Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,063
- 22,755
Magufuli acha woga wa kujifichaficha nyuma ya vyombo vya usalama, kama wewe ni jasiri tangaza hali ya hatari upate uhalali wa kutawala kiimla.
Kama wewe ni jasiri, achana na udikteta uchwara, watangazie raia wa taifa hili kuwa nchi iko chini ya dikteta hivyo haki zao za msingi zimefutwa.
Achana na amri za kukurupuka na mihemko na hivyo kufanya vyombo vyetu vya usalama kulazimika kuvunja sheria kwa kutii amri batili.
Katiba yetu inakuruhusu, hivyo jipe madaraka kikatiba ufanye unavyotaka na hakuna mwananchi atayekulaumu...
Kama wewe ni jasiri, achana na udikteta uchwara, watangazie raia wa taifa hili kuwa nchi iko chini ya dikteta hivyo haki zao za msingi zimefutwa.
Achana na amri za kukurupuka na mihemko na hivyo kufanya vyombo vyetu vya usalama kulazimika kuvunja sheria kwa kutii amri batili.
Katiba yetu inakuruhusu, hivyo jipe madaraka kikatiba ufanye unavyotaka na hakuna mwananchi atayekulaumu...