Sema Dangote alichokua ana complain ni kwamba kwanini auziwe gesi kwa bei sawa na mtu wa Dar es salaam wakati yeye yupp karibu na source ya hio gesi hapo ndo ulikua utata i.e mfank gesi Dar iuzwe 18,000 na Mtwara auziwe 18,000 wakati hakuna gharama za usafirishaji zilizokua zimetokea
Mbona watu wa ilala Boma wanauziwa beer sawa na watu wa Morogoro?