Great thinkers nimekuwa nikitafakari kuhusu raisajaye kupitia ccm nikaona anayefaa labda kidogo dr. Magufuli, lkn hiyo wizara aliyopewa si anaweza kukwamishwa kwa makusudi kiutendaji ili aonekane hafai kuwa rais maana mafisadi wana mbinu nyingi sana.
Na kuhusu 6 wamempa wizara ambayo wananchi wa kawaida kujua anapafomu vipi ni kazi sana sasa si ndiyo kifo cha kisiasa hicho kwa samuel?
Nawasilisha
Na kuhusu 6 wamempa wizara ambayo wananchi wa kawaida kujua anapafomu vipi ni kazi sana sasa si ndiyo kifo cha kisiasa hicho kwa samuel?
Nawasilisha