Magufuli hatakiwi?

Mvaa Tai

JF-Expert Member
Aug 11, 2009
6,159
4,443
Kuna jamaa mmoja anayehisiwa anafanya kazi miundombinu jana akiwa maeneo ya Mbezi tangi bovu akipata kinywaji, baada ya kuwa amelewa kidogo alikasirika sana kuwasikia watu wa meza ya pili wakisifia uteuzi wa Magufuli na Mwakyembe kwenda miundombinu anadai tokea Jk alipomteua Magufuli na Mwakyembe kuwa mabosi wao wapya, hali ya hewa siyo nzuri sana pale Wizara ya miundo mbinu kila mtumishi anataka ikiwezekana ahamishiwe wizara ya uchukuzi kuepukana na huyu mtu, wenye uwezo wa ku-robe wameanza kufanya hivyo, wafanyakazi wengi hawajafurahishwa maana walisha wahi kufanya kazi chini ya magufuli hali ilikuwa ngumu sana kimaslahi, wanadai ni mtu anayependa sana sifa kwa kuendekeza zaidi maslahi ya Taifa huku akiwaacha watumishi wakihaha kwa kuwabania mianya ya kujipatia pesa za ziada. Huku akijua fika mishahara ya serikali haiendi na wakati.

Jamaa anasisitiza "Usije ukashangaa ukiona wakandarasi wa barabara wanafunga sana makampuni yao kipindi hiki maana hili eneo litakuwa halilipi kama awali, ukitaka kuamini haya nenda ile wizara ya mifugo na uvuvi uone jinsi wanavyofurahia huyu jamaa kuondoka, mi binafsi simtaki kabisa"


Jamani tujifunze kutokuyazungumzia masuala ya ofisini tukiwa bar, nina uhakika huyu jamaa hatima yake siyo nzuri. maana waliokuwa wanamsikiliza walikuwa wengi.
 
Kuna jamaa mmoja anayehisiwa anafanya kazi miundombinu jana akiwa maeneo ya Mbezi tangi bovu akipata kinywaji, baada ya kuwa amelewa kidogo alikasirika sana kuwasikia watu wa meza ya pili wakisifia uteuzi wa Magufuli na Mwakyembe kwenda miundombinu anadai tokea Jk alipomteua Magufuli na Mwakyembe kuwa mabosi wao wapya, hali ya hewa siyo nzuri sana pale Wizara ya miundo mbinu kila mtumishi anataka ikiwezekana ahamishiwe wizara ya uchukuzi kuepukana na huyu mtu, wenye uwezo wa ku-robe wameanza kufanya hivyo, wafanyakazi wengi hawajafurahishwa maana walisha wahi kufanya kazi chini ya magufuli hali ilikuwa ngumu sana kimaslahi, wanadai ni mtu anayependa sana sifa kwa kuendekeza zaidi maslahi ya Taifa huku akiwaacha watumishi wakihaha kwa kuwabania mianya ya kujipatia pesa za ziada. Huku akijua fika mishahara ya serikali haiendi na wakati.

Jamaa anasisitiza "Usije ukashangaa ukiona wakandarasi wa barabara wanafunga sana makampuni yao kipindi hiki maana hili eneo litakuwa halilipi kama awali, ukitaka kuamini haya nenda ile wizara ya mifugo na uvuvi uone jinsi wanavyofurahia huyu jamaa kuondoka, mi binafsi simtaki kabisa"


Jamani tujifunze kutokuyazungumzia masuala ya ofisini tukiwa bar, nina uhakika huyu jamaa hatima yake siyo nzuri. maana waliokuwa wanamsikiliza walikuwa wengi.

Msalimie Bruno Shirima, mkaguzi wa ndani
 
Mkuu mleta mada... tayari umeonyesha jinsi watu wasivyopenda kuwajibika.

Wacha waondoke wote watakuja walio serious, tena Magufuli hii ni zamu yake kwenda kwa Odinga kujifunza kwani Odinga anayofanya yote kenya mengine aliyatoa kwa Magufuli

I am glad wakimbie wenyewe kama hawawezi kazi
 
Kuna jamaa mmoja anayehisiwa anafanya kazi miundombinu jana akiwa maeneo ya Mbezi tangi bovu akipata kinywaji, baada ya kuwa amelewa kidogo alikasirika sana kuwasikia watu wa meza ya pili wakisifia uteuzi wa Magufuli na Mwakyembe kwenda miundombinu anadai tokea Jk alipomteua Magufuli na Mwakyembe kuwa mabosi wao wapya, hali ya hewa siyo nzuri sana pale Wizara ya miundo mbinu kila mtumishi anataka ikiwezekana ahamishiwe wizara ya uchukuzi kuepukana na huyu mtu, wenye uwezo wa ku-robe wameanza kufanya hivyo, wafanyakazi wengi hawajafurahishwa maana walisha wahi kufanya kazi chini ya magufuli hali ilikuwa ngumu sana kimaslahi, wanadai ni mtu anayependa sana sifa kwa kuendekeza zaidi maslahi ya Taifa huku akiwaacha watumishi wakihaha kwa kuwabania mianya ya kujipatia pesa za ziada. Huku akijua fika mishahara ya serikali haiendi na wakati.

Jamaa anasisitiza "Usije ukashangaa ukiona wakandarasi wa barabara wanafunga sana makampuni yao kipindi hiki maana hili eneo litakuwa halilipi kama awali, ukitaka kuamini haya nenda ile wizara ya mifugo na uvuvi uone jinsi wanavyofurahia huyu jamaa kuondoka, mi binafsi simtaki kabisa"


Jamani tujifunze kutokuyazungumzia masuala ya ofisini tukiwa bar, nina uhakika huyu jamaa hatima yake siyo nzuri. maana waliokuwa wanamsikiliza walikuwa wengi.

Sijakuelewa naona kama umeandika kama sisi wote mafisadi na ya kuwa tuanze kujadili sifa na ubaya wa magufuli

Titile yako ungebadili kuweka angalau inayomsifia kwa content yako hii! LOL!!
 
Ahh kumbe ni mawazo ya mlevi..! neways ni mawazo yake.. ila nivyojuwa walevi hawajui wanaongea pumba gani wakiwa nzutu!
 
Kuna jamaa mmoja anayehisiwa anafanya kazi miundombinu jana akiwa maeneo ya Mbezi tangi bovu akipata kinywaji, baada ya kuwa amelewa kidogo alikasirika sana kuwasikia watu wa meza ya pili wakisifia uteuzi wa Magufuli na Mwakyembe kwenda miundombinu anadai tokea Jk alipomteua Magufuli na Mwakyembe kuwa mabosi wao wapya, hali ya hewa siyo nzuri sana pale Wizara ya miundo mbinu kila mtumishi anataka ikiwezekana ahamishiwe wizara ya uchukuzi kuepukana na huyu mtu, wenye uwezo wa ku-robe wameanza kufanya hivyo, wafanyakazi wengi hawajafurahishwa maana walisha wahi kufanya kazi chini ya magufuli hali ilikuwa ngumu sana kimaslahi, wanadai ni mtu anayependa sana sifa kwa kuendekeza zaidi maslahi ya Taifa huku akiwaacha watumishi wakihaha kwa kuwabania mianya ya kujipatia pesa za ziada. Huku akijua fika mishahara ya serikali haiendi na wakati.

Jamaa anasisitiza "Usije ukashangaa ukiona wakandarasi wa barabara wanafunga sana makampuni yao kipindi hiki maana hili eneo litakuwa halilipi kama awali, ukitaka kuamini haya nenda ile wizara ya mifugo na uvuvi uone jinsi wanavyofurahia huyu jamaa kuondoka, mi binafsi simtaki kabisa"


Jamani tujifunze kutokuyazungumzia masuala ya ofisini tukiwa bar, nina uhakika huyu jamaa hatima yake siyo nzuri. maana waliokuwa wanamsikiliza walikuwa wengi.

Kwa jinsi ninavyowafahamu watanzania, Kwangu hii sio HABARI hata kidogo!!!!! Ingekuwa HABARI endapo ningeambiuwa kwamba waliopo wizara hiyo wamefurahi ile mbaya kuletwa kwa Magufuri na Mwakyembe!!
 
Ahh kumbe ni mawazo ya mlevi..! neways ni mawazo yake.. ila nivyojuwa walevi hawajui wanaongea pumba gani wakiwa nzutu!

Mh!mkuu saa mbovu wakati mwingine huonyesha majira sahihi!naomba tusipuuze mawazo ya mlevi kiasi hicho!
 
hao ndio vobaraka wa mafisadi, wanapewa fungu la kumi , wanaingiza nchi hasara ya matrillion. Watimue wote kabisa. Magufuli gooooooooo, gooo please, anza na MREMA wa TANROADS kwanza, kisheria Dkt wa ukweli, lowyer, mwaki=yembe atakujuza, chapeni kazi, hiyo ndiyo njia yako kuelekea 2015
 
Ningemkubali anayosema kama angesema jamaa naye ni mwizi lakini kumbe kweli huyo ni mlevi na kama wako wengine kama yeye wahame wizara au waache kazi. Ni kwamba wamezoea kuiibia serkali halafu jioni wanakaa kwenye viti virefu bar wakijisifia wanapesa kumbe wizi mtupu!!!!!!!!!!!
 
hao ndio vobaraka wa mafisadi, wanapewa fungu la kumi , wanaingiza nchi hasara ya matrillion. Watimue wote kabisa. Magufuli gooooooooo, gooo please, anza na MREMA wa TANROADS kwanza, kisheria Dkt wa ukweli, lowyer, mwaki=yembe atakujuza, chapeni kazi, hiyo ndiyo njia yako kuelekea 2015

Nimefurahia hapo nilipo-bold Red, Fungu la kumi. Terminology hiyo inatumika sana mahali fulani nahisi ndipo unapofanyia kazi. Big up hahahhaaa
 
Kuna jamaa mmoja anayehisiwa anafanya kazi miundombinu jana akiwa maeneo ya Mbezi tangi bovu akipata kinywaji, baada ya kuwa amelewa kidogo alikasirika sana kuwasikia watu wa meza ya pili wakisifia uteuzi wa Magufuli na Mwakyembe kwenda miundombinu anadai tokea Jk alipomteua Magufuli na Mwakyembe kuwa mabosi wao wapya, hali ya hewa siyo nzuri sana pale Wizara ya miundo mbinu kila mtumishi anataka ikiwezekana ahamishiwe wizara ya uchukuzi kuepukana na huyu mtu, wenye uwezo wa ku-robe wameanza kufanya hivyo, wafanyakazi wengi hawajafurahishwa maana walisha wahi kufanya kazi chini ya magufuli hali ilikuwa ngumu sana kimaslahi, wanadai ni mtu anayependa sana sifa kwa kuendekeza zaidi maslahi ya Taifa huku akiwaacha watumishi wakihaha kwa kuwabania mianya ya kujipatia pesa za ziada. Huku akijua fika mishahara ya serikali haiendi na wakati.

Jamaa anasisitiza "Usije ukashangaa ukiona wakandarasi wa barabara wanafunga sana makampuni yao kipindi hiki maana hili eneo litakuwa halilipi kama awali, ukitaka kuamini haya nenda ile wizara ya mifugo na uvuvi uone jinsi wanavyofurahia huyu jamaa kuondoka, mi binafsi simtaki kabisa"


Jamani tujifunze kutokuyazungumzia masuala ya ofisini tukiwa bar, nina uhakika huyu jamaa hatima yake siyo nzuri. maana waliokuwa wanamsikiliza walikuwa wengi.

hao ni wezi wamezoea ten percent bila kufikiria kazi watakiona cha mtema kuni.

mhusika badilisha hii title maana ni mawazo ya mlevi wa pombe na pia mlevi wa madaraka
 
Kiongozi mzuri hana asilimia nyingi za kupendwa na wa tz anaofanya nao kazi......kwahiyo hii ni habari nzuri kwa magufuli
 
Ahh kumbe ni mawazo ya mlevi..! neways ni mawazo yake.. ila nivyojuwa walevi hawajui wanaongea pumba gani wakiwa nzutu!

Analoongea mlevi ndilo lililo moyoni mwake, pombe inampa tu ujasiri wa kuongea mbele ya hadhara bila kujali ila wanajua wanachokiongea!
 
Kuna jamaa mmoja anayehisiwa anafanya kazi miundombinu jana akiwa maeneo ya Mbezi tangi bovu akipata kinywaji, baada ya kuwa amelewa kidogo alikasirika sana kuwasikia watu wa meza ya pili wakisifia uteuzi wa Magufuli na Mwakyembe kwenda miundombinu anadai tokea Jk alipomteua Magufuli na Mwakyembe kuwa mabosi wao wapya, hali ya hewa siyo nzuri sana pale Wizara ya miundo mbinu kila mtumishi anataka ikiwezekana ahamishiwe wizara ya uchukuzi kuepukana na huyu mtu, wenye uwezo wa ku-robe wameanza kufanya hivyo, wafanyakazi wengi hawajafurahishwa maana walisha wahi kufanya kazi chini ya magufuli hali ilikuwa ngumu sana kimaslahi, wanadai ni mtu anayependa sana sifa kwa kuendekeza zaidi maslahi ya Taifa huku akiwaacha watumishi wakihaha kwa kuwabania mianya ya kujipatia pesa za ziada. Huku akijua fika mishahara ya serikali haiendi na wakati.

Jamaa anasisitiza "Usije ukashangaa ukiona wakandarasi wa barabara wanafunga sana makampuni yao kipindi hiki maana hili eneo litakuwa halilipi kama awali, ukitaka kuamini haya nenda ile wizara ya mifugo na uvuvi uone jinsi wanavyofurahia huyu jamaa kuondoka, mi binafsi simtaki kabisa"


Jamani tujifunze kutokuyazungumzia masuala ya ofisini tukiwa bar, nina uhakika huyu jamaa hatima yake siyo nzuri. maana waliokuwa wanamsikiliza walikuwa wengi.

Heading ya thread yako ina-mislead, mimi nilifikiri hatakiwi kwa sababu taifa litaangamia kumbe mijizi na mijitu inayolewa pesa za barabara ndio itaangamia. Hivi kwanza watu wanaolewa kila siku jioni pesa wanapata wapi?
 
kwa nini hatima yake sio nzuri/ kisa kujali masrahi ya wananchi? wanaomchukia ni waroho na wachafu tu kama mtu si mpenda rushwa huwezi kumchukia Mgufuli,wanajua kuwa jamaa atabana mianya yote ya rushwa na wizi mpaka wakome kabisa, kwenye ujenzi nako yuko Tibaijuka najua kutakuwa na moto chini...
Kuna jamaa mmoja anayehisiwa anafanya kazi miundombinu jana akiwa maeneo ya Mbezi tangi bovu akipata kinywaji, baada ya kuwa amelewa kidogo alikasirika sana kuwasikia watu wa meza ya pili wakisifia uteuzi wa Magufuli na Mwakyembe kwenda miundombinu anadai tokea Jk alipomteua Magufuli na Mwakyembe kuwa mabosi wao wapya, hali ya hewa siyo nzuri sana pale Wizara ya miundo mbinu kila mtumishi anataka ikiwezekana ahamishiwe wizara ya uchukuzi kuepukana na huyu mtu, wenye uwezo wa ku-robe wameanza kufanya hivyo, wafanyakazi wengi hawajafurahishwa maana walisha wahi kufanya kazi chini ya magufuli hali ilikuwa ngumu sana kimaslahi, wanadai ni mtu anayependa sana sifa kwa kuendekeza zaidi maslahi ya Taifa huku akiwaacha watumishi wakihaha kwa kuwabania mianya ya kujipatia pesa za ziada. Huku akijua fika mishahara ya serikali haiendi na wakati.

Jamaa anasisitiza "Usije ukashangaa ukiona wakandarasi wa barabara wanafunga sana makampuni yao kipindi hiki maana hili eneo litakuwa halilipi kama awali, ukitaka kuamini haya nenda ile wizara ya mifugo na uvuvi uone jinsi wanavyofurahia huyu jamaa kuondoka, mi binafsi simtaki kabisa"


Jamani tujifunze kutokuyazungumzia masuala ya ofisini tukiwa bar, nina uhakika huyu jamaa hatima yake siyo nzuri. maana waliokuwa wanamsikiliza walikuwa wengi.
 
Sasa mleta maada sisi tutajifunzaje kutoka kwa mlevi
mwalimu akiingia darasani na kata k wanafunzi tutajifunza nini kutoka kwake, huyo alisema alichotumwa na pombe
 
Magufuri ni mwiba huwa hataki ujinga, unakumbuka wakt mkwere anaingia madarakani awamu ya kwanza jamaa walimvalia njuga ili akate tamaa but he survived. Jamaa anafanyakazi kwa data na uwajibikaji. Nina ndugu yangu anafanya kazi tanroads kakasirika kweli kusikia dr pombe ni bosi wake. Anasema kwa huyu bwana hakuna kulala!
 
Kuna jamaa mmoja anayehisiwa anafanya kazi miundombinu jana akiwa maeneo ya Mbezi tangi bovu akipata kinywaji, baada ya kuwa amelewa kidogo alikasirika sana kuwasikia watu wa meza ya pili wakisifia uteuzi wa Magufuli na Mwakyembe kwenda miundombinu anadai tokea Jk alipomteua Magufuli na Mwakyembe kuwa mabosi wao wapya, hali ya hewa siyo nzuri sana pale Wizara ya miundo mbinu kila mtumishi anataka ikiwezekana ahamishiwe wizara ya uchukuzi kuepukana na huyu mtu, wenye uwezo wa ku-robe wameanza kufanya hivyo, wafanyakazi wengi hawajafurahishwa maana walisha wahi kufanya kazi chini ya magufuli hali ilikuwa ngumu sana kimaslahi, wanadai ni mtu anayependa sana sifa kwa kuendekeza zaidi maslahi ya Taifa huku akiwaacha watumishi wakihaha kwa kuwabania mianya ya kujipatia pesa za ziada. Huku akijua fika mishahara ya serikali haiendi na wakati.

Jamaa anasisitiza "Usije ukashangaa ukiona wakandarasi wa barabara wanafunga sana makampuni yao kipindi hiki maana hili eneo litakuwa halilipi kama awali, ukitaka kuamini haya nenda ile wizara ya mifugo na uvuvi uone jinsi wanavyofurahia huyu jamaa kuondoka, mi binafsi simtaki kabisa"


Jamani tujifunze kutokuyazungumzia masuala ya ofisini tukiwa bar, nina uhakika huyu jamaa hatima yake siyo nzuri. maana waliokuwa wanamsikiliza walikuwa wengi.


Wewe ndo ulikuwa BAR maangezi ya bar hayana TIJA JF


Nyie ndo mnapenda mianya ya Rushwa kiboko yenu huyooooooo
 
Hadithi umeitoa kwenye ulevi. Aliyezungumza ni mlevi halafu unamuonya. Mlevi? Ni mtu wa TANROAD?

Haya waambie hao walevi Magufuli John Pombe yuko wizarani.
 
Back
Top Bottom