Magufuli na Zitto: Wale wanaopiga kelele wa upinzani siwezi teua, nataka wapinzani wapiga kazi

Sasa ulitaka aseme atateua hao wapiga kelele, kama vile hawapo wenye sifa anazotaka huko upinzani!? Huo ndio ukweli katoa... ni kama mtu useme 1 halafu uongezeeee na 1a... mlitaka kuanza kujigonga kufikiri wapiga mayowe watafikiriwa.... eeeeeh amerudia tena leo ndio hivyooooo... wao matumbo mbele na midomo mayoweeee wamepigwa msamba pwaaaa

Jisikitikie
Cocoriko mwambie Bashite amshawishi boss kubwa atangaze KOLOMIJE iwe wilaya ili uteuliwe kuwa mkuu wa wilaya mpya ya Kolomije. Kazi unayoifanya kwa kweli inahitaji tuzo. Jitihada zako zinaonekana, kila mahali upo, uchoki, yaani unastahili kabisa kupata ukuu wa wilaya.
 
Ninamkumbuka mzee kingunge alisema huyu alistahili kuwa mnyampala wa Barabara na si vinginevyo sasa yametimia
 
Zitto ni zinga la opportunist.
Hajawahi kuwa serious kwa chochote na wala hana anachoamini. Ni kama popo tu.
 
sasa si tufute upinzani wabaki ccm tu kuna haja gani kama zitto mrema na cheyo wanaunga mkono sera za mkoloni mweusi ccm.mmerogwa nyie

Mnafuta mara ngapi ? tatizo lenu ni kutokubaliana na mnavyofikiri.Hivi kuna wapinzani? wapi? chama kipi? Sumaye mpinzani,Kingunge mpinzani,Mhanga mpinzani? Lowasa mpinzani? kumbe ukikosa unakuwa mpinzani.

Ukwei na uongo= Nuru na giza havikai pamoja.
 
Nichelee kusema ni "ni bora kuishi na mchawi kuliko mnafiki"
yes, mbunge wa kigoma mjini Zitto kabwe ni mnafiki wa kutupwa katika taifa hili

Unafiki wa Zitto unanifanya niwe na mashaka na nini malengo yake katika siasa za Tanzania,
je yupo kwa maslahi ya taifa au tumbo lake
Huyu bwana yupo pande zote mbili una unaweza shindwa tambua yupo upande gani hasa usipokuwa makini

Hapo awali nilimkubali na kumheshimu sana kwa hoja nzito na msimamo mkali dhidi ya kweli kuelekea katika maendeleo
lakini hivi sasa, si siri Zitto yupo katikati anauCCM na Upinzani kidogo huku akiwaadaa wananchi wasijue wafuate nini katika zama hizi zenye mkanganyiko

Yupo upande wa dikteta mamboleo tena muda akituaminisha wananchi tumpinge dikteta huyu
lakini pia yupo pamoja na wananchi na upinzani kwa ujumla

Hii hali ni hatali sana kwa maendeleo,
Zitto kuna nafasi ya uteuzi unahitaji toka kwa mkulu ili uendelee kuneemeka na siasa za uteuzi katika nchii hii

Hizi ni dalili mbaya kwa ACT wazalendo, Haitashangaza siku za usoni tukiona Zitto Kabwe akikabiziwa kadi ya chama cha kijani maana msaliti na mnafiki hana upande wa kudumu, zaidi huangukia upabde wenye maslahi kwake
Ila unafiki mwisho wake ni mbaya, 2020 tutajua rangi yako halisi tu wala si mbali kama unavyojidanganya
Zitto tuambie wananchi tujue, Uko CCM au upinzani!
 
Nichelee kusema ni "ni bora kuishi na mchawi kuliko mnafiki"
yes, mbunge wa kigoma mjini Zitto kabwe ni mnafiki wa kutupwa katika taifa hili

Unafiki wa Zitto unanifanya niwe na mashaka na nini malengo yake katika siasa za Tanzania,
je yupo kwa maslahi ya taifa au tumbo lake
Huyu bwana yupo pande zote mbili una unaweza shindwa tambua yupo upande gani hasa usipokuwa makini

Hapo awali nilimkubali na kumheshimu sana kwa hoja nzito na msimamo mkali dhidi ya kweli kuelekea katika maendeleo
lakini hivi sasa, si siri Zitto yupo katikati anauCCM na Upinzani kidogo huku akiwaadaa wananchi wasijue wafuate nini katika zama hizi zenye mkanganyiko

Yupo upande wa dikteta mamboleo tena muda akituaminisha wananchi tumpinge dikteta huyu
lakini pia yupo pamoja na wananchi na upinzani kwa ujumla

Hii hali ni hatali sana kwa maendeleo,
Zitto kuna nafasi ya uteuzi unahitaji toka kwa mkulu ili uendelee kuneemeka na siasa za uteuzi katika nchii hii

Hizi ni dalili mbaya kwa ACT wazalendo, Haitashangaza siku za usoni tukiona Zitto Kabwe akikabiziwa kadi ya chama cha kijani maana msaliti na mnafiki hana upande wa kudumu, zaidi huangukia upabde wenye maslahi kwake
Ila unafiki mwisho wake ni mbaya, 2020 tutajua rangi yako halisi tu wala si mbali kama unavyojidanganya
Zitto tuambie wananchi tujue, Uko CCM au upinzani!
Zitto ni mwanasiasa makini kuliko unavyodhania hata kama akiteuliwa itakuwa kwa manufaa ya jimbo lake la uchaguzi na taifa kwa jumla.
 
Acha ale uteuzi.
Kuna unafiki wa kishenzi kama mlioufanya Chadema dakika za mwisho na kupitisha Lowassa kama mgombea wa kiti cha urais na kumswaga Dr Slaa?
Dhambi hii itawapukutisha vibaya Sana, na huu ndo mwanzo wa kupotea kwenye siasa za nchi hii.
Muulize Free Man Mboe habari anazo. Kajificha kusikojulikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom