Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Magufuli unaelekea sasa kuvutika sana na kuwa too naive. Sanaa za mikoa ya Arusha na Kilimanjaro zimekuacha ukichukiwa kuliko unavyojidai majukwaani. Hivyo vijembe ungewaachia akina Nape kama kweli umeamua kujitenga na sifa za CCM. Ila bahati mbaya umekuwa too naive na kubebwa na beats za wengine. Mbali na sanaa mbali mbali zilizojaza watu uwanjani pengine nikuambie tu kibaya zaidi ambacho kimefanyika...bodaboda wameteswa na kubughudhiwa ili waondoke katika maeneo yao upite.
Eti wasikuzomee, nani kakuambia ungezomewa..bahati mbaya sana ukajisifu majukwaani kwamba umeshinda. Ni wazi ulikuwa ukijua hizo sanaa. Kwa taarifa yako watu wa hiyo mikoa wana amani kuliko unavyoweza dhani..ni watu wenye furaha sana, ila dola ndio huleta fujo ili kuwapaka sura mbaya. Chuki kwa watu iliionekana ktk haya:
Eti wasikuzomee, nani kakuambia ungezomewa..bahati mbaya sana ukajisifu majukwaani kwamba umeshinda. Ni wazi ulikuwa ukijua hizo sanaa. Kwa taarifa yako watu wa hiyo mikoa wana amani kuliko unavyoweza dhani..ni watu wenye furaha sana, ila dola ndio huleta fujo ili kuwapaka sura mbaya. Chuki kwa watu iliionekana ktk haya:
- Maeneo uliyopita yalipata umeme siku nzima.
- Bodaboda kufukuzwa,kuswekwa ndani siku nzima.Vijana hawakuafanya kazi.
- CCM kwenda kuchokoza watu huku wakiwa na number za polisi ili wakijibiwa tuu,basi wapige polisi waje na habari kuenea kwamba watu wamelipwa kukufanyia fujo.Bahati mbaya hamkufanikiwa.
- Magufuli hukuwahi jiuliza kwanini milango haifunguliwi..ili watu wasiondoke na kukuacha baada ya wanachokiita fiesta kuisha.
- Kuna mbinu nyingi za kujaza watu ktk viwanja..ila kwangu mimi nalaani sana manyanyaso yaliyofanyika.Na tambo zako.Maneno uliyoongea jimboni kwa mbowe nyamekuacha wazi sana.kwanini usingepita kwa heshima ili nawe uheshimike.Magufuli Dola ilitafuta uchokozi kila kona ili wapate ahabri ya kuichafua chadema wakakosa kabisa.Bahati mbaya propaganda zao zimekuathiri sana.Ndio maana ulipokuwa katika hiyo mikoa umeongea bila break. Bila mpangilio...ila umedanganywa na kujidanganya.Watu wa Arusha na Kilimanjaro siasa si vita.Ni dola ndio huleta fujo ili kujenga taswira mbaya. Kama huamini waulize ACT na kutia kichfuchefu kwao kote wapo huru kuendesha siasa kila kona.