eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
Mwanzo niliwahi kusikia Mahakama, Bunge,Serikali ni mihimili inayofanya kazi kwa kujitegemea n'a hakuna mwingine unaoweza kuingilia mwingine
lakini Léo nimemsikia Rais Ambae ni mtu wa serikali akimshurutisha spika Ambaye ni kiongozi wa Bunge kuendelea kutoa adhabu pâle bungeni kwa wapinzani tu
lakini Léo nimemsikia Rais Ambae ni mtu wa serikali akimshurutisha spika Ambaye ni kiongozi wa Bunge kuendelea kutoa adhabu pâle bungeni kwa wapinzani tu