Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,397
- 3,884
Nianze kwa kusema, the title of this thread is not necessarily a compliment!
Pili najiuliza hivi ni coincidence kwamba inakuwaje kila hali ya kisiasa inapokaribia kuwa ngumu mji huu unakuwa mgumu kukaa? Last time yule dada wa LA alipotishia maandamano ya 26/04, sherehe zikaamishiwa Dodoma na nadhani alikaa Dodoma labda wiki 2 au zaidi na ghafla ziara za mikoa ya jirani zikaanza hadi hali ilipotulia.
Kuhusu hili la CAG, obviously kuna mipango ilifanyika lakini ikavurugwa na CAG kwa kutoa kwake press release ya kwamba amewasilisha tayari ripoti Ikulu.
Ghafla imekuja safari ya Mtwara (Kanda ya Ziwa na Dodoma was a NO GO!!)....mara ghafla imegeuka safari ya Ruvuma tena ya siku TANO (mkoa mmoja Rais anautembelea kwa siku tano!!)....mara Njombe....sijui wapi panafuatia!? Nadhani barua ya John Mnyika alipokuwa anasisitiza 'Rais popote alipo' alikuwa ana acknowledge indirectly kwamba kuna mtu amekimbia majukumu yake muhimu.
Title ya uzi nimeitoa kwenye the best Television Shows of all time 'The Wire'. Uandishi wa ile show ulikuwa wa kiwango cha juu sana.
Moja ya mambo ninayowaza ni nani atamsave kwenye hili janga la kisiasa? Let's just pay close attention to the next political moves that are going to be made by both sides, kuna jambo kubwa tutajifunza.
Maadhimisho ya Muungano mwaka huu yamekaribia, je ikitokea watu wakaanza kuongelea tena habari za maandamano ya 26/04, je kuna uwezekano hii ziara ikaenda hadi mwezi Mei?
Pili najiuliza hivi ni coincidence kwamba inakuwaje kila hali ya kisiasa inapokaribia kuwa ngumu mji huu unakuwa mgumu kukaa? Last time yule dada wa LA alipotishia maandamano ya 26/04, sherehe zikaamishiwa Dodoma na nadhani alikaa Dodoma labda wiki 2 au zaidi na ghafla ziara za mikoa ya jirani zikaanza hadi hali ilipotulia.
Kuhusu hili la CAG, obviously kuna mipango ilifanyika lakini ikavurugwa na CAG kwa kutoa kwake press release ya kwamba amewasilisha tayari ripoti Ikulu.
Ghafla imekuja safari ya Mtwara (Kanda ya Ziwa na Dodoma was a NO GO!!)....mara ghafla imegeuka safari ya Ruvuma tena ya siku TANO (mkoa mmoja Rais anautembelea kwa siku tano!!)....mara Njombe....sijui wapi panafuatia!? Nadhani barua ya John Mnyika alipokuwa anasisitiza 'Rais popote alipo' alikuwa ana acknowledge indirectly kwamba kuna mtu amekimbia majukumu yake muhimu.
Title ya uzi nimeitoa kwenye the best Television Shows of all time 'The Wire'. Uandishi wa ile show ulikuwa wa kiwango cha juu sana.
Moja ya mambo ninayowaza ni nani atamsave kwenye hili janga la kisiasa? Let's just pay close attention to the next political moves that are going to be made by both sides, kuna jambo kubwa tutajifunza.
Maadhimisho ya Muungano mwaka huu yamekaribia, je ikitokea watu wakaanza kuongelea tena habari za maandamano ya 26/04, je kuna uwezekano hii ziara ikaenda hadi mwezi Mei?