthibiti ubora wa Elimu kwa kuimarisha NACTE, NECTA, SQA, TCU n.k. Elimu inazidi kuimarika
15. Kuimarisha huduma za afya na Bima ya Afya, sasa hivi wenye bima wanapokelewa kama wafalme hospitalini, zamani tuliwekwa benchi. Hospitali zetu sasa zinapandikiza figo na kufanya upasuaji mkubwa. Hatuhitaji tena kupeleka wagonjwa India kama zamani.
16. Kuimarisha michezo na usimamizi hivyo wachezaji wananufaika na jasho lao na timu zetu zinafanya vizuri. Ndani ya miaka mitano ya JPM Tanzania imecheza AFCON, ilifuzu CHAN, simba ilifika robo fainali. Soko LA soka mpira biriani kwa afrika mashariki na kati ni Tanzania na nchi yetu ndiyo yenye ligi bora zaidi.
17. Heshima ya Tanzania kama Taifa imerejea, hakuna Nchi inayotuchezea tena. Mipaka IPO salama na tunatembea kifua mbele ndani na nje ya Afrika.
18. Kilimo kimeimarishwa hivyo nchi imeongeza uzalishaji, hakuna njaa tena nchini. Tanzania ndiyo inayouzia chakula mashirika ya umoja wa mataifa.
19. Imani ya wananchi kwa CCM imeongezeka na sasa wana CCM wanazaa sare zao hadharani tofauti na 2013-2014 ambako MTU angepita na sare ya CCM, angezomewa au ingechanwa.
20. Mheshimiwa Magufuli ni Mgombea jasiri, mzalendo na Mchapakazi, yupo kwaajili ya maslahi ya nchi na maendeleo ya Nchi. AMETEKELEZA KWA KISHINDO, TUSONGE NAYE PAMOJA (2020-2025) KWA KUMPIGIA KURA ZA KUTOSHA OKTOBA 28.
Kwa sababu hizo na zinginezo, Waafrika wanatutegemea sana watanzania tumpe Ushindi wa Kishindo DR. JPM kwa ustawi wa Tanzania na Afrika nzima. CHAGUA JPM, CHAGUA MAENDELEO.
 
Kuboresha huduma ya afya, hasa bima ya afya?!!! Hata kabla yake mbona huduma ya bima ya afya irishaanza kutengemaa?? Kwenye upande wa bima ya afya bora hata kipindi cha jk, sasa hivi ni dhuruma tu!!

Wategemezi hakuna tena kama hapo awali!! Mala mjane nayeye kama mme wake/mke wake ndio alikuwa mfanyakazi hakuna tena!!, hadi leo bado madawa ya msingi ni shida kupatikana, ni mengi ameweza, ila changamoto bado ni nyingi mno,
 
Kuboresha huduma ya afya, hasa bima ya afya?!!! Hata kabla yake mbona huduma ya bima ya afya irishaanza kutengemaa?? Kwenye upande wa bima ya afya bora hata kipindi cha jk, sasa hivi ni dhuruma tu!! Wategemezi hakuna tena kama hapo awali!! Mala mjane nayeye kama mme wake/mke wake ndio alikuwa mfanyakazi hakuna tena!!, hadi leo bado madawa ya msingi ni shida kupatikana, ni mengi ameweza, ila changamoto bado ni nyingi mno,
Kwa kusema tu ni mengi ameweza ni ushahidi wa ubora wake, tukimpa miaka mingine mitano atatatua hizo changamoto. Zamani ulikuwa ukienda Hospitali kwa kadi ya bima, unawekwa kando ili wahudumiwe wenye cash kwanza. Hata ukihudumiwa ilikuwa unaandikiwa dawa ukanunue,
Saivi huduma za bima ya afya ni bambam. Waelimishe na wengine wasipotoshwe na mabeberu
 
Mnamzungumzia Raisi JPM anayesubiri kuapishwa Kwa mara nyingine mwishoni mwa mwaka huu siyo?

Huyu ni Baadhi ya watu wachache duniani ambao hupatikana Kwa nadra sana! Huyu anapaswa kulazimishwa aongoze nji yetu hata baada ya matakwa ya kikatiba kumlimiti

Atake asitake tutamlazimisha,. Haiwezekani bajameni, ni Uongozi wake tu ambapo Korona Nayo imekubali kuongozwa na JPM, lakini kote huko Corona imekuwa kiongozi wa nji hizo

Ni JPM pekee Hadi barozi wa USA anaweza kuvua barakoa lake mbele yake hata hajaambiwa, inamaana Mabeberu wanaweza kumhoji kama hajakutana nao Tu, wakikutana naye lazima washushe kofia kichwani
 
Mnamzungumzia Raisi JPM anayesubiri kuapishwa Kwa mara nyingine mwishoni mwa mwaka huu siyo?

Huyu ni Baadhi ya watu wachache duniani ambao hupatikana Kwa nadra sana! Huyu anapaswa kulazimishwa aongoze nji yetu hata baada ya matakwa ya kikatiba kumlimiti

Atake asitake tutamlazimisha,. Haiwezekani bajameni, ni Uongozi wake tu ambapo Korona Nayo imekubali kuongozwa na JPM, lakini kote huko Corona imekuwa kiongozi wa nji hizo

Ni JPM pekee Hadi barozi wa USA anaweza kuvua barakoa lake mbele yake hata hajaambiwa, inamaana Mabeberu wanaweza kumhoji kama hajakutana nao Tu, wakikutana naye lazima washushe kofia kichwani
He is a symbol of African Nationalism, Patriotic leadership and self sacrifice leader
 
Kwa kiongozi tu kusimama na kuweza kuzipigania raslimali za taifa lake dhidi ya yeyote anazihujumu anastahili support yangu.

Binadamu hakosi mapungufu yake. Magufuli anamapungufu yake kama kiongozi ila ni aina ya viongozi ambao Afrika tunawahitaji.
 
Uko sawa 100% truth
Tanzania IPO katika nchakato wa Uchaguzi Mkuu, miongoni mwa wagombea URAIS ni Mheshimiwa Daktari John Joseph Pombe Magufuli.
Rekodi alizovunja Mheshimiwa JPM nchini Tanzania, Afrika na dunia nzima, zinamfanya asiwe mgombea wa Tanzania pekee Bali tegemeo LA Afrika kama mfano wa Kiongozi bora, shupavu, jasiri, Mzalendo na Mchapakazi.
Katika nchi nyingi, RAIA na viongozi wanamtazama Magufuli kama kiongozi bora wa mfano wa kuigwa katika ulinzi wa Rasilimali na Maendeleo ya nchi.
Tungekuwa na uchaguzi wa RAIS wa Afrika, JPM angeshinda kwa kura nyingi maana Afrika inamhitaji kuliko yeye anavyoihitaji Afrika.
Hizi rekodi zake haziwezi kufikiwa na Rais mwingine yeyote wa Afrika hivyo kumpambanua kama kiongozi bora wa karne hii:
1. Kuongoza nchi ya kiafrika kwa miaka mitano bila kukanyaga Ulaya, Amerika wala Asia
2. Kuzuia safari za nje kwa viongozi na watumishi wa umma ili viongozi wawatumikie wananchi
3. Kudhibiti biashara ya kulevya nchini
4. Kudhibiti ujangili
5. Kujenga ukuta ili kulinda rasilimali madini
6. Kutumia wasomi na Elimu zao kwa maendeleo ya nchi bila kujali itikadi
7. Kufufua shirika LA ndege kwa kutumia cash money
8. Kubadili mfumo wa mashirika ya umma kutoka kuomba ruzuku hadi kutoa gawio
9. Kusimamia uwajibikaji wa viongozi wa umma
10. Kuwaminya mabeberu hadi kukubali kukaa meza ya mazungumzo ili kutupatia Hisa na gawio LA mapato ya madini
11. Kuboresha miundo mbinu na usafiri wa anga, barabara, majini na reli
12. Kukomesha mgao wa umeme na kuongeza uzalishaji wa umeme
13. Kupambana na Covid-19 kidete hadi kuirejesha Tanzania katika hali ya kawaida na sasa maisha yanaendelea vyema
14. Kuimarisha mifumo ya Uthibiti ubora wa Elimu kwa kuimarisha NACTE, NECTA, SQA, TCU n.k
15. Kuimarisha huduma za afya na Bima ya Afya, sasa hivi wenye bima wanapokelewa kama wafalme hospitalini, zamani tuliwekwa benchi
16. Kuimarisha michezo na usimamizi hivyo wachezaji wananufaika na jasho lao na timu zetu zinafanya vizuri. Ndani ya miaka mitano ya JPM Tanzania imecheza AFCON, ilifuzu CHAN, simba ilifika robo fainali
17. Heshima ya Tanzania kama Taifa imerejea, hakuna Nchi inayotuchezea tena
18. Kilimo kimeimarishwa hivyo nchi imeongeza uzalishaji, hakuna njaa tena nchini.
19. Imani ya wananchi kwa CCM imeongezeka na sasa wana CCM wanazaa sare zao hadharani tofauti na 2013-2014 ambako MTU angepita na sare ya CCM, angezomewa au ingechanwa.
Kwa sababu hizo na zinginezo, Waafrika wanatutegemea sana watanzania tumpe Ushindi wa Kishindo DR. JPM kwa ustawi wa Tanzania na Afrika nzima. CHAGUA JPM, CHAGUA MAENDELEO
 
Tanzania IPO katika nchakato wa Uchaguzi Mkuu, miongoni mwa wagombea URAIS ni Mheshimiwa Daktari John Joseph Pombe Magufuli.
Rekodi alizovunja Mheshimiwa JPM nchini Tanzania, Afrika na dunia nzima, zinamfanya asiwe mgombea wa Tanzania pekee Bali tegemeo LA Afrika kama mfano wa Kiongozi bora, shupavu, jasiri, Mzalendo na Mchapakazi.
Katika nchi nyingi, RAIA na viongozi wanamtazama Magufuli kama kiongozi bora wa mfano wa kuigwa katika ulinzi wa Rasilimali na Maendeleo ya nchi.
Tungekuwa na uchaguzi wa RAIS wa Afrika, JPM angeshinda kwa kura nyingi maana Afrika inamhitaji kuliko yeye anavyoihitaji Afrika.
Hizi rekodi zake haziwezi kufikiwa na Rais mwingine yeyote wa Afrika hivyo kumpambanua kama kiongozi bora wa karne hii:
1. Kuongoza nchi ya kiafrika kwa miaka mitano bila kukanyaga Ulaya, Amerika wala Asia
2. Kuzuia safari za nje kwa viongozi na watumishi wa umma ili viongozi wawatumikie wananchi
3. Kudhibiti biashara ya kulevya nchini
4. Kudhibiti ujangili
5. Kujenga ukuta ili kulinda rasilimali madini
6. Kutumia wasomi na Elimu zao kwa maendeleo ya nchi bila kujali itikadi
7. Kufufua shirika LA ndege kwa kutumia cash money
8. Kubadili mfumo wa mashirika ya umma kutoka kuomba ruzuku hadi kutoa gawio
9. Kusimamia uwajibikaji wa viongozi wa umma
10. Kuwaminya mabeberu hadi kukubali kukaa meza ya mazungumzo ili kutupatia Hisa na gawio LA mapato ya madini
11. Kuboresha miundo mbinu na usafiri wa anga, barabara, majini na reli
12. Kukomesha mgao wa umeme na kuongeza uzalishaji wa umeme
13. Kupambana na Covid-19 kidete hadi kuirejesha Tanzania katika hali ya kawaida na sasa maisha yanaendelea vyema
14. Kuimarisha mifumo ya Uthibiti ubora wa Elimu kwa kuimarisha NACTE, NECTA, SQA, TCU n.k
15. Kuimarisha huduma za afya na Bima ya Afya, sasa hivi wenye bima wanapokelewa kama wafalme hospitalini, zamani tuliwekwa benchi
16. Kuimarisha michezo na usimamizi hivyo wachezaji wananufaika na jasho lao na timu zetu zinafanya vizuri. Ndani ya miaka mitano ya JPM Tanzania imecheza AFCON, ilifuzu CHAN, simba ilifika robo fainali
17. Heshima ya Tanzania kama Taifa imerejea, hakuna Nchi inayotuchezea tena
18. Kilimo kimeimarishwa hivyo nchi imeongeza uzalishaji, hakuna njaa tena nchini.
19. Imani ya wananchi kwa CCM imeongezeka na sasa wana CCM wanazaa sare zao hadharani tofauti na 2013-2014 ambako MTU angepita na sare ya CCM, angezomewa au ingechanwa.
Kwa sababu hizo na zinginezo, Waafrika wanatutegemea sana watanzania tumpe Ushindi wa Kishindo DR. JPM kwa ustawi wa Tanzania na Afrika nzima. CHAGUA JPM, CHAGUA MAENDELEO
Hatuhitaji muaji hata kama angekuwa anagawa maziwa na asali bure
 
35 Reactions
Reply
Back
Top Bottom