Sasa hivi umeibuka mtindo wa viongozi waliopewa dhamana kutumia ovyo magari ya umma baada ya saa za kazi hata wanadiriki kujiendesha wenyewe wakati taratibu haziruhusu
sheria ya fedha na kanuni za kudumu zimekataza na adhabu kali imeelezwa lakini hakuna anayechukuliwa hatua,..magari yanawapeleka nyumbani na kuwafata asubuhi..hakuna ufisadi kama huu..wanachakaza magari na kutumia ovyo fedha zinazonunua mafuta kwa kodi ya wavuja jasho..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.