ikisimama panda
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 2,547
- 1,869
ukiangalia ni alikuwa kwenye mazingira gani mpaka apige push up utagundua huyu hana maamuzi mazuri ya haraka. kama aliwahi kuwa kiongozi atakuwa pia kayafanya hayo maamuzi.
bila shaka mwakumbuka alipotaka kubomoa TANESCO ubungo. kwa uchumi wa Tanzania ingekuwa ni hasara kubwa.
Tusisahau na wale samaki
hata hawa wanaopewa kandarasi za barabara ni kukurupuka sana.
kwa sasa magufuli hana mshauri. chote anachosema na kutamuka ni kutoka kwenye akili yake tu.
Mwalimu wangu aliniambia busara ya mtu utaipima kwenye maamuzi ya haraka haraka kama anapokuwa na hasira.
PIMA ILI UCHINJE OCTOBER.
mimi mwamua pema ni LOWASA
kwahiyo mkuu kwa akili yako unaona ni kipi muhimu kati ya SHERIA iliyoanzishwa kulinda hifadhi za barabara zisiingiliwe na shughuli nyingine za kibinadam na hilo JENGO la tanesco?? siku nyingine ujaribu sana kuangalia mbali kabla hujaropoka