Happy nation
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 679
- 591
Ingekuwa 2013 angesema mambo mheshimiwa rais anayoyafanya sasa ungesema ni mpinzani wa kikwete ,kila kitu kikwete kibaya ilichokifanya yeye amekirekebisha na kila kizuri alichokifanya yeye ameharibu,sasa nashindwa kuelewa alivyo anza alikuwa anaangalia mwenzake aliyoyafanya na kwenda tofauti au alidhamiria tu aonekane ni tofauti na kikwete,kiukweli ukiondoa uafrika na utanzania na chama,kilakitu ni tofauti nadhani hadi vyakula vya ikulu inapikwa tofauti,sioni ajabu wabunge wa ccm wakiungana na upinzani kwa sababu hawajui wako upande gani,