jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,034
- 28,201
Huyu jamaa kapitishwa na ccm bila kuwa na makundi.
Huyu jamaa yuko serious na anamaanisha ndio maana makapi wanahaha huku na huko kuhakikisha hapiti.
lakini ni mpango wa Mungu ndio unaotaka apewe rungu la kupambana na mafisadi na vibaka ambao wanajidanganya kwa kuhamia chadema.
Tusubiri kampeni zianze tusikie kuhusu hukumu ya mafisadi na vibaka!
Magufuli ni silent killer against vibaka ndani na nje ya ccm!
Huyu jamaa yuko serious na anamaanisha ndio maana makapi wanahaha huku na huko kuhakikisha hapiti.
lakini ni mpango wa Mungu ndio unaotaka apewe rungu la kupambana na mafisadi na vibaka ambao wanajidanganya kwa kuhamia chadema.
Tusubiri kampeni zianze tusikie kuhusu hukumu ya mafisadi na vibaka!
Magufuli ni silent killer against vibaka ndani na nje ya ccm!