sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,129
Unabii umetimia au siyo!!!Star tv inafilisika mbona Magu hana msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Unabii umetimia au siyo!!!Star tv inafilisika mbona Magu hana msaada
Kwi! Kwi! Kwi! Nimekucheka kwa dharau sana !Anthony Dialo ni mwekezaji namba moja kanda ya ziwa. Anamiliki vitega uchumi vingi na ametoa ajira nyingi kwa Watanzania kama alivyo Bakhressa, Manji, Dewji nk. Kubwa zaidi, ni Anthony Dialo pekee ndiye aliyejitolea kumtetea na kumlinda Magufuli kwenye kampeni zake pale alipoamua kurusha moja kwa moja matangazo ya mikutano ya Magufuli.
Ningemuona mtu wa ajabu sana kama asingeliona hilo. Reginald Mengi na Rostam Aziz aliweka azma ya kutorusha taarifa za Magufuli na kumpa muda wa kutosha Lowassa.
Big up Magufuli. Mlipe fadhila anayekutendea wema. Ikiwa Dialo atadhurika, atasababisha ukosefu mkubwa wa ajira
Wee jamaa upo...Anthony Dialo ni mwekezaji namba moja kanda ya ziwa. Anamiliki vitega uchumi vingi na ametoa ajira nyingi kwa Watanzania kama alivyo Bakhressa, Manji, Dewji nk. Kubwa zaidi, ni Anthony Dialo pekee ndiye aliyejitolea kumtetea na kumlinda Magufuli kwenye kampeni zake pale alipoamua kurusha moja kwa moja matangazo ya mikutano ya Magufuli.
Ningemuona mtu wa ajabu sana kama asingeliona hilo. Reginald Mengi na Rostam Aziz aliweka azma ya kutorusha taarifa za Magufuli na kumpa muda wa kutosha Lowassa.
Big up Magufuli. Mlipe fadhila anayekutendea wema. Ikiwa Dialo atadhurika, atasababisha ukosefu mkubwa wa ajira
Mshahara wa dhambi ni mauti .
Mungu hataniwi .Haaaaaha atamlinda ?
Leo star tv inapigwa mnada
Maelekezo na Maamuzi kutoka Juu
...Wala Hadhihakiwi..Mungu hataniwi .
...Bali karama ya Mungu ni uzima wa milele..Mshahara wa dhambi ni mauti .
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana .Ha ha ha mission failed 4 billions anadaiwa diallo je atamlindaje hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sanaAnthony Dialo ni mwekezaji namba moja kanda ya ziwa. Anamiliki vitega uchumi vingi na ametoa ajira nyingi kwa Watanzania kama alivyo Bakhressa, Manji, Dewji nk. Kubwa zaidi, ni Anthony Dialo pekee ndiye aliyejitolea kumtetea na kumlinda Magufuli kwenye kampeni zake pale alipoamua kurusha moja kwa moja matangazo ya mikutano ya Magufuli.
Ningemuona mtu wa ajabu sana kama asingeliona hilo. Reginald Mengi na Rostam Aziz aliweka azma ya kutorusha taarifa za Magufuli na kumpa muda wa kutosha Lowassa.
Big up Magufuli. Mlipe fadhila anayekutendea wema. Ikiwa Dialo atadhurika, atasababisha ukosefu mkubwa wa ajira
Lizaboni mbona Magufuli hajalipa fadhila kwa mtu wake diallo mpaka amefungiwa kituo chake?Anthony Dialo ni mwekezaji namba moja kanda ya ziwa. Anamiliki vitega uchumi vingi na ametoa ajira nyingi kwa Watanzania kama alivyo Bakhressa, Manji, Dewji nk. Kubwa zaidi, ni Anthony Dialo pekee ndiye aliyejitolea kumtetea na kumlinda Magufuli kwenye kampeni zake pale alipoamua kurusha moja kwa moja matangazo ya mikutano ya Magufuli.
Ningemuona mtu wa ajabu sana kama asingeliona hilo. Reginald Mengi na Rostam Aziz aliweka azma ya kutorusha taarifa za Magufuli na kumpa muda wa kutosha Lowassa.
Big up Magufuli. Mlipe fadhila anayekutendea wema. Ikiwa Dialo atadhurika, atasababisha ukosefu mkubwa wa ajira
Ha ha ha mission failed 4 billions anadaiwa diallo je atamlindaje hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii komenti ndugu yangu,! Watu mnaona mbali.Magufuli akishinda atakuwa rais bomu kulikoJK. Mungu aepushie mbali...
Kweli kuna watu walimjua huyu jiwe kitambo sana.Hii komenti ndugu yangu,! Watu mnaona mbali.
Naam?Urais aupate kwa kura IPI?