Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
“Bunda walijichanganya, utawapelekeaje Watu wanaokutukana?,hata kama Malaika utagoma kidogo, mimi sio Malaika nina moyo, na hata ukiwa na chakula kizuri huwezi kumpelekea Mtoto wa Jirani utampelekea Mtoto wa kumzaa, tumejitahidi ila kamoyo kaubinadamu kapo, wachagueni wa CCM”-JPM https://t.co/kM3juDZO0r