Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,277
- 17,983
Vihenge ilikuwa wazo la Pinda toka awamu ya nne. Alienda Poland ambako wana utalaam kwenye fani hiyo.1.Hivi ninavyoandika,kuna vihenge vya kisasa vinajengwa (SILOS) za kuhifadhia mazao ya kilimo zaidi ya saba nchini.
2.Hayo ni maandalizi ya kilimo nchini,huwezi kuzalisha usijue unahifadhi wapi!
3.Bajeti ya 2021 katika kilimo itakuwa kubwa sana maandalizi yatakuwa yamekamilika.
4.Ukiwa mbinafsi huwezi kumuelewa Magu,He is very strategic kind of person never happened in Tanzania.
5.Huko nyuma niliwahi andika,kwa Mara ya kwanza tumepata Rais ambaye ni scientist 1+1=2 hivyo siasa kidogo matendo ya kutosha.
6.Wote tuseme Amein.
SGR ilianza awamu ya nne. Kitu kipya ni kuwakataa Wachina na mkopo wao wenye rushwa kubwa. Hili anastahili pongezi.
Kitu kipya pekee ni Stieglers Gorge. Muda utasema lakini sioni mafanikio. Itakuwa Mtera na Kidatu nyingine.