Ngaliwe
Senior Member
- Dec 30, 2015
- 161
- 364
Wakoloni weusi wanasema ule mradi wa Rufiji hauna tija , Profesa Assad amesahau mwaka 2018 alikushauri kuwa ndio mradi wenye gharama nafuu
Wakoloni weusi wamesahau uliwaagiza ATCL wakamchukue Zitto Kabwe Kigoma alivyopata ajali, walidhani pesa zinatoka Mbinguni
Wakoloni weusi wamesahau ulivyojenga hospitali za Wilaya na Vituo vya Afya, hata kule Nkasi wamesahau tangu ukoloni hawakua na hospitali ya Wilaya na Wilaya ilianzishwa mwaka 1978.
Magufuli hata wale vijana wa mitano tena wapo kimya wamekuwa mabubu wanawaogopa Wakoloni weusi.
Wakoloni weusi waliokubeza wakati unamteua Kichere leo wanaomba msamaha, wanasema yale maagizo uliyompa siku ile Kichere asingesema mbele yako?
Wamesahau ulimuambia unataka ukafanye kazi na wamesahu ulifariki tayari ripoti imeshaandikwa
Wakoloni weusi siku hizi watoto wao wanasoma Ubelgiji na wengine wanaenda kufanya biashara nje ya nchi.
Wakoloni weusi wanataka stendi ya Mbezi ibomolewe ili waendelee kuiba mapato Ubungo na mvua ikinyesha liwe bwawa.
Magufuli muambie Nyerere mama Samia ameapa kuendeĺeza miradi yote mikubwa uliyoacha.
Wakoloni weusi hawataki kulipa kodi wanajificha kwenye siasa ,ukiwadai wanasema ni mambo ya kisiasa .
Magufuli mwambie Nyerere wale niliokuwa nawaalika Ikulu nao wananisema nilikuwa sishauriki. Wakoloni weusi wanataka mikataba ya kinyonyaji isainiwe ili nchi itaifishwe mbeleni
Magufuli mwaambie Nyerere ile kazi uliyomtuma Kichere kubaini wizi unaofanyika kwenye Halmashauri tayari Ummy Mwalimu ameshaanza kuufanyia kazi.
Magufuli mwaambie Nyerere, Clouds wameshaonesha risiti za Electronic walizozopewa pesa zao kwaajili ya malipo.
Wakoloni weusi siku hizi wanapishana kwenye vyombo vya habari lakini habari njema ni kwamba Mama Samia na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wanapishana kutekeleza miradi uliyoianzisha.
Magufuli mwambie Nyerere kazi kule inaendelea japo Wakoloni weusi wanarudi kwa kasi
Wakoloni weusi wamesahau uliwaagiza ATCL wakamchukue Zitto Kabwe Kigoma alivyopata ajali, walidhani pesa zinatoka Mbinguni
Wakoloni weusi wamesahau ulivyojenga hospitali za Wilaya na Vituo vya Afya, hata kule Nkasi wamesahau tangu ukoloni hawakua na hospitali ya Wilaya na Wilaya ilianzishwa mwaka 1978.
Magufuli hata wale vijana wa mitano tena wapo kimya wamekuwa mabubu wanawaogopa Wakoloni weusi.
Wakoloni weusi waliokubeza wakati unamteua Kichere leo wanaomba msamaha, wanasema yale maagizo uliyompa siku ile Kichere asingesema mbele yako?
Wamesahau ulimuambia unataka ukafanye kazi na wamesahu ulifariki tayari ripoti imeshaandikwa
Wakoloni weusi siku hizi watoto wao wanasoma Ubelgiji na wengine wanaenda kufanya biashara nje ya nchi.
Wakoloni weusi wanataka stendi ya Mbezi ibomolewe ili waendelee kuiba mapato Ubungo na mvua ikinyesha liwe bwawa.
Magufuli muambie Nyerere mama Samia ameapa kuendeĺeza miradi yote mikubwa uliyoacha.
Wakoloni weusi hawataki kulipa kodi wanajificha kwenye siasa ,ukiwadai wanasema ni mambo ya kisiasa .
Magufuli mwambie Nyerere wale niliokuwa nawaalika Ikulu nao wananisema nilikuwa sishauriki. Wakoloni weusi wanataka mikataba ya kinyonyaji isainiwe ili nchi itaifishwe mbeleni
Magufuli mwaambie Nyerere ile kazi uliyomtuma Kichere kubaini wizi unaofanyika kwenye Halmashauri tayari Ummy Mwalimu ameshaanza kuufanyia kazi.
Magufuli mwaambie Nyerere, Clouds wameshaonesha risiti za Electronic walizozopewa pesa zao kwaajili ya malipo.
Wakoloni weusi siku hizi wanapishana kwenye vyombo vya habari lakini habari njema ni kwamba Mama Samia na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wanapishana kutekeleza miradi uliyoianzisha.
Magufuli mwambie Nyerere kazi kule inaendelea japo Wakoloni weusi wanarudi kwa kasi