bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,371
- 3,946
Anapenda umbea
Kwani kipi hakiwezekani yamkini mtu huyo alikuwa anataka kupita kwenye Bureau de change zaidi ya moja. Kumbuka mtu amedakwa Tsh 1.7 bilioni.Huyu Mzee naye anataka kujidhalilisha sasa, yaani ubadilishe billion kirahisi hivyo? Bureau de change gani inatokaa na bilioni? Asifikiri wa-TZ wote akili zao ni za ki-ccm, hayo maneno akawahadithie akina NAPE wenye akili ya sisimizi!
Hata kuacha kuchukua mshahara ni kosa.Kwan kubadil pesa ni kosa?
Kama unauliza abt cash holding limit namaanisha kwa tawi la benki na sio mteja! Kwa mfano, ikiwa cash holding limit (at any time t) ya Tawi X ni sh. 300 Million halafu akatokea mteja/wateja wakafanya deposit inayofanya tawi liwe na total cash (say) 700 Million... basi tawi husika linatakiwa kuhamisha the excess 400 Million very soon to the Head Office/Cash Center kwa sababu wame-exceed cash holding limit.Unamaanisha watumishi wa umma? Au kila mwenye acc hata makampuni? Au wafanya biashara?
lowasa alisema nchi inahitaji kuongozwa na mtu mwenye VISION.....mataputapu ya CCM humu JF yakawa hayaelewiWanaumbukaaa!! Magu nchi imemshnda comedy zimekuwa nying kuliko kaz, asijefikir mpaka sasa ni mbunge chato, twende kaz yetu macho na vicheko, kuongoza nch mchezo
Tatizo tumeshaanza msitukia longolongo nying wakat mtaa sukar 2500, awanganye nyiny cc tunamsubr 2020
lowasa alisema nchi inahitaji kuongozwa na mtu mwenye VISION.....mataputapu ya CCM humu JF yakawa hayaelewi
Hahahahaha vision ya mtu asiyejua hata kama haja yake mwenyewe sasa imefika wakati wake atajuaje haja za wenzake? Wasiojielewa kweli hawahitaji kuoneshwa vidole matendo yao tu yanajionesha wazi
na bahati mbaya bado hujui vision ni nini...........
badala yake umeenda kweye Gutter Politics zisizo na manufaa yoyote kwa nchi yetu
Hongera
sawaKweli sijui maana ya vision, lakini nafahamu kama mtu hawezi hata kujua nini kinachompata na kinachoweza kumpata kwa katika mwili wake kwa kadiri afya yake ilivyo huyo hawezi kufikiri wala kuwa na maono nini kitawapata wananchi zaidi ya milioni arobaini kama mwili wake tu umemshinda kujua nini kinaweza kumtokea. Mathalani mtu mwenye mafua atajiandaa kwa namna itakikavyo anaptoka mbele za watu na hata mwenye tumbo la kuhara atapima atoke public au la kwa kadiri ya hali anavyojisikia. Kama hilo tu hana na kuna mtu anajua maana ya vision anaona mtu wa namna hiyo angeweza kuiletea nchi manufaa basi safari ndefu tunayo. Asante kwa kunisifia ujinga anyway!
tuwekee hiyo clip kwanza.Samahani wakuu,
Kuna clip moja Magufuli anasema kuna jamaa wamemkamata akitaka kubadilisha pesa mabilioni uwanja wa ndege akimbie. Ni nani yule alikuwa?
Hivi pale uwanja wa ndege Kuna duka la kubadilishia fedha kiasi cha bilioni 1.7
Anajua anachokifanya nyie mwacheni kelele za nini?Huyu Mzee naye anataka kujidhalilisha sasa, yaani ubadilishe billion kirahisi hivyo? Bureau de change gani inatokaa na bilioni?
Hakuna branch inayoruhusiwa kubaki na kiasi chote hicho cha pesa.Kuna bank ya twiga pale