ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,030
- 3,906
Wewe umeenda kutununulia mandege
Mandege menyewe yakianguka watu wanakufa woote yaani haponi hata mmoja.
Nani alikwambia tunataka ndege?Ndege za kwenda wapi?
We umetumia kodi zetu kununua ndege ili uwe kama Kagame?Unamuiga?Unampenda sana?Ungehamia huko tu ingetosha.Sasa umetuletea midege kama lidream liner linabea sijua watu wangapi sijua sasa likianguka si watakufa wengi sana?Mpaka tutashindwa kulia.
Nani alikuambia utununlie Mindege sasa hivi watu wanaogopa kupanda ndege maana hawajua kama na yenyewe itadondoka.
Bora hata ungewaongezea wafanyakazi mishahara wangeza kuwa na maisha ya hadhi kuliko kuishi kama omba omba?Si bora hata ungehakikisha watu wote wanosoma chuo wanapata mkopo?
i
Kwa nini ulituninilie mindege mikubwa hivi.Kwa ajili ya kupiga picha?
Si zilikuwepo fastjeti na Presishe zinachana mawingu.
We unaona ni sawa kufanya hivyo kweli?
2020 lazima tukuache katika ya njia ukishangaa kama ulivowaacha wakulima wakorosho katika ya njia.Si ulifikiri ujanja?Na hao JWTZ usifikiri watakulinda.Si unawaona wanawapa mademu zao sare wapige nazo picha bila shida?Wajeda wako Peace sana na Raia so wala usifikiri watakusikiliza ukiwaambia wawaiga watoto wazuri kama yule aliyejiselfisha na sare za Jeshi.Watakuangalia halafu wataenda zao kufanya masage
Mandege menyewe yakianguka watu wanakufa woote yaani haponi hata mmoja.
Nani alikwambia tunataka ndege?Ndege za kwenda wapi?
We umetumia kodi zetu kununua ndege ili uwe kama Kagame?Unamuiga?Unampenda sana?Ungehamia huko tu ingetosha.Sasa umetuletea midege kama lidream liner linabea sijua watu wangapi sijua sasa likianguka si watakufa wengi sana?Mpaka tutashindwa kulia.
Nani alikuambia utununlie Mindege sasa hivi watu wanaogopa kupanda ndege maana hawajua kama na yenyewe itadondoka.
Bora hata ungewaongezea wafanyakazi mishahara wangeza kuwa na maisha ya hadhi kuliko kuishi kama omba omba?Si bora hata ungehakikisha watu wote wanosoma chuo wanapata mkopo?
i
Kwa nini ulituninilie mindege mikubwa hivi.Kwa ajili ya kupiga picha?
Si zilikuwepo fastjeti na Presishe zinachana mawingu.
We unaona ni sawa kufanya hivyo kweli?
2020 lazima tukuache katika ya njia ukishangaa kama ulivowaacha wakulima wakorosho katika ya njia.Si ulifikiri ujanja?Na hao JWTZ usifikiri watakulinda.Si unawaona wanawapa mademu zao sare wapige nazo picha bila shida?Wajeda wako Peace sana na Raia so wala usifikiri watakusikiliza ukiwaambia wawaiga watoto wazuri kama yule aliyejiselfisha na sare za Jeshi.Watakuangalia halafu wataenda zao kufanya masage