Timm Wu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 505
- 1,360
Mwakani siamini kama tuna uchaguzi - maana Rais amejipa kazi ya "kunyoosha nchi" hadi ameipelekea kupinda, na 2020 hiyooo - hajatembelea mikoa mingi zaidi ya mikoa ya Kanda ya Ziwa!
Lkn kila leo utasikia ama Waziri Mkuu Kassim Majaliwa yuko Kigoma ama Makamu wa Rais yuko Singida - wakiwafariji wananchi kwa matatizo na hali ngumu ya maisha wanayopitia - mengi ya matatizo yakisababishwa na kiongozi mkuu!
Baada ya ziara hizo utamsikia Kassim Majaliwa anamwakilisha Rais kwenye mkutano wa Wakuu wa nchi AU huko Addis Ababa, ama Makamu yupo Maputo Mozambique kumwakilisha Rais kwenye mkutano wa Wakuu wa nchi wanachama wa SADC..
Sasa Rais wetu, ziara za ndani hafanyi wala nje hasafiri - amevuruga biashara ya korosho mikoa ya kusini - lakini badala ya kwenda kuwaona maskini wale, sasa kajikausha kama vile hahusiki - hataki kwenda kule kuonana na wakulima - watu wamekosa fedha za kusomesha watoto wao na wakulima wamedhulumiwa korosho zao; you would expect Rais afike kule to clean the mess he created.
Kajituliza zake Magogoni, ama anatengua ama anateua na kuapisha, sisi huku tunahimizwa tumwombee kwa kazi hizo rahisi za kuteua na kutengua makada wa Chama chake - nothing bigger!
Akija kutimka hapo Magogoni tutasikia yuko zake Chato - na atazungukia tena Mwanza, atazindua tena daraja la Furahisha - halaf atarudi Dar es Salaam - kutengua, kuteua ama kuapisha on live TV!
Huyo ndo Rais wetu kipenzi - mwakani siamini kama kuna uchaguzi maana mtu kajifungia tu Dar es Salaam - labda kama ana kazi ya kutafuta risiti na mpwa wake Doto James kuhusu ule ubadhirifu wa 2.4 trillion nitaelewa!
Vinginevyo atoke ofisini atembelee wananchi mikoani!
Lkn kila leo utasikia ama Waziri Mkuu Kassim Majaliwa yuko Kigoma ama Makamu wa Rais yuko Singida - wakiwafariji wananchi kwa matatizo na hali ngumu ya maisha wanayopitia - mengi ya matatizo yakisababishwa na kiongozi mkuu!
Baada ya ziara hizo utamsikia Kassim Majaliwa anamwakilisha Rais kwenye mkutano wa Wakuu wa nchi AU huko Addis Ababa, ama Makamu yupo Maputo Mozambique kumwakilisha Rais kwenye mkutano wa Wakuu wa nchi wanachama wa SADC..
Sasa Rais wetu, ziara za ndani hafanyi wala nje hasafiri - amevuruga biashara ya korosho mikoa ya kusini - lakini badala ya kwenda kuwaona maskini wale, sasa kajikausha kama vile hahusiki - hataki kwenda kule kuonana na wakulima - watu wamekosa fedha za kusomesha watoto wao na wakulima wamedhulumiwa korosho zao; you would expect Rais afike kule to clean the mess he created.
Kajituliza zake Magogoni, ama anatengua ama anateua na kuapisha, sisi huku tunahimizwa tumwombee kwa kazi hizo rahisi za kuteua na kutengua makada wa Chama chake - nothing bigger!
Akija kutimka hapo Magogoni tutasikia yuko zake Chato - na atazungukia tena Mwanza, atazindua tena daraja la Furahisha - halaf atarudi Dar es Salaam - kutengua, kuteua ama kuapisha on live TV!
Huyo ndo Rais wetu kipenzi - mwakani siamini kama kuna uchaguzi maana mtu kajifungia tu Dar es Salaam - labda kama ana kazi ya kutafuta risiti na mpwa wake Doto James kuhusu ule ubadhirifu wa 2.4 trillion nitaelewa!
Vinginevyo atoke ofisini atembelee wananchi mikoani!