Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aache unafiki wake bhana. Anakerwa saa hizi akiomba kura
Ameajiri wangapi katika wizara alizopitia bila kuzingatia uzoefu wao?
akijibu hili ntamuelewa.
I am a politicians" by Dr. magufuli
Umeanza kukerwa lini hata bungeni kutoa hiyo hoja hujawahi?
Ulitaka akerwa kipindi gani
Ni unafiki tu ulikuwaAsilete siasa kwenye kila jambo. Kwenye Utumishi kuna kitu kinaitwa scheme of service au miundo ya utumishi...Mtu asiye na uzoefu wa kazi anaajiriwa kwenye vyeo vya kuingilia au entry point. Vyeo vya juu ya hapo vinataka mtu awe amefanya kazi kwa angalau miaka mitatu. Kuna vyeo ambavyo unaajiri mtu anayejua kazi sio anayeenda kujifunza. Kama anataka kufuat huo utaratibu awe mkweli kwamba haitachukua mwaka mmoja kwa sababu utatakiwa kubadilisha sera, sheria, kanuni na miongozo mbalimbali iliyopo sasa
Huko mimi sipo. Sina jeuri ya kukataa kupimwa mkojo aiseNi unafiki tu ulikuwa