Ufunguo
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 330
- 231
Eti Magufuli aliteleza kusema watu wa Libya walimuua Saddam😳😳
Aliteleza kusema Saddam ni wakuwait😳😳
Aliteleza kusema Watu wa Kigamboni kama hawana nauli ya ferry wapige mbizi😳😳
Aliteleza kuwambia watu wa Buziku watumie kinyesi chao kutengemeza Lami😳😳
Aliteleza kuuza nyumba za serikali 😳😳
Ni kweli kabisa huwa anateleza,kama alivyoteleza kugombea urais😎
Angalia usiteleze kumpa kura yako😎😎
...Akateleza aliposema anataka wazaramo wampe mke!, teh!