mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Uongozi ni talantaKumbe ubunge ni kipaji, basi na urais ni kipaji, tena kipaji kajaaliwa Lissu aisee
Uongozi ni talantaKumbe ubunge ni kipaji, basi na urais ni kipaji, tena kipaji kajaaliwa Lissu aisee
View attachment 1583483
Katika kipindi cha miaka 5 tumefanya mengi, hata kuhamishia Makao Makuu Dodoma halikuwa jambo dogo. Miaka 47 haijawezekana ila miaka 5 tumeweza. Makao Makuu yanamaanisha ustawi wa eneo hili unakuja kwa nguvu.
Tunajenga Uwanja wa Ndege mkubwa huko Msalato ili ndege za kimataifa zije. Tumeleta stendi ya kisasa, soko la kisasa n.k. Tunatimiza ndoto ya Mwl. Nyerere.
Uongozi sio madegree ni kipaji toka kwa Mungu, Lusinde ni kijana mzuri na anafanya kazi nzuri ndio maana ni mjumbe wa NEC. Nyie wananchi mnajua kuchagua.
Natoa ahadi kwa watani zangu Wagogo, niliahidi km 16 toka Mlowa hadi Mvumi zitengenezwe kwa lami.
Anamuita Mkuu wa Mkoa...
"Nataka umuagize RM wa TANROADS Dodoma ndani ya miezi 2 barbr ya Mlowa kwenda Mvumi itangazwe tenda kwa ajili ya kujengwa kiwango cha lami.
Nataka wagonjwa wanaougua macho hapa wawe wanapelekwa kwa haraka Mvumi. Tunataka jombi lililo karibu na Makao Makuu lifanane na hadhi hiyo. Tunataka tubadilishe Wilaya ya Mvumi. Nina hiostoria nayo, nilikuwa na kaka yangu hapa alishafariki. Nilishawahi kuleta mzee mmoja kutoka Chato ameshatangulia mbele za haki.
Ndugu zangu wa Mvumi, mna mbunge mchapakazi. Narudia ubunge sio Degree ni kuwakilisha mawazo na shida za wananchi anaowaongoza. Lusinde anaweza mumpe kura nyingi. Au kapita bila kupingwa au wapo wanaompinga? Wanaompiga waonesheni tarehe 28 lakini pia mniletee madiwani wa CCM ili kazi ifanyika vizuri
Nitashangaa sana tumeleta Makao Makuu hapa halafu shukrani iwe ni kutunyima kura? Kweli watu wa hapa hamfaidiki na Makao Makuu ya Dodoma?
Kabla ya miaka 2 kupita, vijiji 30 vilivyobaki vitakuwa na umeme. Mimi nakaa hapa, haiwezi kunishinda"
Dkt. Magufuli anasisitiza madiwani wote wawe wa CCM ili Halmashauri ya Wilaya itakayoundwa pesa zitakazoletwa zitumiwe vizuri na wa CCM sababu nina uwezo wa kuwatumbua. Mkileta wengine (vyama vingine) sitoweza kuwatumbua, wakila msinilaumu
Kisha Dkt. Magufuli anatania kuwa anawapenda sana Wagogo, "Inawezekana Lusinde akanitaufutia kasichana kazuri ka kigogo"
Hapo kwenye red kama ni kweli huo ni uzinifu na tena kwa jamii illiyostaarabika wala si Neno la kusikia kutoka kwenye kinywa cha Rais wa Nchi....Hekima ilimchenga huu mtu
Ni kweli kipenzi, si unaona Talanta ya Lissu, akiongea tu neno unajua kabisa leadership lies within his blood, ila kuna yule mwingine akiongea ni anatufokea mpaka tunaficha uso, hachagui nini cha kuonea na wapi pa kuongea, mbaya zaidi maneno yake hayana matumaini kabisaUongozi ni talanta
Kampeni za huyu mtu hazinivutii hata kidogo, labda hili tatizo ni langu mimi binafsi na siyo kwa watu wengine. Kwa maana kila anachokiongea ni kile kile tu ambacho tumemisikia akikiongea toka mwaka 2016.View attachment 1583483
Katika kipindi cha miaka 5 tumefanya mengi, hata kuhamishia Makao Makuu Dodoma halikuwa jambo dogo. Miaka 47 haijawezekana ila miaka 5 tumeweza. Makao Makuu yanamaanisha ustawi wa eneo hili unakuja kwa nguvu.
Tunajenga Uwanja wa Ndege mkubwa huko Msalato ili ndege za kimataifa zije. Tumeleta stendi ya kisasa, soko la kisasa n.k. Tunatimiza ndoto ya Mwl. Nyerere.
Uongozi sio madegree ni kipaji toka kwa Mungu, Lusinde ni kijana mzuri na anafanya kazi nzuri ndio maana ni mjumbe wa NEC. Nyie wananchi mnajua kuchagua.
Natoa ahadi kwa watani zangu Wagogo, niliahidi km 16 toka Mlowa hadi Mvumi zitengenezwe kwa lami.
Anamuita Mkuu wa Mkoa...
"Nataka umuagize RM wa TANROADS Dodoma ndani ya miezi 2 barbr ya Mlowa kwenda Mvumi itangazwe tenda kwa ajili ya kujengwa kiwango cha lami.
Nataka wagonjwa wanaougua macho hapa wawe wanapelekwa kwa haraka Mvumi. Tunataka jombi lililo karibu na Makao Makuu lifanane na hadhi hiyo. Tunataka tubadilishe Wilaya ya Mvumi. Nina hiostoria nayo, nilikuwa na kaka yangu hapa alishafariki. Nilishawahi kuleta mzee mmoja kutoka Chato ameshatangulia mbele za haki.
Ndugu zangu wa Mvumi, mna mbunge mchapakazi. Narudia ubunge sio Degree ni kuwakilisha mawazo na shida za wananchi anaowaongoza. Lusinde anaweza mumpe kura nyingi. Au kapita bila kupingwa au wapo wanaompinga? Wanaompiga waonesheni tarehe 28 lakini pia mniletee madiwani wa CCM ili kazi ifanyika vizuri
Nitashangaa sana tumeleta Makao Makuu hapa halafu shukrani iwe ni kutunyima kura? Kweli watu wa hapa hamfaidiki na Makao Makuu ya Dodoma?
Kabla ya miaka 2 kupita, vijiji 30 vilivyobaki vitakuwa na umeme. Mimi nakaa hapa, haiwezi kunishinda"
Dkt. Magufuli anasisitiza madiwani wote wawe wa CCM ili Halmashauri ya Wilaya itakayoundwa pesa zitakazoletwa zitumiwe vizuri na wa CCM sababu nina uwezo wa kuwatumbua. Mkileta wengine (vyama vingine) sitoweza kuwatumbua, wakila msinilaumu
Kisha Dkt. Magufuli anatania kuwa anawapenda sana Wagogo, "Inawezekana Lusinde akanitaufutia kasichana kazuri ka kigogo"
Ulitaka ijengwe kwa siku, au wiki moja au mwezi au mwaka moja tuu eeeh
Wewe nyumba yako umeijenga kwa muda gani??? Kama umeshamaliza ujenzi
kumbe wewe ni nanga?Kwani hela za maendeleo huwa zinaenda kwa wabunge?
Asitutishie tunajua anataka akidi ya kubadili katiba ili awe rais wa milele
28102020Ni kweli kipenzi, si unaona Talanta ya Lissu, akiongea tu neno unajua kabisa leadership lies within his blood, ila kuna yule mwingine akiongea ni anatufokea mpaka tunaficha uso, hachagui nini cha kuonea na wapi pa kuongea, mbaya zaidi maneno yake hayana matumaini kabisa
Kuna majimbo yamekaliwa na upinzani pia kwa miaka na hakuna jipya. Dodoma miaka hii mitano ya CCM chini ya Magufuli wamepiga hatua kubwa sana kama ilivyo kwa mikoa mingineUnaijua Dodoma vzur?Unajua CCM imeyakalia kwa mda ganI hayo majimbo?
Kuna majimbo yamekaliwa na upinzani pia kwa miaka na hakuna jipya. Dodoma miaka hii mitano ya CCM chini ya Magufuli wamepiga hatua kubwa sana kama ilivyo kwa mikoa mingine
💥
Wapinzani sijui wana nini😆😆😆😆