sinide
JF-Expert Member
- Nov 7, 2015
- 459
- 483
Hivi nyie kipindi kile mnachora njiwa af mnaziandika AIR TANZANIA na kupost mitandaoni mlikuwa mnamaanisha nini?.. af saiv mnakuja na porojo za kifala. Tulieni iwaingie vizuri na zitanunuliwa nyingine za kutosha kama hamtaki hamieni kwenye nchi ambayo serikali haina shirika la ndege mkaendeleze unafik wenu