Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Habarini wakuu, sasa hivi kama mnafahamu watu tunaochukua mizigo bandarini kazi zimepungua sana na wengine wamepunguzwa kazi.
Hata sisi ambao tuna kazi mishahara huwa inachelea hadi miezi 3 kwa kuwa hatuwezi kulipwa na sababu ni mizigo ya kusafirisha hakuna
Sasa mheshimiwa rais alipoanza kuzungumzia kuhusu ukosefu wa kazi kwa wadau wa bandari, hakuzungumzia hata kwa undani ila alisema amesikia madereva wamekosa mizigo.
Badala ya kuzungumzia hiyo changamoto ambayo imetuathiri sana akasema amefurahi sisi kukosa mizigo kwa kuwa alikwisha gombana na sisi.
Hao madereva wa malori aliogombana nao pengine wengi walishaacha kazi tupo sisi wapya, sasa badala ya kuzungumzia muafaka anasema anafurahi kwa sabau aligombana na madereva kipindi cha nyuma?
Hata sisi ambao tuna kazi mishahara huwa inachelea hadi miezi 3 kwa kuwa hatuwezi kulipwa na sababu ni mizigo ya kusafirisha hakuna
Sasa mheshimiwa rais alipoanza kuzungumzia kuhusu ukosefu wa kazi kwa wadau wa bandari, hakuzungumzia hata kwa undani ila alisema amesikia madereva wamekosa mizigo.
Badala ya kuzungumzia hiyo changamoto ambayo imetuathiri sana akasema amefurahi sisi kukosa mizigo kwa kuwa alikwisha gombana na sisi.
Hao madereva wa malori aliogombana nao pengine wengi walishaacha kazi tupo sisi wapya, sasa badala ya kuzungumzia muafaka anasema anafurahi kwa sabau aligombana na madereva kipindi cha nyuma?