The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,842
kwa tunaotumia barabara ya ali hassan mwinyi daily hapa dar
tunafurahi kuona upanuzi umeanza wa barabara hiyo......lakini
kwa kuwa upanuzi unafanywa kuanzia mwenge kwenda tegeta tatizo la foleni
halitakwisha kwa sababu ya kipande cha morroco mpaka mwenge kuachwa kama kilivyo.....
sijui kimeachwa moja kwa moja au kuna mpango baadae lakini kwa vyovyote vile
kipande hiki ndo kinachosababisha foleni kubwa zaidi barabara hiyo....
kwa nini kimeachwa?
au kwa kuwa kuna watu na taasisi zimejenga ndani ya hifadhi ya barabara???????
binafsi naona ni bora waliojenga ndani ya barabara wavunjiwe bila kujali ni LAPF
au ni nani........vinginevyo kupanua barabara kutokea mwenge hakutakuwa na impact kubwa
hasa kwa kuwa barabara hiyo kutoka city center mpaka moroco ni double road tayari..
kupanua kuanzia mwenge haitasaidia,wavunje na kupanua kuanzia moroco ili barabara yote
iwe imekamilika.........................
tunafurahi kuona upanuzi umeanza wa barabara hiyo......lakini
kwa kuwa upanuzi unafanywa kuanzia mwenge kwenda tegeta tatizo la foleni
halitakwisha kwa sababu ya kipande cha morroco mpaka mwenge kuachwa kama kilivyo.....
sijui kimeachwa moja kwa moja au kuna mpango baadae lakini kwa vyovyote vile
kipande hiki ndo kinachosababisha foleni kubwa zaidi barabara hiyo....
kwa nini kimeachwa?
au kwa kuwa kuna watu na taasisi zimejenga ndani ya hifadhi ya barabara???????
binafsi naona ni bora waliojenga ndani ya barabara wavunjiwe bila kujali ni LAPF
au ni nani........vinginevyo kupanua barabara kutokea mwenge hakutakuwa na impact kubwa
hasa kwa kuwa barabara hiyo kutoka city center mpaka moroco ni double road tayari..
kupanua kuanzia mwenge haitasaidia,wavunje na kupanua kuanzia moroco ili barabara yote
iwe imekamilika.........................