WADAU WENZANGU,
nawasilisha kwenu kero ya kujitakia hapa mbezi mwisho , foleni ya magari inaanza kuanzania saa tisa hadi saa nne usiku. katika kujitaidi kupunguza foleni seriakali kupitia tanroads walijenga stendi mpya kwa mabilioni ya shilingi za walipa kodi, tangu stendiikamilike ni zaidi ya miezi sita, lakni haifunguliwi ili itumike. tuaambiwa kuwa hakuna choo, mbaya zaidi hakuna jtihada zozote zinzzo fanyika. masaa yanayopotea kwa zaidi ya magari 12,000 yanayoingia dsm toka mikoani na nchi jirani ni hasara ya mabilioni kwa siku, hasara hii inaweza kuzuililka kwa kujenga choo ambacho gharama yake haizidi 12m. waziri magufuli na mnyika tusaidieni kuondoa kero hii.
nawasilisha kwenu kero ya kujitakia hapa mbezi mwisho , foleni ya magari inaanza kuanzania saa tisa hadi saa nne usiku. katika kujitaidi kupunguza foleni seriakali kupitia tanroads walijenga stendi mpya kwa mabilioni ya shilingi za walipa kodi, tangu stendiikamilike ni zaidi ya miezi sita, lakni haifunguliwi ili itumike. tuaambiwa kuwa hakuna choo, mbaya zaidi hakuna jtihada zozote zinzzo fanyika. masaa yanayopotea kwa zaidi ya magari 12,000 yanayoingia dsm toka mikoani na nchi jirani ni hasara ya mabilioni kwa siku, hasara hii inaweza kuzuililka kwa kujenga choo ambacho gharama yake haizidi 12m. waziri magufuli na mnyika tusaidieni kuondoa kero hii.