KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,098
- 1,345
Tangu uanze mchakato wa kutafuta wagombea urais nimekuwa nikifuatilia kwa umakini wagombea wote wa vyama mbalimbali waliojitokeza kutia nia wakitafuta kuwakilisha vyama vyao kugombea urais.
Kila mmoja.
Kwa leo nikijikita kumtaza mh. John Pombe Magufuri mgombea urais kwa tiketi ya CCM.
Binafsi kwangu magufuri namwona km mgombea pendwa kwa wafuasi wake ila asiye na AGENDA MAALUM KWA TAIFA NA WATU WAKE kubabaika kwa mgombea huyu ni nilianza kumwona tangu alipokuwa anatafuta wadhamini mkoani kiukweli hakuwa na agenda ya msingi.
Kwa mara nyingine kaonekana kukosa agenda wakati wa mchakato wa kumtafuta mgombea wa CCM mjini Dodoma, mara kadha kila alipopata nafasi ya kujiwlezea alionekana kuduwaa na kushia kushangaa na kuzubaa jukwaani akitumia misemo ya michezo ya watoto maarufu kama KHADIJA ALISELEMA...! KHADIJA ALISELEMA...! hii ni aibu kubwa sana mtu anayetafuta dhamana ya ridhaa ya watanzania kuwaongoza huku akionekana hana shabaha/ ajenda mahususi licha ya kuwa na ilani ya chama chake.
Bila shaka ninaposema hana agenda mahususi naeleweka nchi hii ina mambo mengi na changamoto za kutosha nilitegemea kumuona akijipambanua katika kueleza kinaga ubaga nini lengo kuu la yeye kuwania urais. Akisema anataka kuingoza Tanzania na watu wake binfsi haitoshi kuwa agenda mahususi kwa magufuri kunishawishi kuwa ana uwezo wa kuongoza.
Nimalizie kwa kusema watanzania tuwe makini hasa wenye uwezo wa kupambanua mambo kwa weledi wakutosha ili tusaidie kupiga kura halali kwa maana kura yako umpe mtu kwa lengo maalum hasa baada ya kufanya upembuzi na kuwapima wagombea wote. Ili kura yako iweze kuongoza mabadiriko chanya kati ya kura zisizo halali au kura zisizopigwa.
NAMALIZA KWA KUSEMA KAMA KUNA WAGOMBEA WASIO NA AGENDA MAHUSUSI PIA YAWEZEKANA KUWA NA WAPIGA KURA WASIO NA AGENDA MAHUSUSI.
KWANGU AGENDA MAHUSUSI NI MABADIRIKO BAAAASIII...!
Kila mmoja.
Kwa leo nikijikita kumtaza mh. John Pombe Magufuri mgombea urais kwa tiketi ya CCM.
Binafsi kwangu magufuri namwona km mgombea pendwa kwa wafuasi wake ila asiye na AGENDA MAALUM KWA TAIFA NA WATU WAKE kubabaika kwa mgombea huyu ni nilianza kumwona tangu alipokuwa anatafuta wadhamini mkoani kiukweli hakuwa na agenda ya msingi.
Kwa mara nyingine kaonekana kukosa agenda wakati wa mchakato wa kumtafuta mgombea wa CCM mjini Dodoma, mara kadha kila alipopata nafasi ya kujiwlezea alionekana kuduwaa na kushia kushangaa na kuzubaa jukwaani akitumia misemo ya michezo ya watoto maarufu kama KHADIJA ALISELEMA...! KHADIJA ALISELEMA...! hii ni aibu kubwa sana mtu anayetafuta dhamana ya ridhaa ya watanzania kuwaongoza huku akionekana hana shabaha/ ajenda mahususi licha ya kuwa na ilani ya chama chake.
Bila shaka ninaposema hana agenda mahususi naeleweka nchi hii ina mambo mengi na changamoto za kutosha nilitegemea kumuona akijipambanua katika kueleza kinaga ubaga nini lengo kuu la yeye kuwania urais. Akisema anataka kuingoza Tanzania na watu wake binfsi haitoshi kuwa agenda mahususi kwa magufuri kunishawishi kuwa ana uwezo wa kuongoza.
Nimalizie kwa kusema watanzania tuwe makini hasa wenye uwezo wa kupambanua mambo kwa weledi wakutosha ili tusaidie kupiga kura halali kwa maana kura yako umpe mtu kwa lengo maalum hasa baada ya kufanya upembuzi na kuwapima wagombea wote. Ili kura yako iweze kuongoza mabadiriko chanya kati ya kura zisizo halali au kura zisizopigwa.
NAMALIZA KWA KUSEMA KAMA KUNA WAGOMBEA WASIO NA AGENDA MAHUSUSI PIA YAWEZEKANA KUWA NA WAPIGA KURA WASIO NA AGENDA MAHUSUSI.
KWANGU AGENDA MAHUSUSI NI MABADIRIKO BAAAASIII...!