KANYAMA
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,481
- 2,272
Sijawahi kuona japo mimi sio injinia wa maswala ya barabara, nimepita katika milima ya Sekenke nikaona wakandarasi wakiweka "molamu" au changarawe juu ya lami na kukandamiza...sijui hii ni stone base gani inayowekwa juu ya lami ambayo inaonekana haikukandamizwa vizuri ndio maana ikwa na mashimo.
my take:
Ni kweli inawezekana kuweka stone base juu ya lami iliyobomoka bila kufumua na ku kandamiza upya?kwa wanaofahamu watuambie la sivyo tutakuwa tunaibiwa mchana kweupe.
my take:
Ni kweli inawezekana kuweka stone base juu ya lami iliyobomoka bila kufumua na ku kandamiza upya?kwa wanaofahamu watuambie la sivyo tutakuwa tunaibiwa mchana kweupe.