Dr. Magufuli is a genius. Hakuna Ushindi mkubwa kwa mtawala kama ushindi wa kuwastaafisha Wananchi Siasa

herzegovina

JF-Expert Member
Oct 28, 2015
3,129
4,712
Naweza kusema pamoja na rais Magufuli kuonekana sio mwanasiasa mzuri lakini karata zake amezichanga vizuri sana.

Tangu aingie madarakani alionekana dhahiri kuwa ni rais asiye na simile kwa upinzani. Amekuwa akiwashughulikia kweli kweli.

Muda wote nguvu kubwa imekuwa ikitumika "kuwazima" hawa wapinzani sema tu ugumu ulikuwa sehemu moja tu....MIOYO YA WANANCHI.

Wananchi wengi wanaamini wapinzani ni watetezi wao na ndio maana huwa wapo tayari hata kufa kwa ajili ya kuwalinda wapinzani.

UCHAGUZI wa 2020 ukafanyika na nguvu kubwa ikiambatana na wizi, ghiliba na dhulma ikatumika ili kumrudisha JPM pamoja na CCM yake madarakani huku asilimia kubwa ya wananchi ikibaki na majonzi makuu kutokana na kuporwa haki yao ya kuchagua na kuongozwa na watu wanaowataka.

"Mabeberu" nao hawakuwa nyuma...wakaanza kupiga spana. Ikabidi sasa iwe isiwe lazima wapinzani warudi. Amini usiamini, "Nguvu kubwa" pia imetumika kuwarudisha hao wapinzani. Ukimuangalia Mdee anavyoapa unaona kabisa kuwa "huyu sio Mdee". Speech aliyoitoa inaonekana kabisa ni "script" iliyoandikwa. Pia inasemekana kuwa wote walioapa wana ulinzi wa watu fulani. Kiuhalisia wale sio walinzi bali ni waangalizi wao. Hapa ndipo "UJINIAZ" unapokuja.

Ushindi wa JPM ni upi? Baada ya hiki kutokea ambacho kitafuatiwa na ACT kule zenji, wananchi watastaafu siasa. Hawatataka tena kufuatilia mambo ya siasa. Wataona wanasiasa wote wapo kwa ajili ya matumbo yao tu. Hawatajali tena ni nani anawaongoza. Sasa hapa ndipo kale kahoja ka KUONGEZA MUHULA katakapokuja na wananchi hawatojali tena.

Kumi tena.
 
Njaa inayokuja mbeleni wote tutaingia barabarani kama walivyofanya Zimbabwe..wauza saruji hawataki faida ya sh 500...watakuja mafuta, sukari nk nk
 
Nguvu gani? JPM hajatumia nguvu ndugu

Kuna msimamizi au wakala wa upinzani waliohesabu matokeo wamegoma kusign matokeo?

Acha hizo
Mkuu mbona takwinu zilitolewa na kurugenzi ya mawasiliano. Ni 20% tu ya mawakala ndio walikaa mwanzo mpaka mwisho wa kuhesabu kura!!

Na hao 20% ni scattered kwa nchi nzima ila hakuna kata au jimbo hata moja ambalo kuna mawakala walikaa mwanzo mpaka mwisho kwa zaidi ya 20% haipo. I challenge you uje na takwimu ya otherwise
 
Naweza kusema pamoja na rais Magufuli kuonekana sio mwanasiasa mzuri lakini karata zake amezichanga vizuri sana.

Tangu aingie madarakani alionekana dhahiri kuwa ni rais asiye na simile kwa upinzani. Amekuwa akiwashughulikia kweli kweli.

Muda wote nguvu kubwa imekuwa ikitumika "kuwazima" hawa wapinzani sema tu ugumu ulikuwa sehemu moja tu....MIOYO YA WANANCHI...

Wananchi wengi wanaamini wapinzani ni watetezi wao na ndio maana huwa wapo tayari hata kufa kwa ajili ya kuwalinda wapinzani.

UCHAGUZI wa 2020 ukafanyika na nguvu kubwa ikiambatana na wizi, ghiliba na dhulma ikatumika ili kumrudisha JPM pamoja na CCM yake madarakani huku asilimia kubwa ya wananchi ikibaki na majonzi makuu kutokana na kuporwa haki yao ya kuchagua na kuongozwa na watu wanaowataka.

"Mabeberu" nao hawakuwa nyuma...wakaanza kupiga spana. Ikabidi sasa iwe isiwe lazima wapinzani warudi. Amini usiamini, "Nguvu kubwa" pia imetumika kuwarudisha hao wapinzani. Ukimuangalia Mdee anavyoapa unaona kabisa kuwa "huyu sio Mdee". Speech aliyoitoa inaonekana kabisa ni "script" iliyoandikwa. Pia inasemekana kuwa wote walioapa wana ulinzi wa watu fulani. Kiuhalisia wale sio walinzi bali ni waangalizi wao. Hapa ndipo "UJINIAZ" unapokuja.

Ushindi wa JPM ni upi? Baada ya hiki kutokea ambacho kitafuatiwa na ACT kule zenji, wananchi watastaafu siasa. Hawatataka tena kufuatilia mambo ya siasa. Wataona wanasiasa wote wapo kwa ajili ya matumbo yao tu. Hawatajali tena ni nani anawaongoza. Sasa hapa ndipo kale kahoja ka KUONGEZA MUHULA katakapokuja na wananchi hawatojali tena.

Kumi tena.....
Hahahaha wewe ni jiniaz.

Niishie hapo...
 
Ujiniaz
Naweza kusema pamoja na rais Magufuli kuonekana sio mwanasiasa mzuri lakini karata zake amezichanga vizuri sana.

Tangu aingie madarakani alionekana dhahiri kuwa ni rais asiye na simile kwa upinzani. Amekuwa akiwashughulikia kweli kweli.

Muda wote nguvu kubwa imekuwa ikitumika "kuwazima" hawa wapinzani sema tu ugumu ulikuwa sehemu moja tu....MIOYO YA WANANCHI...

Wananchi wengi wanaamini wapinzani ni watetezi wao na ndio maana huwa wapo tayari hata kufa kwa ajili ya kuwalinda wapinzani.

UCHAGUZI wa 2020 ukafanyika na nguvu kubwa ikiambatana na wizi, ghiliba na dhulma ikatumika ili kumrudisha JPM pamoja na CCM yake madarakani huku asilimia kubwa ya wananchi ikibaki na majonzi makuu kutokana na kuporwa haki yao ya kuchagua na kuongozwa na watu wanaowataka.

"Mabeberu" nao hawakuwa nyuma...wakaanza kupiga spana. Ikabidi sasa iwe isiwe lazima wapinzani warudi. Amini usiamini, "Nguvu kubwa" pia imetumika kuwarudisha hao wapinzani. Ukimuangalia Mdee anavyoapa unaona kabisa kuwa "huyu sio Mdee". Speech aliyoitoa inaonekana kabisa ni "script" iliyoandikwa. Pia inasemekana kuwa wote walioapa wana ulinzi wa watu fulani. Kiuhalisia wale sio walinzi bali ni waangalizi wao. Hapa ndipo "UJINIAZ" unapokuja.

Ushindi wa JPM ni upi? Baada ya hiki kutokea ambacho kitafuatiwa na ACT kule zenji, wananchi watastaafu siasa. Hawatataka tena kufuatilia mambo ya siasa. Wataona wanasiasa wote wapo kwa ajili ya matumbo yao tu. Hawatajali tena ni nani anawaongoza. Sasa hapa ndipo kale kahoja ka KUONGEZA MUHULA katakapokuja na wananchi hawatojali tena.

Kumi tena.....
Ujiniaz wake pia hua unaonekana katika umahiri wake wa kukariri definition ya "Catalyst"!
 
Back
Top Bottom