Vision 2030
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 407
- 250
1.Hivi ninavyoandika,kuna vihenge vya kisasa vinajengwa (SILOS) za kuhifadhia mazao ya kilimo zaidi ya saba nchini.
2.Hayo ni maandalizi ya kilimo nchini,huwezi kuzalisha usijue unahifadhi wapi!
3.Bajeti ya 2021 katika kilimo itakuwa kubwa sana maandalizi yatakuwa yamekamilika.
4.Ukiwa mbinafsi huwezi kumuelewa Magu,He is very strategic kind of person never happened in Tanzania.
5.Huko nyuma niliwahi andika,kwa Mara ya kwanza tumepata Rais ambaye ni scientist 1+1=2 hivyo siasa kidogo matendo ya kutosha.
6.Wote tuseme Amein.
2.Hayo ni maandalizi ya kilimo nchini,huwezi kuzalisha usijue unahifadhi wapi!
3.Bajeti ya 2021 katika kilimo itakuwa kubwa sana maandalizi yatakuwa yamekamilika.
4.Ukiwa mbinafsi huwezi kumuelewa Magu,He is very strategic kind of person never happened in Tanzania.
5.Huko nyuma niliwahi andika,kwa Mara ya kwanza tumepata Rais ambaye ni scientist 1+1=2 hivyo siasa kidogo matendo ya kutosha.
6.Wote tuseme Amein.