Magufuli: Saddam alikuwa rais wa Kuwait!!

Eti Magufuli aliteleza kusema watu wa Libya walimuua Saddam😳😳
Aliteleza kusema Saddam ni wakuwait😳😳

Aliteleza kusema Watu wa Kigamboni kama hawana nauli ya ferry wapige mbizi😳😳

Aliteleza kuwambia watu wa Buziku watumie kinyesi chao kutengemeza Lami😳😳

Aliteleza kuuza nyumba za serikali 😳😳

Ni kweli kabisa huwa anateleza,kama alivyoteleza kugombea urais😎

Angalia usiteleze kumpa kura yako😎😎

...Akateleza aliposema anataka wazaramo wampe mke!, teh!
 
ULofa ni kukazania trivial issues an kuacha kueleza Watanzania Ukawa itafanya nini ikichukua nchi. Sitegemei kusikia issues za kujadiliwa na watu wasio na Elimu. Mbowe alizungusha round about form six, Lowasa ana Pass ya UDSM PFA. Zero MBA yake hata research hajui ilifanywa na nani na wapi. I will be surprise UKAWA kujadili Issues. Natural Law inasema AKILI KUBWA LAZIMA IENDESHE AKILI NDOGO

Mbona hujaweka na matokeo ya Maji Marefu na matokeo ya Mulungo
 
Unahitaji mdahalo kulijua hili?
 

Attachments

  • 1442659277200.jpg
    1442659277200.jpg
    6.4 KB · Views: 262
ULofa ni kukazania trivial issues an kuacha kueleza Watanzania Ukawa itafanya nini ikichukua nchi. Sitegemei kusikia issues za kujadiliwa na watu wasio na Elimu. Mbowe alizungusha round about form six, Lowasa ana Pass ya UDSM PFA. Zero MBA yake hata research hajui ilifanywa na nani na wapi. I will be surprise UKAWA kujadili Issues. Natural Law inasema AKILI KUBWA LAZIMA IENDESHE AKILI NDOGO

U sound furious, may be frustration or hunger or lack of conviction or hate,i dnt know buddy but do not take it too personal "my take"
 
Ignorance haibustiwi kwa kikombe cha babu,, ingekuwa Ana bust memory saw a, ujanja wake ni ndani ya mipaka ya tz
Unajua ccm wanamdqnganya Magufuli toa mifano ya sehemu zenye machafuko km Libya kuwatisha wananchi wasifanye mabadiliko. Kumve jamaa general knowledge inampiga chenga. Yeye anajua kukariri takwimu tu. Nadhanii hata mambo ya uchumi atakuwa hajui kabisa!
 
ULofa ni kukazania trivial issues an kuacha kueleza Watanzania Ukawa itafanya nini ikichukua nchi. Sitegemei kusikia issues za kujadiliwa na watu wasio na Elimu. Mbowe alizungusha round about form six, Lowasa ana Pass ya UDSM PFA. Zero MBA yake hata research hajui ilifanywa na nani na wapi. I will be surprise UKAWA kujadili Issues. Natural Law inasema AKILI KUBWA LAZIMA IENDESHE AKILI NDOGO

Kaka hii si trivial ishu kwa mtu anayetaka urais wa nchi. Kushindwa kutofautisha kati ya Sadam na Gadaf, Iraq na kuwait sio trivial ishu. Huyu mtu anaraka urais huku hajui siasa za nje ya nchi yake? Sanasana hili linamuonesha jinsi alivyomkurupukaji! Na sisi hatutaki rais mkurupukaji!
 
Kaka hii si trivial ishu kwa mtu anayetaka urais wa nchi. Kushindwa kutofautisha kati ya Sadam na Gadaf, Iraq na kuwait sio trivial ishu. Huyu mtu anaraka urais huku hajui siasa za nje ya nchi yake? Sanasana hili linamuonesha jinsi alivyomkurupukaji! Na sisi hatutaki rais mkurupukaji!

Punguza ukilaza nchi haiongozi kama getto!! Mh. Rais anawashauri!!
 
Punguza ukilaza nchi haiongozi kama getto!! Mh. Rais anawashauri!!

Akili yake ni 0.0005 ya akili ya Edo na mpaka sasa anjuta kushindana na kiumbe wa pekee.Ukijumlisha akili za magamba unapata 0.5 ya Edo's brain na ndio maana kundi lao lote linakesha na kusuka mikakati isiyokuwa na matunda kama ule wa Dr Love Pimbi wa pale Sell enna.Bogus squared.
 
Nimenukuu ukurasa wa 22 wa Gazeti la mwananchi la leo 16/09/2015
para ya Kwanza; naomba ninukuu" Msifanye mabadiliko kwa pupa kama watu wa Libya. walimwondoa madarakani rais Saddam , hapana rais Gaddafi maana Saddam alikuwa rais wa Kuwait"

"Magufuli , na Lowassa nani atatufaa kwa Siasa za nje" ni kichwa cha habari cha article yenyewe.

Magufuli huyu anayejua kila barabara ya nchi hii ameshindwa kujua vitu vya darasa la nne vinavyotokea nje ya mipaka ya Tanzania sembuse siasa za kimataifa atazijulia wapi. Kuna uwezekano akashindwa kujua hata majina ya nchi tulizopakana nazo, au kushindwa kujua Marekani, india Uk nk zipo mabara gani. Kama ni hivyo je atajuaje trouble makers na marafiki wa kweli anaoweza kushirikiana nao katika siasa za dunia. Au ushindi kwanza mengine yatajipa?. Ukiona rais hajui kinachoendelea upande mwingine wa dunia ujue kazi tunayo hivyo tusifanye makosa katika uchaguzi wa mwaka huu la sivyo watanzania woote tutaonekana mambumbumbu.

Re: Hotuba ya Lowassa jana: Alisimama au kukaa?

Halafu alichanganyikiwa aliposema Zaire na Kongo kama nchi tofauti ambazo zitatumia bandari yetu ya Dar es Salaam. Pia kujitahidi kuzungumza haraka haraka ni hofu ya kuishiwa nguvu asiweze kumaliza kusema anachokusudia.


UKIBISHI ZAMA HAPA:https://www.youtube.com/watch?v=z_W8S1y7l2Q
 
Re: Hotuba ya Lowassa jana: Alisimama au kukaa?

Halafu alichanganyikiwa aliposema Zaire na Kongo kama nchi tofauti ambazo zitatumia bandari yetu ya Dar es Salaam. Pia kujitahidi kuzungumza haraka haraka ni hofu ya kuishiwa nguvu asiweze kumaliza kusema anachokusudia.


UKIBISHI ZAMA HAPA:https://www.youtube.com/watch?v=z_W8S1y7l2Q

Zaire ni DRC na pia kuna Kongo brazzaville.zamani nchi hizi mbili zilitofautishwa kwa kuongeza majina ya miji yake mikuu .yaani congo kinshasa(zaire) na KongoBrazaville(congo)
 
Re: Hotuba ya Lowassa jana: Alisimama au kukaa?

Halafu alichanganyikiwa aliposema Zaire na Kongo kama nchi tofauti ambazo zitatumia bandari yetu ya Dar es Salaam. Pia kujitahidi kuzungumza haraka haraka ni hofu ya kuishiwa nguvu asiweze kumaliza kusema anachokusudia.


UKIBISHI ZAMA HAPA:https://www.youtube.com/watch?v=z_W8S1y7l2Q

Wewe hauna tofauti na Huyo aliyeshindwa kumjua Raisi wa Kuwait, mnakosea bila kujua mmekosea.
 
Data ziliZo kuwa zinatolewa zilikuwa ngumu kung'amua kama vile idadi ya samaki,urefu Wa barabara.Nani angeanza kuhakiki,sasa kakosea kaingia anga zetu Saddam hakuwa Wa Kuwait ila Iraq.Msingwa alisema walikuwa wanaletewa idadi ya Barbara mpya za uongo Bungeni.
 
Data ziliZo kuwa zinatolewa zilikuwa ngumu kung'amua kama vile idadi ya samaki,urefu Wa barabara.Nani angeanza kuhakiki,sasa kakosea kaingia anga zetu Saddam hakuwa Wa Kuwait ila Iraq.Msingwa alisema walikuwa wanaletewa idadi ya Barbara mpya za uongo Bungeni.

Sichagui rais muwongomuwongo.Saddam rais wa Kuwait
 
Nimenukuu ukurasa wa 22 wa Gazeti la mwananchi la leo 16/09/2015
para ya Kwanza; naomba ninukuu" Msifanye mabadiliko kwa pupa kama watu wa Libya. walimwondoa madarakani rais Saddam , hapana rais Gaddafi maana Saddam alikuwa rais wa Kuwait"

"Magufuli , na Lowassa nani atatufaa kwa Siasa za nje" ni kichwa cha habari cha article yenyewe.

Magufuli huyu anayejua kila barabara ya nchi hii ameshindwa kujua vitu vya darasa la nne vinavyotokea nje ya mipaka ya Tanzania sembuse siasa za kimataifa atazijulia wapi. Kuna uwezekano akashindwa kujua hata majina ya nchi tulizopakana nazo, au kushindwa kujua Marekani, india Uk nk zipo mabara gani. Kama ni hivyo je atajuaje trouble makers na marafiki wa kweli anaoweza kushirikiana nao katika siasa za dunia. Au ushindi kwanza mengine yatajipa?. Ukiona rais hajui kinachoendelea upande mwingine wa dunia ujue kazi tunayo hivyo tusifanye makosa katika uchaguzi wa mwaka huu la sivyo watanzania woote tutaonekana mambumbumbu.

Pia ameishasema yeye sio mwanasiasa ni mtendaji
 
Kwanyie watu wote waliosoma PCM. Mnajua kabisa ktk masomo hayo matatu ukimuona mtu yuko bora katika Chemistry ujue uwezo wake wa kukariri ni wa kiwango cha juu sana. NAjamaa ni mkali wa hilo somo kwa maana ya kwamba yuko vizuri ktk kukariri siyo kuelewa
 
Punguza ukilaza nchi haiongozi kama getto!! Mh. Rais anawashauri!!

sasa kama yeye mwenyewe haelewi si ndio washauri wake watakuwa wanamdanganya kila siku? Mnataka turudi tena kwenye vile vichekesho vya eti " tatizo si kikwete bali washauri wake?" eti kikwete anaangushwa na washauri wake! Je kama na ujanja wote wa kikwete alikuwa anashauriwa vibaya na kushindwa kungamu ahuu ni ushauri mbaya, je Magufuli ambaye ni kilaza si ndio itakuwa balaa kabisa?
 
Ni muongo huyu jamaa, kwani zile data alizotoa kuwa Tanzania kuna samaki bilion 6,mia tisa arobaini na mbili ni kweli?
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom