Magufuli: Nakerwa na vigezo vya uzoefu kuomba ajira

Asilete siasa kwenye kila jambo. Kwenye Utumishi kuna kitu kinaitwa scheme of service au miundo ya utumishi...Mtu asiye na uzoefu wa kazi anaajiriwa kwenye vyeo vya kuingilia au entry point. Vyeo vya juu ya hapo vinataka mtu awe amefanya kazi kwa angalau miaka mitatu. Kuna vyeo ambavyo unaajiri mtu anayejua kazi sio anayeenda kujifunza. Kama anataka kufuat huo utaratibu awe mkweli kwamba haitachukua mwaka mmoja kwa sababu utatakiwa kubadilisha sera, sheria, kanuni na miongozo mbalimbali iliyopo sasa
 
Asilete siasa kwenye kila jambo. Kwenye Utumishi kuna kitu kinaitwa scheme of service au miundo ya utumishi...Mtu asiye na uzoefu wa kazi anaajiriwa kwenye vyeo vya kuingilia au entry point. Vyeo vya juu ya hapo vinataka mtu awe amefanya kazi kwa angalau miaka mitatu. Kuna vyeo ambavyo unaajiri mtu anayejua kazi sio anayeenda kujifunza. Kama anataka kufuat huo utaratibu awe mkweli kwamba haitachukua mwaka mmoja kwa sababu utatakiwa kubadilisha sera, sheria, kanuni na miongozo mbalimbali iliyopo sasa
Ni unafiki tu ulikuwa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom