Magufuli,mwakyembe na hii barabara.................

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,108
115,842
kwa tunaotumia barabara ya ali hassan mwinyi daily hapa dar

tunafurahi kuona upanuzi umeanza wa barabara hiyo......lakini

kwa kuwa upanuzi unafanywa kuanzia mwenge kwenda tegeta tatizo la foleni

halitakwisha kwa sababu ya kipande cha morroco mpaka mwenge kuachwa kama kilivyo.....

sijui kimeachwa moja kwa moja au kuna mpango baadae lakini kwa vyovyote vile

kipande hiki ndo kinachosababisha foleni kubwa zaidi barabara hiyo....

kwa nini kimeachwa?

au kwa kuwa kuna watu na taasisi zimejenga ndani ya hifadhi ya barabara???????

binafsi naona ni bora waliojenga ndani ya barabara wavunjiwe bila kujali ni LAPF
au ni nani........vinginevyo kupanua barabara kutokea mwenge hakutakuwa na impact kubwa
hasa kwa kuwa barabara hiyo kutoka city center mpaka moroco ni double road tayari..
kupanua kuanzia mwenge haitasaidia,wavunje na kupanua kuanzia moroco ili barabara yote
iwe imekamilika.........................
 
Nakubaliana nawe,lakini tatizo ni kwamba gharama ya fidia kwa majengo na mali nyingine kando ya barabara na maeneo husika ni kubwa kuliko hata gharama ya ujenzi wa barabara yenyewe........na hii ndiyo sababu ya msingi ya kushindwa kwa upanuzi wa barabara hiyo...............

..........na hapa tujifunze kuwa serikali kwa kupitia mamlaka husika yaani wakala wa barabara TANROADS na manispaa,wizara ya ardhi,mipango miji zinahitaji kufanya kazi kwa pamoja na kwa wakati wote,kwani kama wamiliki wa maeneo husika wasinge kuwa wamemilikishwa kihalali viwanja kwenye maeneo husika basi ingekuwa sahihi na rahisi sana kuvunja majengo yaliyojengwa kando ya barabara hiyo....................
 
Nakubaliana nawe,lakini tatizo ni kwamba gharama ya fidia kwa majengo na mali nyingine kando ya barabara na maeneo husika ni kubwa kuliko hata gharama ya ujenzi wa barabara yenyewe........na hii ndiyo sababu ya msingi ya kushindwa kwa upanuzi wa barabara hiyo...............

..........na hapa tujifunze kuwa serikali kwa kupitia mamlaka husika yaani wakala wa barabara TANROADS na manispaa,wizara ya ardhi,mipango miji zinahitaji kufanya kazi kwa pamoja na kwa wakati wote,kwani kama wamiliki wa maeneo husika wasinge kuwa wamemilikishwa kihalali viwanja kwenye maeneo husika basi ingekuwa sahihi na rahisi sana kuvunja majengo yaliyojengwa kando ya barabara hiyo....................

gharama ipi wakati ni eneo la barabara?
 
Serikali ya CCM bana... inaachia watu wafyatue matofali na kujijengea mihekalu ikijua fika kuwa wako ndani ya hifadhi za barabara... miaka 3 mbele inaanza kuhaha kutafuta fidia za kupanulia mabarabara hayohayo!!
 
Serikali ya CCM bana... inaachia watu wafyatue matofali na kujijengea mihekalu ikijua fika kuwa wako ndani ya hifadhi za barabara... miaka 3 mbele inaanza kuhaha kutafuta fidia za kupanulia mabarabara hayohayo!!

hili halihitaji fidia ni uamuzi tu
 
gharama ipi wakati ni eneo la barabara?

Kama walijulishwa basi hakuna cha fidia hapo!! But knowing watendaji kwenye taasisi husika nchini petu, sidhani kama kuna watu walijulishwa mipaka ya mabarabara!
 
Kama walijulishwa basi hakuna cha fidia hapo!! But knowing watendaji kwenye taasisi husika nchini petu, sidhani kama kuna watu walijulishwa mipaka ya mabarabara!

mkuu kwa barabara hii kila kitu kipo wazi
tena advantage ni kuwa kuna nyumba za nhc kulia na kushoto
zilizojengwa bila kuingilia hifadhi ya barabara
hata kijiji cha makumbusho kiko safi....
tatizo ni millenium tower ya LAPF na wengine

magufuli akiamua,wanavunjiwa wote....sijui tatizo lipo wapi?
 
hili halihitaji fidia ni uamuzi tu

Kama tumegeuka China ghafla, yeah, hilo halina shida! Ila kama tunapenda kuwa bound na treaties za ajabuajabu kama ilivyo jitokeza kwenye sanga la Dowans, then someone's azz wud be sued!! Speaking of which, Magufuli is well too aware of that following the saga in Mwanza about a petrol st.
 
Kama tumegeuka China ghafla, yeah, hilo halina shida! Ila kama tunapenda kuwa bound na treaties za ajabuajabu kama ilivyo jitokeza kwenye sanga la Dowans, then someone's azz wud be sued!! And speaking of which, Magufuli is well too aware of that following a saga in Mwanza about a petrol st.

kama magufuli angekuwepo mwanzoni JICA waliposema
watafadhili upaanuzi,nahisi
wangeanzia moroco bila tatizo

sasa hiko kipande mpaka kipate mfadhili ni shughuli
na wavamizi wanaendelea
 
Back
Top Bottom